Zitto, mshika mbili moja humponyoka

Zitto, mshika mbili moja humponyoka

Habari wana JF,

Leo naomba nizungumzie kofia mbili za mbunge wa Kigoma manispaa ujiji.

Kofia hizo ni;
a) Mbunge wakigoma manispaa ya ujiji
b)Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo.

Sasa wapi penye uzito? Hakuna mtu aliyeweza kushika mambo mawili na yote yakaenda kwa usahihi.

Majukumu ya kofia ulizonazo ni kama yafuatayo;
a) Kuwatumikia wananchi wa kigoma ujiji, hasa wananchi wanyonge. wanapoonewa!
b)Kutetea wanyonge jimboni kwako kila mda uhitajikapo.
c)Kusimamia kazi za chama chako.
d)Kubuni njia za kukuza chama.
e)Kuwaletea wananchi wa Kigoma manispaa maendeleo mfano barabara, maji, umeme wa uhakika n.k.
f)Mengineyo yaliyojificha.

Ndugu yangu Zitto naona sasa hivi unapambania chama chako huko Dar es Salaam. Kumbuka kuwa 2020 itafika. wananchi kama hawatapata maendeleo huko mbele ubunge utausikia mtamboni.

Mwisho: Mshika mbili moja humponyoka.

Nawasilisha!
Vipi kuhusu raisi wa nchi na Mwenyekiti wa chama?
 
KUMBUKA ACT NI CHAMA KICHANGA MNOO HIVYO LAZIMA ZITTO TUMKUMBUSHE MAJUKUMU. KIGOMA MJIN SIO MCHEZO. KAMA HAKUTEKELEZA AHADI ZAKE KAMA ALIVOKUWA KIGOMA KASIKAZIN. HAPA MJIN ATANG'OLEWA HARAKA SANA. SIASA ZA KIGOMA MJIN ANAZIJUA WENGNE TOKWEN NA MAPOVUUU..
 
Nimesha kuchoma sindano, tulia dawa ikuingie vizuri.
Mbona wachaga huwa wanaungana mkono kwa kila jambo alakini sisi waha tunachukiana sana? Mahusuda mahusuda tu ukipigwa ule wimbo kigoma ndio tunajifanya tunapendana.
 
Mbona wachaga huwa wanaungana mkono kwa kila jambo alakini sisi waha tunachukiana sana? Mahusuda mahusuda tu ukipigwa ule wimbo kigoma ndio tunajifanya tunapendana.
hahahaaaaa dawa inaingia vizuri kabsaaaa wacha kuparuka paruka!
 
Habari wana JF,

Leo naomba nizungumzie kofia mbili za mbunge wa Kigoma manispaa ujiji.

Kofia hizo ni;
a) Mbunge wakigoma manispaa ya ujiji
b)Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo.

Sasa wapi penye uzito? Hakuna mtu aliyeweza kushika mambo mawili na yote yakaenda kwa usahihi.

Majukumu ya kofia ulizonazo ni kama yafuatayo;
a) Kuwatumikia wananchi wa kigoma ujiji, hasa wananchi wanyonge. wanapoonewa!
b)Kutetea wanyonge jimboni kwako kila mda uhitajikapo.
c)Kusimamia kazi za chama chako.
d)Kubuni njia za kukuza chama.
e)Kuwaletea wananchi wa Kigoma manispaa maendeleo mfano barabara, maji, umeme wa uhakika n.k.
f)Mengineyo yaliyojificha.

Ndugu yangu Zitto naona sasa hivi unapambania chama chako huko Dar es Salaam. Kumbuka kuwa 2020 itafika. wananchi kama hawatapata maendeleo huko mbele ubunge utausikia mtamboni.

Mwisho: Mshika mbili moja humponyoka.

Nawasilisha!
Ovyooooooooo
 
Kwa taarifa fupi ni kwamba iko siku ZITTO KABWE ataingia magogoni na kua raisi wa jmt.
 
Kweli nimeamini utahila ni kujitakia
Sasa mleta maada si uchague cha kumsaidia
 
Habari wana JF,

Leo naomba nizungumzie kofia mbili za mbunge wa Kigoma manispaa ujiji.

Kofia hizo ni;
a) Mbunge wakigoma manispaa ya ujiji
b)Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo.

Sasa wapi penye uzito? Hakuna mtu aliyeweza kushika mambo mawili na yote yakaenda kwa usahihi.

Majukumu ya kofia ulizonazo ni kama yafuatayo;
a) Kuwatumikia wananchi wa kigoma ujiji, hasa wananchi wanyonge. wanapoonewa!
b)Kutetea wanyonge jimboni kwako kila mda uhitajikapo.
c)Kusimamia kazi za chama chako.
d)Kubuni njia za kukuza chama.
e)Kuwaletea wananchi wa Kigoma manispaa maendeleo mfano barabara, maji, umeme wa uhakika n.k.
f)Mengineyo yaliyojificha.

Ndugu yangu Zitto naona sasa hivi unapambania chama chako huko Dar es Salaam. Kumbuka kuwa 2020 itafika. wananchi kama hawatapata maendeleo huko mbele ubunge utausikia mtamboni.

Mwisho: Mshika mbili moja humponyoka.

Viongozi wengi wa vyama vya siasa ni wabunge, Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA, Mbatia ni Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, inategemewa Kikwete ambaye ni raisi atakuwa mwenyekiti wa CCM soon...... hoja yako haina mashiko

Nawasilisha!
 
Sioni tatizo la kofia mbili kama mtu ana uwezo wa ku-manage tasks mbalimbali bila kuathiri ubora. Labda kama tatizo la mleta uzi ni Zitto as a person. Ikiwa lengo ni kumshughulikia Zitto basi hoja hii ni inappropriate. Tafuta nyingine!!

Ila nafikiri nchi yetu ina matatizo mengi sana sasa hivi yanayohitaji kushughulikiwa na kujengewa hoja zaidi ya Zitto.

Kuna watu duniani na hata hapa Tanzania ambao wana roles (kofia) zaidi ya mbili na wamekuwa na mafanikio makubwa.

Naomba tu nimkumbushe mleta thread kuwa mahitaji ya modern world tuliyonayo sasa ni multitasking. Tuachane na traditional thinking.
 
Leo ndio umejua mshika mbili moja umponyoka? Mbona JK alikua Rais na Mwinyekiti wa CCM? Mbona Mbowe ni mwenyekiti wa CHADEMA na ni Mbunge na vyama vyao vinaendelea vizuri? kwanini iwe kwa Zitto tu?
Nafasi aliyonayo Zitto kwenye chama chake ni kama katibu mkuu ktk mfumo wa vyama vingine, na katibu mkuu ni mtendaji wa kazi za chama kila siku
 
Sijui zito kawachoma na nini? Hamchoki kumzungumza, kwa bunge hili lililopita vijana waliojenga hoja ni zitto na mbunge wa nzega tu,. Na chadema wamepwaya ki upinzani, mkiulizwa sababu ya kutoka nje badala ya kutafuta hoja ndani ya bunge hakuna.
 
ZZK hajitambui mpaka sasa. Kibaya anataka kupambana na dola akidhani huu ni wakati wa kucheka na kufanya mzaha. Mlio karibu naye mshaurini kuwa hiki ni kipindi cha kufanya kazi! Dr. Magufuli katurudisha Eden tufanye kazi kwa maendeleo ya taifa letu na siyo porojo!
Naomba unisaidie kwa facts kosa zito ni nini hasa?
 
ZZK hajitambui mpaka sasa. Kibaya anataka kupambana na dola akidhani huu ni wakati wa kucheka na kufanya mzaha. Mlio karibu naye mshaurini kuwa hiki ni kipindi cha kufanya kazi! Dr. Magufuli katurudisha Eden tufanye kazi kwa maendeleo ya taifa letu na siyo porojo!
Au kosa la zito ni kutaka kujadili bajeti ya magu kwa mkutano wa ndani?
 
Mwogope sana mtu anayezungumzia ukabila!
Tuambiane ukweli bila unafiki wachaga munahamu kubwa ya kuitawala nji hii.angalia mtei,mrema,mbowe.nk.nk. alafu unasema ukabila hakuna.
 
Back
Top Bottom