Zitto, mshika mbili moja humponyoka

Zitto, mshika mbili moja humponyoka

heri kujishika mbili, moja ikiponyoka moja inabaki
 
kumbe wewe unawajua waha vizuri. wakiamua ndo wameamua! wanamsoma tuuuu 2020 mtasikia!
kabla ya uchaguzi pia mlisema Zitto atausikia ubunge radioni, sasaiv mnasema 2020. Nadhani waha ndio wanajua thamani ya Zitto na ndio sababu lleo ni mbunge
 
kabla ya uchaguzi pia mlisema Zitto atausikia ubunge radioni, sasaiv mnasema 2020. Nadhani waha ndio wanajua thamani ya Zitto na ndio sababu lleo ni mbunge
hahahahaaaaaa jitekenye tu. Ka muulize selukamba kama hakukimbia vijijini mda ulipofika!
 
Leave Zitto alone. Anaweza kuwa hata na majukumu 10 na akayamudu. Mbona mleta hoja anamudu majukumu ya familia yake, wakati huo huo anafanyakazi ya kuajiriwa? Hayo mbona ni majukumu mawili tayari?
 
Leave Zitto alone. Anaweza kuwa hata na majukumu 10 na akayamudu. Mbona mleta hoja anamudu majukumu ya familia yake, wakati huo huo anafanyakazi ya kuajiriwa? Hayo mbona ni majukumu mawili tayari?
Leave Zitto alone. Anaweza kuwa hata na majukumu 10 na akayamudu. Mbona mleta hoja anamudu majukumu ya familia yake, wakati huo huo anafanyakazi ya kuajiriwa? Hayo mbona ni majukumu mawili tayari?
hahahahaaaaa jifariji tu uone. wewe unafikiri kukuza chama kichanga na kuwa mbunge ni kazi rahisi? cheap mind!
 
benjamin flanklin, leading author, printer, political theorist, politician, freemason, postmaster, scientist, inventor, civic activist, statesman, and diplomat and the founding father of the US nation.

SPECIALIZATION IS FOR INSECTS
hahahahahaaaaaaaaa. sisi waha runataka maendeleo basi. hayo mambo yako hatutambui.
 
hahahahahaaaaaaaaa. sisi waha runataka maendeleo basi. hayo mambo yako hatutambui.
Acha kujidanganya maendeleo bila harakati hayaji, mbunge gani goigoi bila amsha amsha kwa serikali atakuletea maendeleo/? kaa hivyo hivyo chini ya mchikichi uendelee kula bange
 
Hivi unajua mchango wa ZITTO kwa wana Kigoma au umeandika kwa kujifurahisha, kwa taarifa yako kafanye uchunguzi then uje na analysis nzuri.
 
ZZK hajitambui mpaka sasa. Kibaya anataka kupambana na dola akidhani huu ni wakati wa kucheka na kufanya mzaha. Mlio karibu naye mshaurini kuwa hiki ni kipindi cha kufanya kazi! Dr. Magufuli katurudisha Eden tufanye kazi kwa maendeleo ya taifa letu na siyo porojo!
 
Back
Top Bottom