Zitto: Membe karibu upinzani

Umenikumbusha namna 2015 ulivyokuwa mwaka wangu mgumu kisiasa. Chama nilichokiamini kilisaliti harakati kimiujiza ujiza. Naona zile tikitaka zinajirudia. Acha waendelee kujivuruga.
Mkuu hakukuwa na usaliti wowote ila inatakiwa ufahamu kwenye Vita yoyote unapopambana na mtu mwenye nguvu basi unatumia maadui zake wote.

Nakumbuka Savimbi alipigana na Kagame mwaka 1996 ila alipotaka kumuangusha kabila 1998 aliungana na Savimbi. Same to siasa za Kenya utaona alliance zinabadilika, pia hata Uganda na DRC. Kwahiyo hakuna usaliti wowote bali kama umefuatilia siasa za dunia nzima zipo hivyo kila chaguzi lazima ukusanye allies wakutosha whether una bifu nao au lah otherwise kura zitagawanyika mnakosa wote.

Ndio maana Hata hao CCM licha ya kusema Chadema wanatumika na wazungu ila wote wakijiunga CCM wanapewa ofisi za serikali! Sasa hujiulizi pandikizi akipewa ofisi si ndio atauza nchi?

Ni political strategy tu
 
Nilitabiri hii na lazima itimie kuwa Membe to Act then Act na Chadema mezani halafu kidedea atakuwa ni BM kuwania katika tiketi ya muungano wa upinzani, ila mtakuwa mmemsaliti Lissu.

Wataanguka vibaya sana kisha membe atapunguzwa nguvu huko kama lowasa, kisha atafukuzwa na mwisho atajiunga na chama cha dovutwa, hapo milango yake itafungwa rasmi.
 
Mku huwezi kumununia tajiri. Lazima watampokea agombee urais.
 
Mkuu unakuza sana nguvu za CCM, mie binafsi nafahamu watu wa System ambao wapo CHADEMA (of course wapo kila taadisi) so haikuhitaji mpka Lowassa aje ndio eti waidadisi CHADEMA hyo ni propaganda.

Lowassa was serious unless useme aliletwa upinzani ili hta CHADEMA ikishinda basi aje Rais moderate kuliko Dr slaa!! Kwahiyo hyo propaganda ya eti mapandikizi sio ya kweli bali wengi wanakuja kusaka madaraka tu sio kazi maalum.

Kuhusu upinzani kutetereka ni vyama vyote tu sababu ya aina za siasa zilizopo ila sio kisa kuna pandikizi sijui, siasa zetu hazipo organized hivyo hadi zihitaji jasusi kuvuruga chama otherwise kina Waitara wangekua wanatoa shutuma hku wana bank statement za mbowe kabisa.

Tusiikuze sana nguvu ya CCM otherwise wasingejitaji kutumia nguvu washinde uchaguzi maana majasusi wangemaliza kila kitu kwa kumframe Mbowe
 
Umempa ukweli lazima usahau usikae na kinyongo
 
Zitto Mwaka 2015 alikuwa mtu wa kwanza kumsema Membe juu ya ufisadi wa pesa za LIBYA alipotangaza kugombea kupitia ccm leo anamsafisha! shame.

Membe hawezi kutoboa na uwenda akauzika upinzani zaidi ya fisadi lowassa alivyofanya.
Mwongo wewe
lete ushaidi
 
Membe ni pandikizi kama Lowassa tu,na akienda jukwaani kwny kampeni hataongea vitu konki kama Lowassa alivyofanya 2015.

Chadema asimame Lissu kama kawa na aongee ufisadi wa hawa jamaa wajiitao uzalendo.

Kifupi Membe amekuja kugawa kura za uraisi na akimaliza kazi yake atarudi CCM kama Lowassa alivyofanya.
 
Tushawaambia "Upinzani bara hakuna presidential materials huko"

Na msichokijua ni kwamba,siku hao wanaCCM mnaowakaribisha wakishika dola kupitia vyama vyenu watawafukuzeni nyinyi wenye chama.
 
Lisu angekuwa serious,angesharudi hivi sasa,,inaonekana hana nia ya kugombea.
 
This is well calculated by chadema! Hawana mbavu za kupimana na jpm, wao watamteua lissu ila lisu atajitoa. Watamuunga mkono membe.
Hiki kitu haitatokea hata kidogo kumuunga mkono mgombea wa chama ambacho hata robo ya wanachama wa CHADEMA hakina ni tusi kubwa sana kwa wanachama wa CHADEMA.

Chadema hakitakuwa tayari kujinyonga kizembe namna hiyo.
 
Hiki kitu haitatokea hata kidogo kumuunga mkono mgombea wa chama ambacho hata robo ya wanachama wa CHADEMA hakina ni tusi kubwa sana kwa wanachama wa CHADEMA.

Chadema hakitakuwa tayari kujinyonga kizembe namna hiyo.
Mku kubali au kataa mwakani chama kikuu cha upinzani ni ACT sio tena Chadema
 
Lowasa hakuwa pandikizi he was real contender the problem is hakuwa anajua anachokitafuta njia aliyopitia ni ngumu na yenye shuruba nyingi sana.

Lowassa alirudi ccm kwa kushindwa kuendana na shuruba za upinzani kama serikali ya awamu ya tano isingezuia shughuli za kisiasa kwa vyama vya upinzani Lowassa angekuwa bado yuko CHADEMA
 

Mkuu mawazo yako ni mazuri sana.

Hata jiwe ana mawazo kama haya haya.

Mkuu tembea kifua mbele una mawazo kama mkuu wa nchi.

Kuwa na mawazo kama jiwe si haba mkuu.

Ama kweli adui yako mwombee njaa au mshauri avune njaa.
 
Hiki kitu haitatokea hata kidogo kumuunga mkono mgombea wa chama ambacho hata robo ya wanachama wa CHADEMA hakina ni tusi kubwa sana kwa wanachama wa CHADEMA.

Chadema hakitakuwa tayari kujinyonga kizembe namna hiyo.
Subiri sasa...
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ mzee Lowasa alikubalika vipi?? Wanasiasa sio watu wa kuwaamini.
Sie tumesomea political science,achana na mahitaji ya moyo wako
ACT kuna mtu anaitwa Juma Duni Haji,ameshafanya kazi na chadema,hawezi kumshauri mwenyekiti wake waungane na matapeli
 
Magufuli jana alisema wazi kwamba hajamaliza kazi zake, hivyo msitarajie atatoka madarakani kirahisi rahisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…