Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
Kinachoshangaza marehemu takukuru wanalipwa kwa ajili ya kuchunguza wala rushwa, iweje huyu hosea anaongea kama punguani? umesha pata taarifa tumieni mbinu kupata hizo data.
We unakaa ofcn eti m2 akuletee majina? Hivi huyu ni zezeta? Kikwete ondoa hili jamaa make halijui kazi yake. linakula hela za walipa kodi linashindwa kufatilia kazi zake linasuburi watu walipelekee majina! kweli Takukuru ni marehemu!
We unakaa ofcn eti m2 akuletee majina? Hivi huyu ni zezeta? Kikwete ondoa hili jamaa make halijui kazi yake. linakula hela za walipa kodi linashindwa kufatilia kazi zake linasuburi watu walipelekee majina! kweli Takukuru ni marehemu!