Socratesson
Senior Member
- Oct 5, 2012
- 119
- 23
."The World suffer a lot.Not because of Violence of bad People.But because of the silence of good People" Big up our next coming President.
Ikija kuthibitika ZZK naye ana pesa Uswiss utaona aibu kwa kuniita mjinganaona unajitahidi kuifanya hoja hii ififie! sisi si mazezeta tena! kama unataka inchi iingie kwenye "anarchy" endelea na ujinga wako huo.
Tatizo ZZK ni mfano wa JK na kwa pamoja watu hao si wa kuaminika kwa 100%Mtendee haki. Hakuna deal linalopigwa kwa staili hii. Hata utetezi wake kwa Mhando sidhani kama ulikuwa na maslahi binafsi.
Zitto tunaomba majina, mbona na wewe unatutia shaka?
Duh! Rafiki yangu - nawe umekuwa kasuku wa Waswisi? Ni jukumu la Serikali yetu kuifanyia kazi taarifa ya Uswisi kuwabaini walioweka pesa huko kwao kwa lengo la kuwakamata huku. Ni kazi ya serikali na vyombo vyake husika vya dola. Si kazi yangu, wewe, Zitto au mwingine yeyote.
Kujiuma uma kwa serikali ni dalili kwamba haina nia kulifuatilia suala hili kwa dhati na sababu yake hata mtoto wangu wa miaka 12 anafahamu.
Utawala huu wa JK ni hovyo kupindukia!! Kuna mwingine sasa hivi atasema Zitto anatafuta umaarufu wa kisiasa!!!
Majina ameambiwa apeleke zitto au serikali dhaifu?Zitto tunaomba majina, mbona na wewe unatutia shaka?
Bunge lina-track record ya kukingia mafisadi vifua. Huu uchunguzi anaoutaka ZZK hapa ndo ulitumika kwenye Richmond. Je ulisaidia nini?
ZZK, acha kutafuta cheap popularity kwa kujifanya una uchungu na nchi, kwanza ushawahi sema unayo majina, kwanini usiweke mambo hadharani?
Pili, ni suala la kiutaratibu kwa benki za Uswiss kutaka PEP( names of politically exposed persons) ili itoe ushirikiano. Nimetoa link hapa chini. Kila linaloongelewa hapo chini linaonesha jinsi gani benki za ki-swiss zipo tayari kutoa ushirikiano tofauti na ZZK anavyozipaka matope.
ZZK tumwogope kama ukoma. Ana kikosi chake cha propaganda kinachofanikiwa kulaghai watu wengi
How a New Swiss Law Can Help Egypt Get Its Money Back - TIME
tatizo kwetu wao wamesema kuna hela sisi serikari yetu iseme watu hao ni fulani na furani ili waproove na kuwafilisi. pia fahamu hata Membe alisema anawajua mbona kaka kimya na lalitangaza bungeni. anawajua. Tusimwonee Zitto serikari imepata taarifa ichunguze