Ni jambo la kushangaza kuona mtu aliyekua ameshupalia mabilioni yaliyowekwa offshore banks amejipambanua tena hawezi kuweka wazi ni akina nani hao.
Zito anadai anataka mjadala uwe mpana lakini amesahau upana wa hoja unakwenda sambamba kwa kujua ni akina nan hao.mheshimiwa naona unawachezea sheri wananchi huku unataka comprehesive report while on the other side you create the biase SASA HUO UPANA UTAPATIKANAJE?
zito kweli tujadili tulivyoibiwa na tusijadili wanaotuibia?
Watu kama akina zito ni watu hatari sana,undumila kuwili ndio nyenzo dhaifu zito unayoitumia.
Tujadili mchezo ila tusijadili wachezaji
Nimesikiliza tuongee asubuhi Star TV. Eti umesema hutawataja walioweka fedha Uswizi.
Naamini kuwa ulikuwa unatishia wakupe kitu kidogo na sasa umepata. TUKUELEWEJE WATANZANIA
WEWE NDIYE UNATAKA KUWA RAIS KESHO, TANZANIA IMEKWISHA. MUNGU IUMBE UPYA TANZANIA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.