Bado hilo neno la kibaguzi "WAGAZA" unaendelea kulitumia tu?
Siasa ubaguzi wa dini na makabila hazitakufikisha popote ndugu yangu
Mnyika si size ya ZITTO. Hata protokali hujui
Halafu Mchange, ujue kadri chama kinavokua mchango utathaminiwa si kwa vile wewe ni wa Mbowe, au wewe ni wa Zitto, au wewe ni wa Slaa; wewe umeanza siasa juzi tayari umeshajitengenezea kakundi kako, unadhani ungefika mbali? Ndo maana vijana wa aina yako hawafikagi popote kwa vile malengo yao hukaa kimakundi makundi.
Jifunze kwa vijana wenzako akina Mnyika akiwemo hata Zitto mwenyewe. Wakati wanaanza siasa walikubali kukaa chini kujifunza kwa wakubwa wao. Hizi kukuru kakara za Zitto zina mwangwi kwa vile ameshafanikiwa kisiasa kwa namna yake. But....asingeweza kufanya hivi wakati ule anaanza.
Sasa wewe umeingia tu kwenye siasa tayari unalo kundi, unatukana mabosi wako, unaita wanachama wenzako magaza sijui, unafikiri utafika mbali? Na hii ni kwa wote wenye muono wa kimakundi -- kuna wengine ni wazi kabisa wanamchukia Zitto kwa vile wao ni wa Mbowe. Wote nyie wa dizaini hizo hamfikagi mbali kisiasa.
Acha umbulula kama huwezi kusoma watu wengine wenye akili timamu tutasoma na kubaini unafiki ulio ndani ya CDM.
Nalog off
Kheeh! Unampa sifa asizostahili.
Point of correction:Mleta mada si mwanachama wa CHADEMA.
Aliwahi kuwa mwanachama lakini akafukuzwa kwa tuhuma za usaliti na kuhujumu chama baada ya tuhuma kuthibitishwa pasipo na shaka(beyond reasonable doubt)
Akili yako inawaza pafupi tu?. ndio maana mnaandika uwongo uwongo kwa kupenda vifupi?. mbona ile ripoti yenu ndefu sana?
hawana jina zuri la kuwaita zaidi ya ''WAGAZA''.
kama mnaweza kukaa mkatunga uwongo na kuusambaza kwa kasi ya ajabu, mkautetea na kuufanya uaminiwe.
kama mnaweza mnkamshutumu mtu kwa usaliti baada ya kifo chake mkamuita kamanda,
kama mnaweza mkaweka mipango mpaka ya kutoa roho za wenzane kwa sababu ya madaraka ya duniani na ustawi wa KABILA LENU. kwanini sasa tusiwaite WAGAZA?.
kwangu mimi nyie ni WAGAZA na nitaendelea kuwaita hivyo daima dumu
anakijenga chama kwa kumtukana zitto mtandaoni?.
Makamanda "WAGAZA" ndiyo nini?
protocal kwa hili! my foot..,wenye iq ndogo mtakesha kwenye hili.
Mnyika ni mwenezi amelimaliza kwa niaba ya chama chake
aliyekudanganya kuwa mnyika hana kundi ni nani?.
mnyika ni mwanamkakati wa OPERESHENI ONDOA ZITTO KWENYE HOJA ZENYE MASLAHI KWA UMMA
WACHAGGA
Ilikua code name ya kumaanisha "Wachagga" ndani ya PM-7
Karne hii tunaeneza chuki za kikabila kama msingi wa siasa.
Hii ni njia inayotumiwa na narrow minds kwenye siasa