Zitto, Kwenye hili tayari umeshinda!

Zitto, Kwenye hili tayari umeshinda!

Hamna ukweli hapo,ni upuuzi mtupu. Huwezi furahia chakula kitamu kwenye sahani yenye harufu ya kinyesi.Mchange hata uongee ukweli hatutaupokea,unanuka kinyesi na wafuasi wenzio.Umeonyesha ushabiki wa kitoto kwenye hoja nyeti,huwezi kutuaminisha eti zitto ni bora kuliko mbowe,wakati zitto katengenezwa na mbowe.Mabega hayawezi shinda kichwa.

NYerere alipokelewa na SYKES na kina FUNDIKIRA lakini baadae yeye ndo alikua kiongozi
 
Ukiwa kwenye Upinzani unatakiwa uwe Msafi... Ndio maana kina Lowasa hawawazi kuingia kwenye Upinzani.... Sasa kama Kina Mbowe ni wachafu wajisafishe kwanza au wapishe wananchi tunachohitaji ni Siasa safi na Maendeleo..... mimi si mfuasi wa maneno maneno Maendeleo kwanza
 
Acha vitisho

Mnaandika tamko refu la kutaja majina ya watu.Hesabu idadi ya jina "Lema" kwenye hilo tamko.Utaweza kugundua kiwango cha hasira na upeo mdogo wa mwandishi.Hayuko sawa kisaikolojia

Je CHakubimbi Lema yupo sawa
 
Mkuu umesahau kuwa unaweza kujenga nyumbani ukaitelekeza mpangaji akawa anaifanya usafi na akawa na uchungu nayo sababu yeye ndo anaishi humo, Tuthibitishie kuwa ulikuwa hupewi 150000 na Zitto.

Tulia unapokuwa unaandika,"Sio huwezi kujenga nyumbani bali huwezi kujenga nyumba"
 
Hii inaweza ikawa post yangu ya mwisho kwako, pengine utaelewa.

Hakuna anayedhani kwamba Mnyika au mwanaChadema yupo neutral bila upendeleo wowote. Na hilo siyo lengo langu na wala halipo katika asili ya binadamu. So, once more, inategemea na namna unavyopresent kutofautiana huko publically na pia nafasi yako kuproject hizo tofauti.

Huwezi kuona katika maandishi ya Mnyika akimpuuza Zitto kijinga kijinga kama wewe ulivyofanya kwa viongozi wako. Na hata kama Mnyika ikitokea ukahisi amefanya hivo, ana moral authority ya kufanya hayo. Anaweza kusimama akatetea mawazo yake kwamba "mimi ni Mbunge na kiongozi ndani ya chama, na nadhani fulani hauendi sawa".

Ona tofauti na wewe: "LEMA anapita tu njia CHADEMA kwa kuwa yeye ni msaka tonge tu kama wasaka tonge wengine"

Sasa, mwisho, ukiachilia mbali kwamba namna yako ya kuproject tofauti na waliokuwa wenzio haionyeshi humility kama mwanasiasa mchanga mwenye mwono wa kufika mbali kwenye chama, pia huna moral authority ya kumsema hivyo Lema. Na usidhani kwamba public itakupokea vizuri hata kama Lema amekosea (btw, ni mwanadamu). Na Mnyika wakati akiwa mchanga kwa level zako kisiasa, it would have been unthinkable for him to say such autrociously suicidal statements.

Ila lugha ya kuuzi ya Lema kwenda kwa Zito ilikua na ubinadamu
 
CHADEMA hakuna kama Zitto,
  1. Mbowe, ni form four failure
  2. Lema ni form two failure
  3. Sugu ni form four failure
  4. Dr Babu ana certificate ya theology.
wengi elimu zao ni za kuungaunga tu. ndio maana 2010 walikosa mgombea mwenza wa urais kutoka znz, wakamweka jamaa mmoja aliyeishia darasa la saba!

It does not cost much to test your IQ level! What do you mean by such stupid arguments? Kwani mama mzazi wako ingawa hakwenda shule mbona familia yenu imeiongoza mpaka ukaenda shule ingawa usingefika huko kutokana na tatizo la kichwa chako! anza kujifunza!!
 
It does not cost much to test your IQ level! What do you mean by such stupid arguments? Kwani mama mzazi wako ingawa hakwenda shule mbona familia yenu imeiongoza mpaka ukaenda shule ingawa usingefika huko kutokana na tatizo la kichwa chako! anza kujifunza!!

LEMA anawadanganya wana Arusha kuwa alifanya mtihani wa NECTA online! ulishasikia hii?
 
halafu kuna lugha ya kimasikini sana umeitumia humu kwamba zitto amejenga nyumba na eti lema ni mpangaji ! Vyama vya siasa ni mali ya wanachama , once ukimkubali mtu yeyote kuwa mwanachama , anakuwa na haki sawa na wakongwe , Mrema alimtimua Leo Lwekamwa TLP japo alikuwa founder , poor Mchange , chumba chako cdm kimepangishwa tafuta pa kukimbilia .
 
Kwa nini wanamlenga sana Zito? Nashindwa kujua ni easy target au vipi? Je Chadema bila Mbowe, Zito na Slaa siyo chama? Je hao ndiyo guzo ya CDM? Nadhani ifike mahali watu wafahamu kuwa vyama pamoja na kuwa vinahitaji watu makini pia ni taasisi. Mbona CCM imekuwepo pasipo Mwalimu, Kawawa na Sokoine? Nadhani ni makosa makubwa kuona chama kuwa ni watu fulani. Hizo ni fikra za upeo wa kuku wa kienyeji kwa kuwa kuku hajui kesho.Yeye anajua leo tu ashibe na akiona tena mwanga wa siku nyingine huenda kwenye mradi wa kutafuta chakula cha Siku. Kwenye vyama vya Siasa watu hujiunga na muda wao ukiisha wanazaliwa wengine na kujiunga na utaratibu huo huendelea hivyo. Propaganda za wanaodhani kuwa ni wanasiasa hapa Tanzania hujaribu kujenga taswira ya vyama kwenye haiba za watu jambo ambalo ni umaskini wa kupindukia wa mawazo. Nadhani tufike mahali tuondokane na umaskini huu wa mawazo "let us think big."
Wana CCM niwaambie tu kuwa bila Upinzani imara CCM kitakuwa pango la wanyang'anyi. Kuwepo kwa vyama vya upinzani ni faida kubwa kwa CCM na hilo tunapaswa kulifahamu hebu tujifunze kwa wenzetu kule Marekani, Uingereza, watu waliobobea kwenye demokrasia. Hawafanyi siasa za kishenzi za kujaribu kuua vyama bali hufanya siasa za kujenga hoja siyo za majungu.
Fikirieni Tanzania bila Upinzani CCM ingekuwaje? Fikirieni CCM bila upinzani ingekuwaje? Tuangalie vyama kama taasisi na wala tusiangalie vyama kwa kuangalia baadhi ya watu tunaodhani ni mashuhuri. Wako wapi watu mashuhuri katika dunia hii? Wako wapi? Hebu tuachane na siasa za majungu.
 
Ni sahihi kabisa ki-protokol kwa Mnyika kuwasiliana na public. Lakini si sahihi kwa zitto kupata majibu kwa kumtumia Mnyika. Kwa kuwa Zitto amemuandikia Slaa; basi ki-protokol Slaa alitakiwa amjibu Zitto kimaandishi kabla ya Mnyika kuruhusiwa kuwasiliana na umma (public).
Mkuu Mnyika alijibu email ya yule mama wa ujeremani akiwa amemcopy zzk pia na hapo ilikuwa tarehe 9-11-013 lakini zzk akaandika tena barua kwa katibu mkuu tarehe 10-11-013. Hivyo kinsingi zzk either hakuridhika na majibu ya Mnyika au hakuiona email ya Mnyika hivyo siyo issue ya protocol ila kama msemaji wa chama alifanya kwa niaba ya chama na hakuandika mambo yake mwenyewe bali kama msemaji tu. Na ninaamini katibu mkuu hana haja ya kumjibu tena zzk kwa sababu ufafanuzi aliokuwa anautaka zzk ndo huo uliotolewa na chama kupitia msemaji wake, labda kwa ajili ya record tu wanaweza wakamjibu japo content itakuwa ni ileile.

Kimsingi kwa wasiojua kinachoendelea wanaweza kudhani viongozi wakuu wa chadema ni wajinga katika hili. Kwa taarifa yako chadema wanaijua mbinu ya ccm muda mrefu hata kabla ya kutokea. Hii issue inahitaji kufikiri nje ya box ndo utajua kinachoendelea. Watu wenye akili ya kawaida wataishia kuchungulia ndani ya box na kuishia humohumo kama ulipoishia wewe lakini wenye akili ya tofauti wataenda nje ya box pia!

Watu wako kazini mkuu lakini tatizo ni kuwa wenye akili nchi hii hawako huko ila ni raia wakawaida tu na ndiyo hao wanweza kufikiri nje ya box. Kumbuka mlivyokuwa shule wenyeakili walipita njia ngani ndipo utajua kuwa hawako huko ndiyo maana hakuna cha maana watakachokifanya wenyeakili wasiweze kung'amua!
 
halafu kuna lugha ya kimasikini sana umeitumia humu kwamba zitto amejenga nyumba na eti lema ni mpangaji ! Vyama vya siasa ni mali ya wanachama , once ukimkubali mtu yeyote kuwa mwanachama , anakuwa na haki sawa na wakongwe , Mrema alimtimua Leo Lwekamwa TLP japo alikuwa founder , poor Mchange , chumba chako cdm kimepangishwa tafuta pa kukimbilia .
 
halafu kuna lugha ya kimasikini sana umeitumia humu kwamba zitto amejenga nyumba na eti lema ni mpangaji ! Vyama vya siasa ni mali ya wanachama , once ukimkubali mtu yeyote kuwa mwanachama , anakuwa na haki sawa na wakongwe , Mrema alimtimua Leo Lwekamwa TLP japo alikuwa founder , poor Mchange , chumba chako cdm kimepangishwa tafuta pa kukimbilia .

Lema aliondoka TLP baada ya wanachama wa TLP kutokuwa na imani naye, Alisaliti wana Arusha kwa kuhongwa milioni 30!
 
Mkuu kwa mwendo huu, hatutaenda mahali. Mi nafikiri kama haya madai yana ukweli, ajitokeze Slaa au Mbowe afunge mjadala ili wanachama kwa ujumla waelewe kinachoendelea ndani ya chama kuliko kuwaachia watu wenye id fake kuwashutumu wengine! Ni mara nyingi sana nimemwona Dr Slaa akijitokeza huku jukwaani akijibu hoja ambazo hata hastahili kujibu, lakini hili linalohusu mustakabali wa CDM yeye kakaa kimya as if halimhusu. Siasa za CDM zimekua kama za CCM kiasi kwamba mnatukatisha tamaa kwenye safari yetu ya ukombozi.

Mkuu wangu Daudi Safari, ushindi wowote utakuja ikiwa sisi washindani tupo pamoja as team na tukiwa na mshikamano ulioimara. Kumbuka kuparangana kwa uongozi CDM ni kutengeneza mwanya wa sisi wanachama kuparangana pia. Kuna watakaomwona ZZK kama shujaa wao, wengine Slaa, na Mbowe pia atapata wa kwake! Tusifanye mzaha katika jambo kubwa kama hili na kumwona msaliti kila anaeonekana kuwa na wazo tofauti. We can differ in our interest, but still we are friends.

Hivi mara ngapi Katibu mkuu wa CCM ametuhumiwa Ujangili,viongozi wangapi wa ngazi za juu CCM wametuhumiwa kuhusika na madawa ya kulevya,viongozi wangapi wa CCM wametuhumiwa ufisadi na wizi?Mara ngapi mwenyekiti wa CCM mheshimiwa JK aliwahi kuzitolea ufafanuzi tuhuma hizo za viongozi wenzie?Acheni unafiki na uzandiki,who is Zito by the way,mpaka Mwenyekiti au Katibu mkuu alitolee ufafanuzi?Hiyo ni ishu personal lakini kwa busara CDM waliyonayo Mnyika ameishaitolea ufafanuzi,wht next mnataka?Nilisema toka mwanzo badala ya kuja hapa na kutishia watu mahakamani;aseme hizo namba sio za kwangu,hao wanaosemekana kutumiwa hela sijawahi kuwatumia,au hata kama niliwatumia zilikuwa za kuninunulis mboga nyumbani au mimi ndiye mhasibu wa CDM nilikuwa nawatumia mishahara;Hapo tutawaelewa!
 
mchange , unaweza kuniambia wewe na wenzako kwanini ulienguliwa kwenye uchaguzi wa Bavicha ?

mawazo yako yanawaza ki bavicha bavicha?. unazungumzia bavicha ipi sasa hii iliyokufa ama ile inayosubiri matukio ya kichama i survive?.
 
Hivi mara ngapi Katibu mkuu wa CCM ametuhumiwa Ujangili,viongozi wangapi wa ngazi za juu CCM wametuhumiwa kuhusika na madawa ya kulevya,viongozi wangapi wa CCM wametuhumiwa ufisadi na wizi?Mara ngapi mwenyekiti wa CCM mheshimiwa JK aliwahi kuzitolea ufafanuzi tuhuma hizo za viongozi wenzie?Acheni unafiki na uzandiki,who is Zito by the way,mpaka Mwenyekiti au Katibu mkuu alitolee ufafanuzi?Hiyo ni ishu personal lakini kwa busara CDM waliyonayo Mnyika ameishaitolea ufafanuzi,wht next mnataka?Nilisema toka mwanzo badala ya kuja hapa na kutishia watu mahakamani;aseme hizo namba sio za kwangu,hao wanaosemekana kutumiwa hela sijawahi kuwatumia,au hata kama niliwatumia zilikuwa za kuninunulis mboga nyumbani au mimi ndiye mhasibu wa CDM nilikuwa nawatumia mishahara;Hapo tutawaelewa!

kwa hiyo unataka CDM ifanye kama inavyofanya CCM?.
 
msitufanya watanzania wajinga tumesoma na tumeelewa hoja za msingi hamjajibu mnalukia mambo mengine watanzania sio wajinga kiasi hicho.

hakuna mwwenye uwezo wa kujibu chochote hapo. wataishia kupiga domo tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom