hilo ghorofa la Kisasa Dom hata mwnyewe nimeliona,kuna watu humu hawamjui ZITTO,ni bora wapige kimya tu
Thank You Mchange,
KUKU NI KUKU TUH,JOGOO JINA,
HAPA KUKU NI DR SLAA,
Na itoshe sasa tumuambie ya kwamba yeye na hao vifaranga anaowafuga wameshatambulika na kudharaulika na watanzania wote,na kwa sasa wasubiri tuh kuwa MUDA tuh NDIO UTAKAOWAHUKUM...
NI KWELI NAKUBALIANA NAWEWE KWAMBA HADI HAPA MSHINDI AMESHAFAHAMIKA
Mkuu wewe bado ni mwanachama wa cdm or ushajitoa?
Maana naona unatukana mkunga angali uzazi bado upo?
Nways ngoja tusubr tamko la wengine nao waliotajwa kwa hyo report naikumbukwe kila andishi litokanalo na matamko yenu linazidi kutupa mahasa ya kuhoji zaidi:
"Kwa nini wassira na mwigulu kwa nyakati tofauti wamesikika wakisema chadema itakufa kabla ya 2013"?
Hivi mara ngapi Katibu mkuu wa CCM ametuhumiwa Ujangili,viongozi wangapi wa ngazi za juu CCM wametuhumiwa kuhusika na madawa ya kulevya,viongozi wangapi wa CCM wametuhumiwa ufisadi na wizi?Mara ngapi mwenyekiti wa CCM mheshimiwa JK aliwahi kuzitolea ufafanuzi tuhuma hizo za viongozi wenzie?Acheni unafiki na uzandiki,who is Zito by the way,mpaka Mwenyekiti au Katibu mkuu alitolee ufafanuzi?Hiyo ni ishu personal lakini kwa busara CDM waliyonayo Mnyika ameishaitolea ufafanuzi,wht next mnataka?Nilisema toka mwanzo badala ya kuja hapa na kutishia watu mahakamani;aseme hizo namba sio za kwangu,hao wanaosemekana kutumiwa hela sijawahi kuwatumia,au hata kama niliwatumia zilikuwa za kuninunulis mboga nyumbani au mimi ndiye mhasibu wa CDM nilikuwa nawatumia mishahara;Hapo tutawaelewa!
kwa hiyo unataka CDM ifanye kama inavyofanya CCM?.
yani mtu atibue mambo hahalfu aangaliwe tu kisa akitoka itaonekana sijui muislam ametengwa!!!rubbish comment of the day,huyu ataondoka na cdm itabaki,infact hata aondoke mbowe na slaa chadema itabaki.
Mkuu hapa ndipo tunapokesea kufananisha CDM na CCM!! Hainingii akilini kwa CDM kuanza ku-practice yale mambo ya hovyo yanayofanywa na CCM. Mi nilifikira kwa kuwa CDM ni chama makini isingetazama Kinana, JK wala yeyote hasa pale wanapotuhumia na wakakaa kimya. Chama makini kingetakiwa kijibu shutuma na kujisafisha kuliko kukaa kimya kama CCM. Tofauti inakuwa wapi kati ya chama makini na chama hovyo hovyo??
huyo zitto wenu hajatolea maelezo ya kuridhisha tuhuma zile,anajibu juu juu tu,anaona aibu kuacha siasa lakini kimsingi ameshastukiwa tamaa yake ya hela za mafisadi.,kumshindanisha slaa na zitto ni sawa na kushindanisha pilau na ugali wa muhogo,acheni utani nyinyi.
kwanza kwa kuweka rekodi sawa william malecela ndiye alikuwa anajiita le mutuz le big show,wewe copycat usiye mbunifu ukadandia jina lake like a groupie!!!Atolee majibu wapi??yeye si alikuja kukanusha akawaambia nyinyi vifaranga mlete ushahid yeye awajibike nyinyi kwa ujuha wenu mkaja kuleta risit za hotelin,sasa mnatumia akili kweli au matope kufikiri??
Ule unaweza kuita ushahid kweli??
Unasema hatuwez kumfananisha zitto na slaa na kwamba slaa yuko juu ya zitto kwa hoja zipi??
-Slaa kamkuta zitto chadema??
-Slaa ni religious extrimist zitto yuko hivyo??
-Zitt ana elimu kubwa kumzid slaa,au unataka kufananisha udokta wa mambo ya dini alionao slaa na elimu aliyonayo zitto??
-Zitto kakipigania hiki chama pamoja na watu kama mbowe,slaa kakaribishwa tuh,sisi tunaona zitto ni zaid ya slaa kwa kila kitu na nyinyi mnalitambua hilo
kwanza kwa kuweka rekodi sawa william malecela ndiye alikuwa anajiita le mutuz le big show,wewe copycat usiye mbunifu ukadandia jina lake like a groupie!!!
zitto anajitangazia muasisi wa chadema wakati kipindi chadema inaasisiwa yeye alikuwa machakani mwandiga anapangusa makamasi kwa flana na kuwinda ndezi.
unaongelea field mbili tofauti,ndio maana magufuli ana phd ya korosho na ndugai ana masters ya wanyama
kwenye siasa zitto ni ugali wa muhogo slaa ni pilau utake usitake..
tunazungumzia yeye atoe ufafanuzi wakina na wa kisayansi kama ile ripoti ilivyotoa,yaani tarehe na transactions zilivyokuwa zikifanyika.
wewe kama unajiona harakati hizi za ukombozi zina chembe ya jihad kajiunge na alshabaab maana udini ndio umekujaa.
mnyika ameshafunga mjadala acheni kulialia.