Kwa hivyo ndivyo polisi wa Tanzania wanavyofanya kazi ina maana mkiuwawa, hakuna uchunguzi kwa sababu hakuna mlalamikaji....!!!! Basi hatuna polisi nchi hii.Hahaha wao wanasema hakuna mlalamikaji. Na lisu na dereva hawajaandikisha maelezo popote, hivyo hawawezi kuchunguza.