Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
Familia inaruhusiwa kutafuta wachunguzi binafsi kwa gharama zao? Au sheria hairuhusu?Word!
Lakini Mkuu, kila Serikali huwa na itikadi, msimamo na sera zake. Hii ya sasa inatazama wachunguzi wa nje/wa kimataifa kama watakaoionyesha Serikali kushindwa katika kuchunguza na kushughulikia masuala ya kiusalama.
Kwa msimamo wao, wako sahihi ingawa demokrasia inaruhusu kutofautiana nao.
Piga kazi Mkuu Zitto. Mambo yote yapo 2020!