Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,114
- 35,120
Kipindi kile Kamanda Sirro, alisema suala la Lissu lilishafungwa, na hataki tena huo mjadala kuendelea popote pale.
Sasa sijui Masillingi katumwa na nani kusema kuwa Polisi bado wanachunguza?
Alikuwa anaropoka?
Sasa sijui Masillingi katumwa na nani kusema kuwa Polisi bado wanachunguza?
Alikuwa anaropoka?