Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,058
- 134,392
Kiongozi mkuu wa chama cha ACT wazalendo na Mbunge wa Kigoma mjini Mh.Zitto Kabwe amesema hatua ya serikali kuzuia kufanya mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa imeminya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni.
Source:ITV
Swali:
Popo ni ndege au mnyama?!Wakili mwanaJF Peter Mselewa anahoji Kwanini Zitto Kabwe hakusema hivyo mbele ya Rais Magufuli kule Kigoma alipopewa nafasi kuwasalimu wananchi? Zitto aache usanii na utapeli wake wa kisiasa.
Source:ITV
Swali:
Popo ni ndege au mnyama?!Wakili mwanaJF Peter Mselewa anahoji Kwanini Zitto Kabwe hakusema hivyo mbele ya Rais Magufuli kule Kigoma alipopewa nafasi kuwasalimu wananchi? Zitto aache usanii na utapeli wake wa kisiasa.