Zitto: Kuzuia mikutano kunaminya demokrasia

Zitto: Kuzuia mikutano kunaminya demokrasia

Baada ya kuona ameshambuliwa mitandaoni kwa kuitwa kibaraka wa ccm ameamua kujikosha kinafki.
 
Mawazo uliyonayo hayatofautiani na ya Livingstone Lusinde ambaye akipewa nafasi bungeni achangie bajeti anawatukana wapinzani.

Wananchi wanatatizo la maji na barabara, unapewa nafasi aseme kuhusu hayo mambo wewe unataka azungumzie mikutano ya siasa.
Anyway,
Umeandika kulingana na vile uhuru unavyokuruhusu.
Mkuu, jadili mada
 
Mbona Bilago hakusema hivyo, ni mbunge wa Chadema.. Mbona Waitala alipokua na JPM kinyerezi hakusema.. Punguzeni ujinga..

Kumbuka ule ulikua mkutano wa Rais sio wa Zitto..

Ndio mana Mbowe alikua anamponda sana JK.. Ila siku JK kaenda jimboni kwake Hai, Mbowe aliishia kumsifia tu, kuwa ametembea angani na ardhini ajawai kukutana na kiongozi mzuri kama JK..

Kwanini Chadema wengi ni bahaluli
 
Kiongozi mkuu wa chama cha ACT wazalendo na Mbunge wa Kigoma mjini Mh.Zitto Kabwe amesema hatua ya serikali kuzuia kufanya mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa imeminya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni.
Source:ITV

Swali:
Popo ni ndege au mnyama?!Wakili mwanaJF Peter Mselewa anahoji Kwanini Zitto Kabwe hakusema hivyo mbele ya Rais Magufuli kule Kigoma alipopewa nafasi kuwasalimu wananchi? Zitto aache usanii na utapeli wake wa kisiasa.
KIGOOOMA We kigoma wewe li............!!!
 
Kiongozi mkuu wa chama cha ACT wazalendo na Mbunge wa Kigoma mjini Mh.Zitto Kabwe amesema hatua ya serikali kuzuia kufanya mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa imeminya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni.
Source:ITV

Swali:
Popo ni ndege au mnyama?!Wakili mwanaJF Peter Mselewa anahoji Kwanini Zitto Kabwe hakusema hivyo mbele ya Rais Magufuli kule Kigoma alipopewa nafasi kuwasalimu wananchi? Zitto aache usanii na utapeli wake wa kisiasa.
Mkuu, ni Petro na si Peter.
 
Mkuu chadema wa kwenye mtandao ni wa hovyo kabisa.
Kitu akifanya Mbowe hawasemi, the same issue akisema Zitto povu linawatoka.
Ndiyo maana ccm wanawaita nyumbu.
Mbona Bilago hakusema hivyo, ni mbunge wa Chadema.. Mbona Waitala alipokua na JPM kinyerezi hakusema.. Punguzeni ujinga..

Kumbuka ule ulikua mkutano wa Rais sio wa Zitto..

Ndio mana Mbowe alikua anamponda sana JK.. Ila siku JK kaenda jimboni kwake Hai, Mbowe aliishia kumsifia tu, kuwa ametembea angani na ardhini ajawai kukutana na kiongozi mzuri kama JK..

Kwanini Chadema wengi ni bahaluli
 
Kiongozi mkuu wa chama cha ACT wazalendo na Mbunge wa Kigoma mjini Mh.Zitto Kabwe amesema hatua ya serikali kuzuia kufanya mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa imeminya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni.
Source:ITV

Swali:
Popo ni ndege au mnyama?!Wakili mwanaJF Peter Mselewa anahoji Kwanini Zitto Kabwe hakusema hivyo mbele ya Rais Magufuli kule Kigoma alipopewa nafasi kuwasalimu wananchi? Zitto aache usanii na utapeli wake wa kisiasa.
Ndumilakuwiliiii!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom