kwa kweli huyu kijana nimemfuatilia kwa muda mrefu na kugundua ni miongoni mwa viongozi wa chache ambao wana nia ya dhati ya kuwakombania wananchi wa nchi hii ya Tanzania
pia ni kijana mwenye maono na uwezo wa kujenga hoja, ni mtu mwenye kujiamini na kuwa tayari kuusimamia na kuutetea msimamo wake
ni mtu asiendeshwa na emotion kama viongozi wengine, ni kiongozi pekee karibu vyama vyote vya siasa na wasiokuwa na vyama wanamuheshimu na kumpenda
kwa kweli zitto anafaa kuwa mgombea wa chadema 2015
Uraisi ni wa Zitto 2015. Vinginevyo chadema itachakachuka balaaaaaaaaaaaaaaa. ndiye ataweza kupambana na The Dream Team.
Kijumla anafaa sana LAKINI TATIZO LAKE PEKEE NI DINI YAKE. Je Chadema watalikubali hilo safari hii maana yake alipogombea Uenyekiti walimtoa kwa sababu za mavirigiza.
Kuna taarifa (toka TBC1) kuwa leo Zitto katoa tamko rasmi kuwa ana mpango wa kugombea urais wa Tanzania mwaka 2015 na akawaomba wananchi wampe kura nyingi ili apate hadhi ya kuweza kugombea urais wa nchi hii.
Kila la heri mkuu Zitto, walau una nia! Je, katiba itabadilishwa?
LAKINI
Utakuwa lini na akili timamu wewe sheikh?
Kwani uongo? Hebu tuambie ni kitu gani kilichomfanya baraza la wazee wa Chadema kumuengua jina lake wakati wa uchaguzi mkuu wa chadema katika nafasi ya mwenyekiti Taifa
?
Kwa kweli nampenda sana Zitto kwani siku zote yu makini na kauli zake na ana msimamo sana kwa yale anayoyakubali na sio mnafiki.
hata Chadema walipomgomea rais ndani ya bunge yeye alibaki na kusema hakutumwa na wapiga kura wake kutomtambua rais. Aliipongeza wazi wazi Serikali ya CCM kwa kujenga barabara nyingi za lami katika jimbo lake kuliko jimbo lolote kule kigoma na mengine mengi.
Mimi naona kuna dalili za kila aina kuona jina la Zitto linafifia na kufa kabisa hususan ndani a Chadema sababu kubwa na chanzo chake Pale alipotaka kuingilia himaya ya MBOWE kwa kuamua kugombea nafasi ya Uenyekiti Taifa wa Chadema na kuleta upinzani mkali sana na upepo ulibainisha wazi angeshinda nafasi hiyo toka kaskazini.
Pili nasukumwa kusema labda Dini yake inaweza kuwa kikwazo cha Chadema kumpendekeza kuwa rais.
naamini kama atapelekwa kwa wananchi yeye na Dr Slaa basi Slaa ataachwa vibaya sana kama alivyookolewa MBOWE katika Uenyekiti.
Na Chadema wanalijua hilo na jamii nzima amelielewa na kama hamumtaki basi mtoeni uanachama aende chama kingine kama hayajatokea yale ya kafulila.
Nipo naangalia Taarifa ya habari, nimemuona Zitto Kabwe akihutubia kwenye kampeni za kuomba ubunge huko jimboni kwake kigoma. Katika mkutano huo Kabwe anawaeleza wananchi kuwa mwaka 2015 hataenda tena jimboni hapo, lakini si kugombea ubunge tena bali ni URAISI. Hivi ni nini mantiki ya hii kauli kwa kiongozi mwandamizi wa chama.
Je ni kauli ambayo inaleta taswira gani, Je inajenga au inabomoa?
Kwanza kabisa, huyo Zitto hawezi kuwa nominee wa chama chochote.
Pili, ikitokea miujiza amekuwa nominee kura yangu hatapata.
Unapenda kutoa majibu mepesi kwenye maswali magumu! Jaribu kutumia akili kidogo
Ur Bogus and Mentally retarded...karne hii unaendeleza ujinga wa mambo ya Ujima?