mkuu kichuli, zitto nae ana roho kama wewe. mimi namsifu mpaka hata huko kujitolea kuliweka wazi otherwise tusingesikia kitu hapo mkuu na hata wewe na u.bw.ege wako usingekuwa na cha kuchangia hapa. mshukuru sana zito na si kumtukana. au wewe ndo wale wenzetu?Zito anapenda sana sifa na kwa hili hana msaada kwani kwenye tume ya madini alisaidia nini muacheni akapate posho hana chochote mzee wa kulalamika kama kweli ana uchungu angetaja majina tume ya nini wakati majina anayo?