zimwimtu
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 1,988
- 1,095
Huu utamaduni wa kikatili, chuki na visasi ulianza rasmi October 2015.
wewe uliandika haya! unakumbuka maumivu aliyoyapata dr ukimboka? unakumbuka tukio alilofanyiwa kubenea la kumwagiwa tindikali na vifaa vyake kuchukuliwa? unakumbuka alichofanyiwa ablasoom kibanda kutobolewa macho? na mwisho kabisa, unakumbuka alichofanyiwa chacha wangwe??? leo yupo wapi?
unaposema matukio ya kikatili yalianza october 2015 unajitoa ufahamu au wewe ni mtoto wa miaka 2 haukuwepo enzi hizo????