Zitto Kabwe: Tangu lini Rais anaheshimu Bunge? Kosa la Lugola ni kufanya dili kwa kumzunguka Rais, hoja ya Bunge ni kisingizio tu

Muhimili upi wewe ?tafsiri ya bunge nenda ibara ya 62(1),Bunge lina sehemu 2, Rais na Wabunge

Mimi sipingani na uwepo wa Mihimili ,nna pinga Utaratibu kutofuatwa kwa mujibu wa Sheria.Raisi anayo matakwa ya kikatiba vile vile Bunge nalo lina Matakwa ya kikatiba ktk kutekeleza Majukumu yake.Haiwezekani a Trillions of Money ifanyiwe Bajeti na Mtu mmoja au Taasisi moja.Matumizi yote ni lazima ya hidhinishwe na Bunge ambalo ndio Wananchi wenyewe.
 
Umesha jiuliza hicho kipengele Mstari wa mwisho nna Nukuu "isipokuwa tu pale anapo takiwa na Katiba hii" tayari amewekewa utaratibu wa kuufuata ki'Katiba !?.Usisome Katiba kama unavyo soma Magazeti ,kila Maneno yanayo Maana,ni kwa Sababu tu Afrika hatu heshimu (Katiba) hata ule utaratibu tulio jiwekea.
Sheria ya utekelezaji wa kazi na shughuli za rais ni no 15 ya mwaka 1984 ibara ya 9,
Na ya mwaka 1992 na 4 ibara ya 12 ..
Kipengele kipi mzee kinaendana na maneno yako.
 
Mimi sipingani na uwepo wa Mihimili ,nna pinga Utaratibu kutofuatwa kwa mujibu wa Sheria.Raisi anayo matakwa ya kikatiba vile vile Bunge nalo lina Matakwa ya kikatiba ktk kutekeleza Majukumu yake.Haiwezekani a Trillions of Money ifanyiwe Bajeti na Mtu mmoja au Taasisi moja.Matumizi yote ni lazima ya hidhinishwe na Bunge ambalo ndio Wananchi wenyewe.
Kasome katiba kaka ibara ya 62(1),,Rais ni sehemu ya bunge...yaani unaposema bunge nisawa na kusema Rais+Wabunge..
Umeelawa..kama rais hayupo hakuna kitu kinachoitwa "Bunge"..someni jamani msilishwe matango pori
 
Sheria ya utekelezaji wa kazi na shughuli za rais ni no 15 ya mwaka 1984 ibara ya 9,
Na ya mwaka 1992 na 4 ibara ya 12 ..
Kipengele kipi mzee kinaendana na maneno yako.

"Isipokuwa tu pale anapo takiwa na Katiba hii " una elewaje hapa Mkuu !?
 
Kwa hyo wizara sio taasis?WHAT A FOOLISH FOOL

Still you are in a shithole, dark minded human being.. Rais ndio kila kitu, nothing you know, akisema Rais katika nchi zetu hizi ndio inakuwa sheria, hujui tu? Ww umelala fofofo, wildebeest🐃🐃🐃
 
Kwanza Rais amefanya vizuri kutwambia sababu za kumuondoa kwenye uwaziri Mh. Lugola. Sheria haimfungi kusema sababu. Kama ambavyo hakutupa sababu za kuwateua anaowateua. Rais Trump aliishamfukuza mtu kazi kwa meseji ya tweeter.
 
Sawa rah
Rais Magufuli anasema Kangi Lugola na wenzake wamesaini Mkataba bila ruhusa ya Bunge. Hii ndio standard? Mkataba Gani? Mbona kama hiyo ndio standard wengi hawapaswi kuwepo ofisini hata yeye mwenyewe.

Ujenzi wa Chato Airport Shs 69 bilioni haukupitishwa na BUNGE

Ununuzi wa Helkopta 13 USD 200m za kumlinda yeye Rais haukupitishwa na Bunge

Mkataba wa SGR haukupitishwa na Bunge, Shs 5 Trilioni

Mkataba wa passport mpya haukupitishwa na BUNGE, shs 230 bilioni

Ununuzi wa ndege haukupitishwa na BUNGE, 1.5 Trilioni. Juzi Serikali imesaini Mkataba na Boeing kununua ndege ya pili ya Dreamliner kwa Mkopo ( lease purchase) BILA RUHUSA YA BUNGE wala huo mkopo haumo kwenye mikopo iliyoruhusiwa na BUNGE

Mkataba wa Barrick haukupitishwa na BUNGE

Rais aliidhinisha Fedha Shs 600 bilioni kutoka Benki Kuu ili kununua Korosho zilizoleta hasara ya USD 500m ( Shs 1.2 Trilioni) bila idhini ya Bunge.

Tangu lini Rais anaheshimu Bunge?

Kuna jambo. SIO HILI AMESEMA Rais. Najua kosa la Kangi kafanya Dili kwa kumzunguka Rais. Rais amekasirika. Rafiki yangu Kangi hakujua kuwa hakuna DILI nchini bila mkono wa Rais. Hoja ya BUNGE ni kisingizio tu.
Sawa "rahisi" wa waigizaji wazalendo, kama wewe ulivyoshirikishwa kwenye madini, mashirika ya umma na ya mafao ya uzeeni
 
Still you are in a shithole, dark minded human being.. Rais ndio kila kitu, nothing you know, akisema Rais katika nchi zetu hizi ndio inakuwa sheria, hujui tu? Ww umelala fofofo, wildebeest🐃🐃🐃
Jitu jinga usiejielewa
 
Kama kweli huyo Njaga Majuto Hussen amesema hivyo anajipendekeza kupata cheo .Sampuli ya afisa kama huyo hana mchango wowote kuendeleza elimu Iringa
 
Kasome katiba kaka ibara ya 62(1),,Rais ni sehemu ya bunge...yaani unaposema bunge nisawa na kusema Rais+Wabunge..
Umeelawa..kama rais hayupo hakuna kitu kinachoitwa "Bunge"..someni jamani msilishwe matango pori

62.-(1) Kutakuwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano ambalo litakuwa na sehemu mbili, yaani Rais na Wabunge. (2) Bunge litakuwa na wajumbe wa aina zote zilizotajwa katika ibara ya 66 ya Katiba hii ambao wote wataitwa Wabunge. (3) Iwapo jambo lolote lahitaji kuamuliwa au kutekelezwa na sehemu zote mbili za Bunge kwa mujibu wa masharti ya Katika hii au masharti ya sheria nyingine yoyote, basi jambo hilo halitahesabiwa kuwa limeamuliwa au limetekelezwa ipasavyo ila mpaka liwe limeamuliwa au limetekelezwa na Wabunge na vile vile na Rais, kwa mujibu wa madaraka yao kuhusu jambo hilo.

Ibara hiyo hapo ,Rais na Bunge wote wana tegemeana kwa Mujubu wa Kifungu hichi.Wabunge hawawezi kuhidhinisha/kupitisha jambo lolote bila Rais na vile vile Rais analazimika Jambo lake kujadiliwa na kupitishwa na Wabunge.Kinyume na hapo ni uvunjwaji wa Katiba..

Haya tuambie Ndege zilizo nunuliwa Bajeti yake ilipitishwa na Bunge lipi !!?
 
Rais ni taasisi na Waziri ni mtu. Zitto anakurupuka!
Pale Magufuli mwenyewe aliposema ikiwa taasisi za serekali zitakopa kwa namna walivyofanya lugola na wenzake bila kupitia Wizara ya fedha basi hata yeye (Magufuli) angelikopa. Hivi unadhani hakujua kuwa Urais ni taasisi? Wacha kujipendekeza kwa Magufuli wewe.
 
Rais Magufuli anasema Kangi Lugola na wenzake wamesaini Mkataba bila ruhusa ya Bunge. Hii ndio standard? Mkataba Gani? Mbona kama hiyo ndio standard wengi hawapaswi kuwepo ofisini hata yeye mwenyewe.

Ujenzi wa Chato Airport Shs 69 bilioni haukupitishwa na BUNGE

Ununuzi wa Helkopta 13 USD 200m za kumlinda yeye Rais haukupitishwa na Bunge

Mkataba wa SGR haukupitishwa na Bunge, Shs 5 Trilioni

Mkataba wa passport mpya haukupitishwa na BUNGE, shs 230 bilioni

Ununuzi wa ndege haukupitishwa na BUNGE, 1.5 Trilioni. Juzi Serikali imesaini Mkataba na Boeing kununua ndege ya pili ya Dreamliner kwa Mkopo ( lease purchase) BILA RUHUSA YA BUNGE wala huo mkopo haumo kwenye mikopo iliyoruhusiwa na BUNGE

Mkataba wa Barrick haukupitishwa na BUNGE

Rais aliidhinisha Fedha Shs 600 bilioni kutoka Benki Kuu ili kununua Korosho zilizoleta hasara ya USD 500m ( Shs 1.2 Trilioni) bila idhini ya Bunge.

Tangu lini Rais anaheshimu Bunge?

Kuna jambo. SIO HILI AMESEMA Rais. Najua kosa la Kangi kafanya Dili kwa kumzunguka Rais. Rais amekasirika. Rafiki yangu Kangi hakujua kuwa hakuna DILI nchini bila mkono wa Rais. Hoja ya BUNGE ni kisingizio tu.
Nakuheshimu sana bro lakin unaboa ww haunaga jema kwa rais unajishushia hadhi yako nyie si ndio wale wale tu wapiga dili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
62.-(1) Kutakuwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano ambalo litakuwa na sehemu mbili, yaani Rais na Wabunge. (2) Bunge litakuwa na wajumbe wa aina zote zilizotajwa katika ibara ya 66 ya Katiba hii ambao wote wataitwa Wabunge. (3) Iwapo jambo lolote lahitaji kuamuliwa au kutekelezwa na sehemu zote mbili za Bunge kwa mujibu wa masharti ya Katika hii au masharti ya sheria nyingine yoyote, basi jambo hilo halitahesabiwa kuwa limeamuliwa au limetekelezwa ipasavyo ila mpaka liwe limeamuliwa au limetekelezwa na Wabunge na vile vile na Rais, kwa mujibu wa madaraka yao kuhusu jambo hilo.

Ibara hiyo hapo ,Rais na Bunge wote wana tegemeana kwa Mujubu wa Kifungu hichi.Wabunge hawawezi kuhidhinisha/kupitisha jambo lolote bila Rais na vile vile Rais analazimika Jambo lake kujadiliwa na kupitishwa na Wabunge.Kinyume na hapo ni uvunjwaji wa Katiba..

Haya tuambie Ndege zilizo nunuliwa Bajeti yake ilipitishwa na Bunge lipi !!?
62.-(1) Kutakuwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano ambalo litakuwa na sehemu mbili, yaani Rais na Wabunge. (2) Bunge litakuwa na wajumbe wa aina zote zilizotajwa katika ibara ya 66 ya Katiba hii ambao wote wataitwa Wabunge. (3) Iwapo jambo lolote lahitaji kuamuliwa au kutekelezwa na sehemu zote mbili za Bunge kwa mujibu wa masharti ya Katika hii au masharti ya sheria nyingine yoyote, basi jambo hilo halitahesabiwa kuwa limeamuliwa au limetekelezwa ipasavyo ila mpaka liwe limeamuliwa au limetekelezwa na Wabunge na vile vile na Rais, kwa mujibu wa madaraka yao kuhusu jambo hilo.

Ibara hiyo hapo ,Rais na Bunge wote wana tegemeana kwa Mujubu wa Kifungu hichi.Wabunge hawawezi kuhidhinisha/kupitisha jambo lolote bila Rais na vile vile Rais analazimika Jambo lake kujadiliwa na kupitishwa na Wabunge.Kinyume na hapo ni uvunjwaji wa Katiba..

Haya tuambie Ndege zilizo nunuliwa Bajeti yake ilipitishwa na Bunge lipi !!?
Bila shaka tunaelekea pazuri..
Twende ibara ya 63(1)
Rais kama sehemu moja ya bunge atatekeleza madaraka yote aliokabidhiwa na katiba hii kwa ajili hio...
Ibara hio 63(1) inajibu au inatoa tafsiri ya kifungu cha 3 cha ibara ya 62...hii imewekwa mahususi kwa sbb huenda bunge likagoma kuridhia au hata kutojadili jambo ambalo ni la maamuzi baina ya wabunge na Rais...basi ibara hii inampa Rais ambae ni sehemu ya bunge madaraka yote ya kuamua jambo hilo...
Uliza tena...ujulishwe
 
Rais ni taasisi na Waziri ni mtu. Zitto anakurupuka!
johnthefool ndio maana umeshindwa kukataa kama wewe sio Mgaya. Kama nasikia harufu ya mkangafu tu. Taasisi gani isiyoheshimu Bunge wala Katiba? Mbona ulanzi unaheshimu mkangafu ambao unaheshimu kimpumu kinachoheshimu pingu? Ukisikia kuzeeka vibaya si kwingine. Futa huo upuuzi wako mwenyewe.
 
62.-(1) Kutakuwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano ambalo litakuwa na sehemu mbili, yaani Rais na Wabunge. (2) Bunge litakuwa na wajumbe wa aina zote zilizotajwa katika ibara ya 66 ya Katiba hii ambao wote wataitwa Wabunge. (3) Iwapo jambo lolote lahitaji kuamuliwa au kutekelezwa na sehemu zote mbili za Bunge kwa mujibu wa masharti ya Katika hii au masharti ya sheria nyingine yoyote, basi jambo hilo halitahesabiwa kuwa limeamuliwa au limetekelezwa ipasavyo ila mpaka liwe limeamuliwa au limetekelezwa na Wabunge na vile vile na Rais, kwa mujibu wa madaraka yao kuhusu jambo hilo.

Ibara hiyo hapo ,Rais na Bunge wote wana tegemeana kwa Mujubu wa Kifungu hichi.Wabunge hawawezi kuhidhinisha/kupitisha jambo lolote bila Rais na vile vile Rais analazimika Jambo lake kujadiliwa na kupitishwa na Wabunge.Kinyume na hapo ni uvunjwaji wa Katiba..

Haya tuambie Ndege zilizo nunuliwa Bajeti yake ilipitishwa na Bunge lipi !!?
Wapi kavunja katiba ...someni jamani msishikiwe akili na MAWAZO yenu na wanasiasa uchwara...Katiba ipo wazi kwani huoni.
 
Back
Top Bottom