Zitto Kabwe: Spika ameagiza Kamati za Bunge za PAC, LAAC, Bajeti na Uwekezaji kutofanya kazi na CAG, tunakwenda Mahakamani!

Ndio maana tunasema akili zenu mnakawakabidhi wanaowatuma. Hivyo hujui tofauti ya serikali na bunge. Mnakuja na mabakuli matupu madini mnayaacha Lumumba counter. Mihimili mitatu Bunge, Serikali na Mahakama. Hapa tunajadili Bunge sio serikali.
We endelea kucheza mziki wa huyo zitto kisha tuone CAG ataenda au hatoenda bungeni.. Mnang'ang'ana kuweka vifungu vya sheria vinavyompa mamlaka CAG as if Spika hana vipengele vyovyote vya sheria vinavyompa mamlaka na yeye.. #Nyumbu

Huyu jamaa aliwaambia Bombardier za mtumba, vipi mliishia wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mada ndani nimeielewa, Spika hayuko sahihi.

Ila kwenye heading unapokua unaji-quote mwenyewe Bw. Zitto unakua unamaanisha nini? Hivi hata usipoanza na jina lako kwenye heading si mtu akifungua atajua ni wewe tu umeandika? Au hua unakua unalenga ninihasa kujitaja mwenyewe kwenye heading?

Hii inabid afanye mtu mwengine kama ana-quote wewe, sio wewe uji quote mwenyewe.
 
Maadamu CAG hana uwezo wa kuamrisha Askari wetu basi yuko chini ya wanaoweza kuamrisha kuweni waangalifu sana hapa Zito Kabwe anawatumia kumjenga kisiasa lkn hana loyalty na chadema, hajawahi kuwa nayo na hatokuwa nayo huyo na Asadi ni damu damu, ,,the devil is in the details” wanasema.

BTW vipi ishu ya kutaka kuuliwa na Serikali yetu sasa huko Mahakamani si ndiyo Polisi wetu watakujenerali Kombe kwa urahisi? Anyway house negroes wameshatoka huko sasa wamehamia kwa CAG, ...
Wewe jamaa na wenzako ni watu wa ajabu sana.hapa mnamponda CAG na kusema kama ulivyosema, ooh mara hana askari wa kumuamrisha.Leo Ikitokea Magufuli akasema CAG asibugudhiwe alichokisema kuhusu Bunge ni kweli,wewe na wenzako mtaunga mkono kauli ya rais.
 
Wewe jamaa na wenzako ni watu wa ajabu sana.hapa mnamponda CAG na kusema kama ulivyosema, ooh mara hana askari wa kumuamrisha.Leo Ikitokea Magufuli akasema CAG asibugudhiwe alichokisema kuhusu Bunge ni kweli,wewe na wenzako mtaunga mkono kauli ya rais.


Ndiyo, Raisi wa JMTZ akisema nitaunga mkono.
 
Hulka yetu watanzania ni kuongea sana, wakati Assad anaulizwa na Rais kuwa katika report yako kuna Tr 1.5 imepotea Assad alisema hakuna, hakuna kitu kama hicho mheshimiwa, mwenyewe kwa mdomo wake, Msomi anaejitambua hawezi kuacha report ina hang tu juu bila kuwa na conclusions,yeye ndo katoa report mbovu narudia tena mbovu ambayo imeacha mambo mengi yasio kuwa na majibu, mimi ningemwambia aende tena akarudie kuandaa report kwa gharama zake mwenyewe.

Kosa la watanzania, kasi ya kukamata mafisadi ikipamba moto hapa watu huanza kusema wanaonewa, ana roho mbaya, ohh analenga wafanyabiashara ndio maana wanakimbia, tumeshuhudia serikali ikijitahidi kufuatilia na kuwakamata mafisadi lakini wananchi wanajitokeza kuanza kuwatetea ,hii ni tabia ya kugeuka geuka inafifisha juhudi zote za kupambana na rushwa, tunapenda tu kusikia mabaya ya serikali tupate uungwaji mkono lakini baada ya siku kazaa serikali ikianza kufanya kama wananchi mnavyotaka mnatoa lawama tena ,hii tabia tuache, report za CAG zije na serikali ifanye kama CAG anavyotaka, na tusilalamike kuanzia leo.

Ndugai, kwenda kwenye media na kutamka mambo ya pingu sio busara, nyie nyote ni viongozi wa serikalini ,kaa na CAG muangalie ni mambo yapi katika report zake hayajachukuliwa hatua,kama report haikueleweka basi mwiteni aje aieleze kwamba hapa ulikuwa una maanisha nini, simple, vitu vya kukimbilia kwenye media kila kitu madhara yake ndo hayo.
Umeandika vitu vya busara sana. Bahati mbaya CAG lazima achinjwe.
 
Haa haa haa..... imefikia hatua hii tena?

Sheria na katiba zinasemaje? Spika ana uwezo wa kuzuia hilo?

Nini kilicho nyuma ya huu mgogoro? Mbona ni wao kwa wao? Bunge litafanyaje kazi bila ya CAG kwa maswala ya usimamizi wa fedha za umma?

No, hapa kuna kitu kinakwepeshwa ili kisijulikane....tena kitu chenyewe ni ufisadi tu wa fedha za umma..!!

Na je, hizi zaweza kuwa moja ya dalili za ufalme uliofitinika na hivyo kuelekea ktk anguko lake?
Kabisa Mkuu.....,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We endelea kucheza mziki wa huyo zitto kisha tuone CAG ataenda au hatoenda bungeni.. Mnang'ang'ana kuweka vifungu vya sheria vinavyompa mamlaka CAG as if Spika hana vipengele vyovyote vya sheria vinavyompa mamlaka na yeye.. #Nyumbu

Huyu jamaa aliwaambia Bombardier za mtumba, vipi mliishia wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ngedere vipi mbona unarukiarukia miti??? Tulia kwenye mada iliyomezani. Hatuongelei CAG kwenda au kutokwenda ukitaka hilo mada ipo humu tafuta nenda ujadili huko hata kama unataka hiyo
We endelea kucheza mziki wa huyo zitto kisha tuone CAG ataenda au hatoenda bungeni.. Mnang'ang'ana kuweka vifungu vya sheria vinavyompa mamlaka CAG as if Spika hana vipengele vyovyote vya sheria vinavyompa mamlaka na yeye.. #Nyumbu

Huyu jamaa aliwaambia Bombardier za mtumba, vipi mliishia wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ngedere tafadhali tulia kwenye mti mmoja. Hapa tunajadili spika kuzuia kamati za bunge kufanya kazi na CAG hayo mengine yanatopic zake humu humu jamvini nenda huko. Shida mnakuja huku mmepewa vimaneno vya kuja kusema na kwa vile mmeshakabidhi akili hamwezi jadili kwa kutumia akili zenu. Umepewa mistari ya topic nyingine unafika hapa unakuta jamaa washaweka nyingine kwakuwa madini ushakabidhi huwezi jiongeza unabandika tu bila kujua haya apply hapa. So mpk tena mkaambiwe cha kuongea na anaewatuma matokeo yake mnarukaruka tu hamna hata point. Urudi Lumumba wapambe wakupe mistari ya hapa hii unayoleta ni ya topic nyingine. Angalia ukirudi na mistari ya hapa unakuta watu wapo na nyingine so usijejichanganya tena.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Maadamu CAG hana uwezo wa kuamrisha Askari wetu basi yuko chini ya wanaoweza kuamrisha kuweni waangalifu sana hapa Zito Kabwe anawatumia kumjenga kisiasa lkn hana loyalty na chadema, hajawahi kuwa nayo na hatokuwa nayo huyo na Asadi ni damu damu, ,,the devil is in the details” wanasema.

BTW vipi ishu ya kutaka kuuliwa na Serikali yetu sasa huko Mahakamani si ndiyo Polisi wetu watakujenerali Kombe kwa urahisi? Anyway house negroes wameshatoka huko sasa wamehamia kwa CAG, ...

Mkuu unataka kuelezea nini mbona haueieweki
 
Maadamu CAG hana uwezo wa kuamrisha Askari wetu basi yuko chini ya wanaoweza kuamrisha kuweni waangalifu sana hapa Zito Kabwe anawatumia kumjenga kisiasa lkn hana loyalty na chadema, hajawahi kuwa nayo na hatokuwa nayo huyo na Asadi ni damu damu, ,,the devil is in the details” wanasema.

BTW vipi ishu ya kutaka kuuliwa na Serikali yetu sasa huko Mahakamani si ndiyo Polisi wetu watakujenerali Kombe kwa urahisi? Anyway house negroes wameshatoka huko sasa wamehamia kwa CAG, ...
Kama kawaida, upo na Chadema yako!
Twende kwenye issue zinazoonekana kwanza:
Je Assad yuko sahihi kusema bunge limeonyesha udhaifu katika kuisimamia serikali?
Je, Spika Ndugai povu analotoa na hatua anazotishia au anazosadikiwa kutaka kuchukua ziko justified?
Je, haya yote ni kwa faida au hasara ya nani; walipakodi, wanasiasa, serikali?
 
Mkuu unataka kuelezea nini mbona haueieweki
Labda anamaanisha kuwa hao wenye mamlaka ya kuamrisha majeshi watayaamsrisha aidha yamkamate CAG au labda atajipata mikononi mwa wasiojulikana...
 
Back
Top Bottom