jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,381
- 25,476
Kuna ukweli. Traffic wamekuwa wanyang’anyi kabisa.Asalaam Aleykhum warahmatullah wabarakattul....!
Ndugu wadau, Mheshimiwa Zitto Zubeir Kabwe katika Account yake ya twitter amepost kuwa, Ingawa Rais John Pombe Magufuli anasifiwa kwa kuweza kuzuia rushwa nchini....Ushahidi unaonesha kuwa rushwa imeongezeka kila kona.
Mchwa wapo kibao wanaokula rushwa.
Ametoa mrejesho wa Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa alipoenda Morogoro na kubaini hilo.
Je Rais ameshafanikiwa wapi mpaka sasa?