Zitto Kabwe: Rushwa imeongezeka nchini, ushahidi upo

Zitto Kabwe: Rushwa imeongezeka nchini, ushahidi upo

Azarel

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
29,020
Reaction score
40,835
Asalaam Aleykhum warahmatullah wabarakattul....!

Ndugu wadau, Mheshimiwa Zitto Zubeir Kabwe katika Account yake ya twitter amepost kuwa, Ingawa Rais John Pombe Magufuli anasifiwa kwa kuweza kuzuia rushwa nchini....Ushahidi unaonesha kuwa rushwa imeongezeka kila kona.

Mchwa wapo kibao wanaokula rushwa.

Ametoa mrejesho wa Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa alipoenda Morogoro na kubaini hilo.

Je Rais ameshafanikiwa wapi mpaka sasa?
 
Asalaam Aleykhum warahmatullah wabarakattul....!

Ndugu wadau, Mheshimiwa Zitto Zubeir Kabwe katika Account yake ya twitter amepost kuwa, Ingawa Rais John Pombe Magufuli anasifiwa kwa kuweza kuzuia rushwa nchini....Ushahidi unaonesha kuwa rushwa imeongezeka kila kona.

Mchwa wapo kibao wanaokula rushwa.

Ametoa mrejesho wa Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa alipoenda Morogoro na kubaini hilo.

Je Rais ameshafanikiwa wapi mpaka sasa?
Unapopambana na rushwa ndio unazidi kugundua maeneo mengi ilikojificha......kinachoongezeka awamu hii ya Magufuli siyo rushwa bali kasi ya kuyaibua machimbo ya rushwa!
 
Rushwa kwa sasa imezidi sema ni ya mtumishi mmoja mmoja siyo zule za zamani chain ya watu maana hujui kati yenu nani ni shushushu.
Rushwa ipo
NIDA Unaambiwa ulete vyeti vya kuzaliwa mababu
UHAMIAJI
RITA
ARDHI faili halionekani
POLISI HASWA TRAFIKI
TBS
HALMASHAURI KWENYE GETI ZA MAZAO umelipia ushuru unaambiwa uonyeshe leseni
 
Ndugu Zitto japokuwa mara nyingi ninazipenda data na ushauri wake kwenye mambo ya economy, lakini hili rushwa kwenye awamu hii haliko kama lilivyokuweko awamu zilizopita, lazima tufurahie namna hii serekali inavyoweka wazi wanapogundua uharibifu ama rushwa. PM anastahili pongezi kwa kazi nzuri.

Ndugu Zitto this is Political tantrums at their best,
 
Niliweka uzi hapa kuwa Magufuli ni anti corruption hero kwa africa,

Jamaa wameuunganisha kwenye pongezi za magufuli.
 
RITA na NIDA hawa jamaa ni time wasters wa hatari....kwenda nao sawa lazima uwatoe........hivi wanaona shida gani kukomputerize taratibu zao .....waige jaffer hospital moshi kitengo cha bima ya afya ...foleni hipo lakini hupo well informed
 
Asalaam Aleykhum warahmatullah wabarakattul....!

Ndugu wadau, Mheshimiwa Zitto Zubeir Kabwe katika Account yake ya twitter amepost kuwa, Ingawa Rais John Pombe Magufuli anasifiwa kwa kuweza kuzuia rushwa nchini....Ushahidi unaonesha kuwa rushwa imeongezeka kila kona.

Mchwa wapo kibao wanaokula rushwa.

Ametoa mrejesho wa Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa alipoenda Morogoro na kubaini hilo.

Je Rais ameshafanikiwa wapi mpaka sasa?
Trafiki ndio usiseme wanaomba rushwa waziwazi kabisa!
 
Asalaam Aleykhum warahmatullah wabarakattul....!

Ndugu wadau, Mheshimiwa Zitto Zubeir Kabwe katika Account yake ya twitter amepost kuwa, Ingawa Rais John Pombe Magufuli anasifiwa kwa kuweza kuzuia rushwa nchini....Ushahidi unaonesha kuwa rushwa imeongezeka kila kona.

Mchwa wapo kibao wanaokula rushwa.

Ametoa mrejesho wa Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa alipoenda Morogoro na kubaini hilo.

Je Rais ameshafanikiwa wapi mpaka sasa?
Zitto kajiondoa ufahamu kawa kama mpumbavu fulani kana kwamba hajui hali ya rushwa ilivyokuwa kabla ya JPM! Nchi ilikuwa imeoza! Bora sasa hivi mara mia huduma nyingi tunapata bila rushwa
 
Ndugu Zitto japokuwa mara nyingi ninazipenda data na ushauri wake kwenye mambo ya economy, lakini hili rushwa kwenye awamu hii haliko kama lilivyokuweko awamu zilizopita, lazima tufurahie namna hii serekali inavyoweka wazi wanapogundua uharibifu ama rushwa. PM anastahili pongezi kwa kazi nzuri.

Ndugu Zitto this is Political tantrums at their best,
mkuu am a bussness guy,rushwa sasa hivi ipo juu ,ila sahivi unahonga unafanyiwa kazi ,zamani walikuwa wanalinga maana vibiashara vilikuwa vinawapa jeuri walikuwa na madau makubwa skuizi wanapokea ndogo wanakwepesha kubwa sababu ofcourse biashara zimekufa tumebaki mabaharia tu
 
I can challenge Zitto's opinion kwa kusema kusema hadharani matendo ya rushwa ktk taasis za umma before 2016 ilikuwa haifanywi na Rais wala PM so Wananchi hatukuwa na access ya kujua nini kinafanyika ndani ya taasis zetu.

Kinachofanywa Sasa ni kutupa awareness Wananchi na pia kupeleka onyo kwenye taasis nyingine za umma ambazo bado hazijafikiwa kujua kwamba kumbe hata watendaji wa taasis husika wakiwa ktk eneo lao la kazi kujilipa posho eti kisa Wana ugeni wa Rais, PM, au Waziri ni ubadhirifu tu.

Hii huko mbeleni itaokoa fedha nyingi ambazo zitafanya shughuli nyingine za maendeleo ktk maeneo husika.

Kwangu mimi kuibua matendo hayo ni njia sahihi kabisa ya kudhibiti utendekaji wake siku zijazo na tatizo litadhibitiwa kwa njia hiyo.

Big up JPM, Samia + Majaliwa.
 
Rushwa ipo sana, mfano kwenye passport hawapokei maombi ya passport bila rushwa. Wala rushwa awamu hii ni werevu mno.
Tunapigwa kimya kimya kila sehemu awamu hii ya5.
 
Asalaam Aleykhum warahmatullah wabarakattul....!

Ndugu wadau, Mheshimiwa Zitto Zubeir Kabwe katika Account yake ya twitter amepost kuwa, Ingawa Rais John Pombe Magufuli anasifiwa kwa kuweza kuzuia rushwa nchini....Ushahidi unaonesha kuwa rushwa imeongezeka kila kona.

Mchwa wapo kibao wanaokula rushwa.

Ametoa mrejesho wa Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa alipoenda Morogoro na kubaini hilo.

Je Rais ameshafanikiwa wapi mpaka sasa?

Kwahiyo Wewe na Yeye mnataka tufanyeje labda?
 
Asalaam Aleykhum warahmatullah wabarakattul....!

Ndugu wadau, Mheshimiwa Zitto Zubeir Kabwe katika Account yake ya twitter amepost kuwa, Ingawa Rais John Pombe Magufuli anasifiwa kwa kuweza kuzuia rushwa nchini....Ushahidi unaonesha kuwa rushwa imeongezeka kila kona.

Mchwa wapo kibao wanaokula rushwa.

Ametoa mrejesho wa Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa alipoenda Morogoro na kubaini hilo.

Je Rais ameshafanikiwa wapi mpaka sasa?
Hebu nyie watoto mkuwe sasa. Taifa gani Duniani lisilokuwa na ubadhirifu au rushwa? Kinachoangaliwa ni jitihada za kuizuia na wanaobainika kufanya vitendo hivyo hatua kali huchukuliwa dhidi yao.
Nani alimwambia zito kuwa rushwa Tanzania imekwisha? Hakuna ubishi serikali hii inawatisha walarushwa wazembe na wabadhirifu
 
Wanasiasa wa Bongo akili zao huwa sizielewi kabisa wakati mwingine. Ni Sawa na mwaka juzi walipolazimisha serikali itangaze kuna njaa!

Sasa kama viashiria vya rushwa vimepungua we unalazimisha tu hali iendelee kuwa mbaya!!!
 
Kwani RIPOTI za CAG 2016-17, 2017-18 zinasemaje kuhusu rushwa/ufisadi/ubadhirifu????

Tuanzie hapa kwanza
 
Hivi lile fuko analotembea nalo limejaa Msimbazi siyo rushwa hiyo?
 
Zitto mnafiki na mzandiki mkubwa asiongelee kwa tukio lililotokea juzi alete takwimu ya miaka ya nyuma vs ya sasa
 
Asalaam Aleykhum warahmatullah wabarakattul....!

Ndugu wadau, Mheshimiwa Zitto Zubeir Kabwe katika Account yake ya twitter amepost kuwa, Ingawa Rais John Pombe Magufuli anasifiwa kwa kuweza kuzuia rushwa nchini....Ushahidi unaonesha kuwa rushwa imeongezeka kila kona.

Mchwa wapo kibao wanaokula rushwa.

Ametoa mrejesho wa Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa alipoenda Morogoro na kubaini hilo.

Je Rais ameshafanikiwa wapi mpaka sasa?
Zitto kama mchawi hivi imeongezeka lini hana takwimu
 
Back
Top Bottom