Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Sifa kubwa ambayo Rais Magufuli amekuwa akipewa ni ile ya kupambana na rushwa. Lakini ushahidi unaonyesha kuwa rushwa Serikalini imeongezeka sana. Waziri Mkuu Majaliwa amethibitisha hilo ziarani Morogoro, hali hiyo ya Moro imesambaa mikoa yote nchini. Mchwa kila mahala
Nimefanya uchunguzi kwenye sekta ya Elimu eneo la Fedha zinazokwenda mashuleni ( capitation grants ) kutoka Hazina. Kuna mtandao wa ulaji wa Fedha hizi kuanzia Hazina mpaka kwenye LGAs. Billions zimepigwa. Nimepeleka hoja Bungeni kwa ajili ya Bunge la Novemba 2019.
Udhaifu wa vyombo vya usimamizi, vyama vya Siasa hasa vya upinzani (kutokana na kuminywa kufanya kazi za Siasa) na vyombo vya Habari ( kutokuwepo kwa habari za uchunguzi kama miaka ya nyuma) kumechangia sana juhudi za kupambana na rushwa kugonga mwamba. Usiri ni kiota cha rushwa.
Chanzo:Ukurasa wake wa twitter.
Nimefanya uchunguzi kwenye sekta ya Elimu eneo la Fedha zinazokwenda mashuleni ( capitation grants ) kutoka Hazina. Kuna mtandao wa ulaji wa Fedha hizi kuanzia Hazina mpaka kwenye LGAs. Billions zimepigwa. Nimepeleka hoja Bungeni kwa ajili ya Bunge la Novemba 2019.
Udhaifu wa vyombo vya usimamizi, vyama vya Siasa hasa vya upinzani (kutokana na kuminywa kufanya kazi za Siasa) na vyombo vya Habari ( kutokuwepo kwa habari za uchunguzi kama miaka ya nyuma) kumechangia sana juhudi za kupambana na rushwa kugonga mwamba. Usiri ni kiota cha rushwa.
Chanzo:Ukurasa wake wa twitter.