Zitto Kabwe ndani ya Karatu

Mnafiki mkubwa huyo kazi kila kukicha kuropoka Urais ili CDM wapoteze lengo.Inabidi kila anakoenda ni lazima Kitengo cha intelejensia CDM kipeleke watu kumfuatilia.

wewe shamba boi na tarishi wa Dr. Slaa tuliza akili hiyo ndio demokrasia; hata wewe kama unajiweza tangaza nia yako ya kugombea uraisi; kumbe na Chadema mna intelijensia asante sana kutujuza; niliwahi kuambiwa intelijensia yenu inafanyakazi kama mganga wa kienyeji; kuwekeni makini msije makijita vidole vya macho.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
naona ni kundi kubwa sana,sijui mafunzo wamepatia wapi au ni alshabab wa somalia

Sio kundi tu ni wapiga kula wake wa mwaka 2015!
Subilini mziki wao 2015 ndo mtajua mafunzo yamepatikana vipi na wapi.
 
:ranger: leo naona kundi la zitto lipo juu zaidi kwa vijembe kuliko siku zote, inaonekana jamaa wamejipanga kwa lolote humu ndani.

Kama noma na iwe noma mnaacha kuleta hoja za msingi mnaketa hoja za ushabiki hapa halafu muachwe salama?
 

Mkuu Inteligensia yao ni majungu ambayo molemo mshumbusi na ben saanane wanampelekea babu slaa.
Wadanganyeni hao hao.
 

Hana nafasi chadema kwakuwa si mchagga.
Katiba mpya ijayo inanipa raha kweli hasa kipengele cha kushusha umri ,na kipengele cha mgombea binafsi!
 

Mkuu umeacha lini kuwa adui wa zitto,?
Wewe kweli unaweka maslahi ya cdm mbele na sio maslahi ya mbowe na slas?
haiwezekani watakua hawajakulipa mshahara hewa pale chadema tv.
 
Mkuu umeacha lini kuwa adui wa zitto,?
Wewe kweli unaweka maslahi ya cdm mbele na sio maslahi ya mbowe na slas?
haiwezekani watakua hawajakulipa mshahara hewa pale chadema tv.

Tuntemeke@work
 

Hahahaa!bangi anayovuta ni ile aliyobakishiwa na lema.
Kitu cha arusha!
Pombe wanakunywa kwa hela zao we zinakuumanini?
Naona bado una machungu yakunyimwa ofa ya bia uliyowaomba wakununulie siku ile kwenye msiba wa bob makani!
Pole shost!
 
Tuntemeke....kwi....kwi....tehe....tehe..

Hii ni kampuni wewe kuwadi wa uzandiki!
Ina matawi nchin nzima!
Naomba nisaidie hapa mkuu hivi kura 2000 ukigawa kwa siku tisini ulizofanya kampeni ,jibu lake linakuwa kwa siku ulikuwa unapata kur a ngapi?
Jibu hili kwanza ndipo tuendelee!
 
Msalimie Tuntemeke na wenzake.

Tuntemeke company iko mzigoni muda wote mpaka zitto awe rais!
wasalimie wanaintelijensia wenzako ben na mshumbusi.
Kwi kwi kwi!
 
Zitto amewashika pabaya 2015,kama ni maumivu ya tumbo basi ni la kuhara lazima mkajisaidie ndio mpate nafuu mkibana yamejaa kwenye gwanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…