swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,253
- 1,475
da umenivunja mbavu.ah...nimekuja mbio nilifikiri kafa....
da umenivunja mbavu.ah...nimekuja mbio nilifikiri kafa....
Naona mmeanza kuhaha
Mwenzenu werema saivi amejificha, ikifika siku yenu sijui mtahama nchi au mtachimba shimo mjifukieMimi??*** labda sijakuelewa
Mimi??*** labda sijakuelewa
Mwenzenu werema saivi amejificha, ikifika siku yenu sijui mtahama nchi au mtachimba shimo mjifukie
CDM Pamoja na fadhila zote walizotendewa na zitto wanamfanyia waliomfanyia ngoja tuone mwisho wake.
Rudia kusoma au hutumii kichwa kufikiri
Wabunge wote kanda ya ziwa ni effort zake na ushawishi wake including madiwani na wanachamafadhira gani?
Kule kwao kigoma chadema ina madiwani watatu tu na mbunge mmoja ambaye ni yeye ZZK.
Kuna nini cha maana kafanya?
Uache kukurupuka.ok basi nimekuelewa tufanye situmii kichwa. Aasante
Nakutaka ujitambue na kujielewa. Acha uzuzu wa kutumika ovyoKiongozi mbona unani-quote kwenye hadithi zako? Mimi sio mkalimani wala sapota wako
Anayo siri nzito sana kifuani mwake.
1. Akiwa masomoni ujerumani, ndio alianzisha urafiki na chama cha CDU na chadema ambacho kiliipa chadema ufadhili wa mabilioni ya fedha kuanzisha media zake yaani tv, radio na magazeti. Zitto aliandika very scholary write up, ikawavutia CDU wakatoa mapesa kwa chadema, Matokeo yake fedha hizo mbowe alizitumia kuanzisha free media kama kampuni binafsi ambayo ndio mchapaji wa gazeti la tanzania daima. Zitto alipohoji hali hiyo akaambiwa unatafuta matatizo. Na ndio chanzo kikuu cha ugomvi wake ma mbowe na ndio kilichomsukuma kugombea uenyekiti mwaka 2009.
2. Sabodo kuifadhili chadema ni efforts za write up za zitto.
3. Kustawi kwa chadema kanda ya ziwa ni ushawishi na ukubalikaji wa zitto maeneo hayo.
sasa dogo amenyamaza, mnamuona mjinga. Ole wenu siku akifunguka..
Anayo siri nzito sana kifuani mwake.
1. Akiwa masomoni ujerumani, ndio alianzisha urafiki na chama cha CDU na chadema ambacho kiliipa chadema ufadhili wa mabilioni ya fedha kuanzisha media zake yaani tv, radio na magazeti. Zitto aliandika very scholary write up, ikawavutia CDU wakatoa mapesa kwa chadema, Matokeo yake fedha hizo mbowe alizitumia kuanzisha free media kama kampuni binafsi ambayo ndio mchapaji wa gazeti la tanzania daima. Zitto alipohoji hali hiyo akaambiwa unatafuta matatizo. Na ndio chanzo kikuu cha ugomvi wake ma mbowe na ndio kilichomsukuma kugombea uenyekiti mwaka 2009.
2. Sabodo kuifadhili chadema ni efforts za write up za zitto.
3. Kustawi kwa chadema kanda ya ziwa ni ushawishi na ukubalikaji wa zitto maeneo hayo.
sasa dogo amenyamaza, mnamuona mjinga. Ole wenu siku akifunguka..
Anayo siri nzito sana kifuani mwake.
1. Akiwa masomoni ujerumani, ndio alianzisha urafiki na chama cha CDU na chadema ambacho kiliipa chadema ufadhili wa mabilioni ya fedha kuanzisha media zake yaani tv, radio na magazeti. Zitto aliandika very scholary write up, ikawavutia CDU wakatoa mapesa kwa chadema, Matokeo yake fedha hizo mbowe alizitumia kuanzisha free media kama kampuni binafsi ambayo ndio mchapaji wa gazeti la tanzania daima. Zitto alipohoji hali hiyo akaambiwa unatafuta matatizo. Na ndio chanzo kikuu cha ugomvi wake ma mbowe na ndio kilichomsukuma kugombea uenyekiti mwaka 2009.
2. Sabodo kuifadhili chadema ni efforts za write up za zitto.
3. Kustawi kwa chadema kanda ya ziwa ni ushawishi na ukubalikaji wa zitto maeneo hayo.
sasa dogo amenyamaza, mnamuona mjinga. Ole wenu siku akifunguka..