ACT Wazalendo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 610
- 1,540
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia ACT-Wazalendo, Ndugu Zitto Zuberi Kabwe atahutubia mkutano wa hadhara wa kampeni katika Kata ya Bangwe leo Oktoba 16, 2020.
Zitto ambaye pia ni Kiongozi wa Chama anatarajia kuwaeleza wananchi hatima ya kura za mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Fuatilia mkutano huo utakaokwenda mubashara kupitia Ukurasa wa face book wa kiongozi huyo.
Muda: Saa 9 alasiri
Imetolewa na:
Idara ya Uenezi, Habari na Mahusiano kwa Umma.
Leo Oktoba 16,2020
Zitto ambaye pia ni Kiongozi wa Chama anatarajia kuwaeleza wananchi hatima ya kura za mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Fuatilia mkutano huo utakaokwenda mubashara kupitia Ukurasa wa face book wa kiongozi huyo.
Muda: Saa 9 alasiri
Imetolewa na:
Idara ya Uenezi, Habari na Mahusiano kwa Umma.
Leo Oktoba 16,2020