Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,962
Nimecheka kweli, anaunda baraza kivuli akiwa nje ya bungeAna haraka ya maisha kweli, sijui anakimbilia wapi?
Nimecheka kweli, anaunda baraza kivuli akiwa nje ya bungeAna haraka ya maisha kweli, sijui anakimbilia wapi?
Chama cha ACT wazalendo kimeunda Baraza la mawaziri kivuli ambalo jukumu lake litakuwa kuisimamia na kuishauri serikali.
Zitto Kabwe amesema chama chake kimeamua kuziba ombwe lililosababishwa na kutokuwepo kwa kambi rasmi ya upinzani bungeni. Zitto amesema wameunda na cheo kinachofanana na Kiongozi wa Upinzani Bungeni ( KUB)
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Deo Balile alishangaa kwanini katika Baraza hilo haonekani Waziri atakayeshughulikia maswala ya Habari? Amehoji idara ya habari iko wizara gani?
Source: ITV habari
Ukabila na udini tupuKwikwikwikwiii eti Nondo ndo PM wake ndiooooo ni futuhiiiii😄😄😄😄😄
Just because, he refused to bow down to Mbowe😀😀😀😀Zito is a confused traitor!
Aiseee 🤣🤣Chama cha ACT wazalendo kimeunda Baraza la mawaziri kivuli ambalo jukumu lake litakuwa kuisimamia na kuishauri serikali.
Zitto Kabwe amesema chama chake kimeamua kuziba ombwe lililosababishwa na kutokuwepo kwa kambi rasmi ya upinzani bungeni. Zitto amesema wameunda na cheo kinachofanana na Kiongozi wa Upinzani Bungeni ( KUB)
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Deo Balile alishangaa kwanini katika Baraza hilo haonekani Waziri atakayeshughulikia maswala ya Habari? Amehoji idara ya habari iko wizara gani?
Source: ITV habari
Ukiwa mwendawazimu unaweza hata leo ukawa unapita mitaani unajitangaza kuwa wewe ni Rais, lakini hutakuwa Rais na wala haitabadilisha ukweli kuwa wewe ni mwendawazimu.Ameipiku Chadema!
Zotto umamluki umemzidi yeye ni kiongozi anayeyumba kama dela.Chama cha ACT wazalendo kimeunda Baraza la mawaziri kivuli ambalo jukumu lake litakuwa kuisimamia na kuishauri serikali.
Zitto Kabwe amesema chama chake kimeamua kuziba ombwe lililosababishwa na kutokuwepo kwa kambi rasmi ya upinzani bungeni. Zitto amesema wameunda na cheo kinachofanana na Kiongozi wa Upinzani Bungeni ( KUB)
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Deo Balile alishangaa kwanini katika Baraza hilo haonekani Waziri atakayeshughulikia maswala ya Habari? Amehoji idara ya habari iko wizara gani?
Source: ITV habari
Nikufundishe, jifunze ku argue with supporting data. Zito alipata kura ngapi uchaguzi wa 2015 hata huo wa 2020 pamoja na kuwa ulikuwa Ni uchafuzi ( ondoa Zanzibar maana wao walikuwa wanampigia MaaalimSeif). And therefore, Zito hajawahi kushindana.Just because, he refused to bow down to Mbowe
KILA anayekosanaga na Mbowe huwa anapotea kwenye siasa.
Kwa Zitto mmegonga chuma kudadadeki.
Mtatumia miaka 100 kupambania na Zitto huku CCM wakila kuku kwa mrija.
Fisi ameachiwa ziziLoooh
Kuipiku kivipi kada?Ameipiku Chadema!
Njaa hizi, unaweza hata ukapoteza marinda usipoangalia vizuri; anyway, aweke na waziri wa kufuatilia crane la tani 26 lilipo
How? Huyu Ni confused Kama Laila Odinga alivyojiapisha Kamkunji Square na umati mkubwa wa watu and he had never been a presidentAmeipiku Chadema!