Chabruma
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 5,660
- 1,777
Wadau,
Mara baada ya kutangaza kumvua nafasi zote Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Waziri kivuli wa fedha, ZITTO KABWE, Mwanasheria wa CHADEMA, TUNDU LISSU alitangaza kuwa Mwenyekiti wa chama hicho FREEMAN MBOWE angetaangaza Baraza jipya la Mawaziri ndani ya kipindi cha bunge lililomalizika. Lissu alisema kuwa uteuzi huo wa baraza jipya la Mawaziri Kivuli utalenga kuwaondoa Mawaziri Mizigo ambao wameshindwa kutimiza majukumu yao.
Mytake: Kama CHADEMA mpaka sasa wameshindwa kujaza nafasi ya ZITTO na wameshindwa kuwaondoa mawaziri mizigo, wanapata wapi uhalali wa kuiandama serikali juu ya baraza hili la Mawaziri ambalo limetangazwa hivi karibuni?
Mara baada ya kutangaza kumvua nafasi zote Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Waziri kivuli wa fedha, ZITTO KABWE, Mwanasheria wa CHADEMA, TUNDU LISSU alitangaza kuwa Mwenyekiti wa chama hicho FREEMAN MBOWE angetaangaza Baraza jipya la Mawaziri ndani ya kipindi cha bunge lililomalizika. Lissu alisema kuwa uteuzi huo wa baraza jipya la Mawaziri Kivuli utalenga kuwaondoa Mawaziri Mizigo ambao wameshindwa kutimiza majukumu yao.
Mytake: Kama CHADEMA mpaka sasa wameshindwa kujaza nafasi ya ZITTO na wameshindwa kuwaondoa mawaziri mizigo, wanapata wapi uhalali wa kuiandama serikali juu ya baraza hili la Mawaziri ambalo limetangazwa hivi karibuni?