johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Baraza la mawaziri la JMT linaundwa kwa mujibu wa sheria na Rais wa JMT ndio mwenyekiti wake.
Sasa ACT wazalendo wameunda Baraza kivuli la mawaziri lenye jumla ya mawaziri 24.
Naomba kuuliza, Zitto Kabwe ametumia sheria gani kuunda hilo Baraza na mwenyekiti wake ni nani?
Maendeleo hayana vyama!
Sasa ACT wazalendo wameunda Baraza kivuli la mawaziri lenye jumla ya mawaziri 24.
Naomba kuuliza, Zitto Kabwe ametumia sheria gani kuunda hilo Baraza na mwenyekiti wake ni nani?
Maendeleo hayana vyama!