Zitto Kabwe ang'ara Kimataifa

Kuna nini cha ajabu? Kuna watanzania elfu ngapi wanafanya kazi za kimataifa? Nafasi kama hiyo siyo za kujisifia maana mara nyingi hutolewa kwa nchi. Kilichompa nafasi hiyo Zito ni nafasi yake ya umwenyekiti wa PAC na siyo uzito wa CV yake. Wanaotaka kuwaaminisha watu kuwa nafasi hiyo ni kitu cha pekee, ni mbumbu. Hawa ni sawa na wale wanaoweza kumpongeza Rais kuwa mwenyekiti wa AU wakati nafasi hiyo ni ya mzunguko na hutolewa kutokana na nafasi yako ya urais na siyo kutokana na uwezo binafsi.

Ukweli utabakia kama ulivyo zitto ni mwanasiasa mwenye leval ya juu hapa africa
 
Atakavyoanza kupanda majukwaani na act ndo chadema watakapolia na kusaga meno.

Toka nimeanza kumiskia Zitto sijamsikia akipanda jukwaani na kumpigia kampeni Mbunge mwenzake,sijui kwa kuingia ACT kama atabadilika.Maana tabia ya mtu huwa haibadiliki haraka.Tatizo lake yuko too selfish,otherwise akibadilika anaweza kuwa kiongozi mzuri zaidi.
 
kati ya wewe na Zitto
nani kanyea kambi??we unafikiri kua katibu wa AFROPAC ni swala la
kitoto??jamaa yako mbowe na slaa hawatapata bahati hiyo mpaka wanaingia
kaburini!

ssa unahisi paspo kuwa na mfumo mzuri wa kiutendaji unao tolewa na slaa,pamoja na mbowe huyo unae mwamini ange ng'ara wapi?.msifu anaye kukimbiza sio unayekimbia. thinki big.
 
Ilikuwa ni zamu ya Tanzania!!! Hata hivyo hakukuwa na mwingine mwenye sifa stahiki, Zitto amekumbana na bahati plus ushawishi wa Wajerumani waliomuandaa kwenye mipango yao hapa Africa... I wish angekuwa na chembe ya uzalendo maana jamaa anakipaji lakini tatizo lake kubwa kama ilivyo kwa wasomi wengi wa Kiafrica ni tama ya madaraka na mapande ya fedha zilizowajaa... Chenge, Rostam, Prof Muhongo et al wanaonekana wa hivyo kutokana na kutumiwa na mataifa ya ulaya kutafuna nchi yetu ... "UZALENDO" Unakosekana kwa ZITO et al..
 
attachment.php
 
hahaahaaa,wanajua alishafukuzwa kwenye chama chake kwa tamaa ya madaraka?

zito ni kiongozi bora tz. ..na hiyo tamaa ya madaraka ni mtazamo tuu. ..siasa zako nazikubali sana sio za maji machafu. ..hazifungamani na upande wowote. ..this
can be proved unapotoa speech kuelezea jambo fulani....big up! stand for what u believe. ..go.. zito go. ....katuwakilishe vyema baba. ..
 
Soma report ya CAG utauona uongozi/usimamizi wa mh lema wa kuongeza makusanyo ya jiji la Arusha hadi bil 1 na point

Kuna wengine hata huwa hawapitii habari wamejaa ushabiki tu...Hongera kwa kumjibu jamaa kwa data.
bravo Lema.
 
Khaa!! Sasa naona napingana na Dr Kitila. Yeye alisema Zitto na mwanasiasa mashuhuri na mwenye akili nyingi. Kwangu naona hakutenda haki. Nadhani aliacha maneno ya Mzalendo na mchapakazi. ZZK please go for presidency.. you have my vote already
 
Bravo mh Zito kabwe,mi binafsi nina imani na wewe,shika usukani waonyeshe vijana njia kaka,
 
Back
Top Bottom