Zitto Kabwe ang'ara Kimataifa

Muda mfupi uliopita Mbunge kutoka Chadema Zitto Zuberi Kabwe emetoa taarifa ya kupata nafasi ya kuwa katibu mkuu kamati za mahesabu ya serikali kwa nchi kusini mwa Africa.

Ni jambo zuri na sifa kwa nchi yetu na chama chake cha Chadema.

acheni malumbano yasiyokuwa na msingi na kujaza server kuendelea kumlinganisha zzk na lema/mbowe/slaa maana kamwe hawataweza lingana kama huamini look at your fingers..... hongera sana zito
 
acheni malumbano yasiyokuwa na msingi na kujaza server kuendelea kumlinganisha zzk na lema/mbowe/slaa maana kamwe hawataweza lingana kama huamini look at your fingers..... hongera sana zito

Mimi nimewapongeza wanachama Wa chadema kwa kuwa mbunge kutoka kwenye chama Chao ameiletea heshima nchi yetu. Sijamlinganisha na yoyote.
 
Mh. mbunge wa kigoma kaskazini ni msaliti; ubunge wake umeshikiliwa na mahakama na si chadema. Ni mwenyekiti wa ACT hilo unalijua simamia imani yako.


Mahakama ndio iliyomchagua? Ni aibu kwa watu wanaotaka maoni ya wananchi yaheshimiwe wakati huo huo hawataki kuheshimu maamuzi ya wapiga kura.
 
Hongera sana Zitto Zuberi Kabwe kwa kupeperusha bendera ya Tanzania katika anga za kimataifa,nimekubali ule msemo wa dhahabu ili iitwe dhahabu lazima ipite kwenye moto ili kung'arishwa.
Zitto ni sawa na gogo la udi,kila ukilichoma ndivyo limavyozidi kunukia,go Zitto go,go,wanyonge tunaimani kubwa na wewe na tupo tayari kukulinda na hila za mabepari .

Your the full bright politician of Africa.
 
Nabado mtasema sema ila dogo yuko juu kiuchumi, kisera, kielimu.
Ooooooh Mbowe kama ungesoma labda ungepewa nafasi hiyo ila ruthuku zinakuishia mfokoni tu, du! Hii hatari mwanangu.
 
Nyota ya mtu binaadamu hawezi kuizima, hana haja ya Kuwa waziri kivuri Zitto anaenda kitaifa na Kimataifa, Hongera ZZK.
Hapo ulipo hata ukawa hawawezi kukufikia siyo level yako.
 
Kweli kanabahati haka katoto kameenguliwa na UKAWA leo kmepiga bao la kisigino
 
Kama cc tusipomuona wa thaman basi hao wa nje watamthamini maana waTANZANIA wamejaa ushabiki tuu...
 
Saliti Zitto siyo CDM. Analazimisha uchadema kupitia mahakama. Hao SADC wanajua Zitto ni saliti na ninajua serikali inayoongozwa na CCM ilimpendekeza.!?!!
 
"Mungu si Athumani", kaukosa uwaziri kivuli kauvaa Ukatibu Mkuu wa Afropac.

Kama unaweza, panda juu nenda ukazibe - Sabah Muchacho.
 
Inasikitisha sana. Watanzania wengi wanashabikia vitu vya msingi km ngoma tu au mpira. Hata km hatupendi Zitto ni wa level nyingine. Wasomi huwa wakweli kujitendea haki hata km kwa jambo chungu kwake.

Mungu niepushe na siasa niendelee kuwa huru.
 
Back
Top Bottom