Zitto Kabwe ang'ara Kimataifa

Hongera Zitto weka maslahi ya nchi yako mbele na wananchi maskini Mungu atakulinda.Endelea kufufuta ufisadi hapa
nchini.
 
Saliti Zitto siyo CDM. Analazimisha uchadema kupitia mahakama. Hao SADC wanajua Zitto ni saliti na ninajua serikali inayoongozwa na CCM ilimpendekeza.!?!!

Kwa nin wasimpendekeze nape au mwigulu....the coin has two face...fair play bro
 
Congrats comred ZZK..!! Hopes utatuwakilisha vyema huko..!! all the best..


Congrats!!ZITTO!Ingawa mimi si Chadema, lakini huyu bwana mdogo namfagilia sana. Wanasiasa wengi wanatakiwa kuwa na uelewa wake kwani ZZK,huwa anabase kwenye ISSUES za watz na FACTS na sio PERSONAL BEEFS ZISIZO NA MSINGI WOWOTE kutatua matatizo yetu. KEEP UP THE GOOD JOB,STICK TO THE TRUTH,THUS SHALL SET US FREE"!!!!! BIG UP BROTHER!!!!
 
kesho utasikia fulani anatembea na ..............halafu uta conclude hivyo

Mambo ya nani katembea na nani ni ya ndani ya mtu.Na sipo entertained nayo.Tuongee hoja za kujenga lakini za undani wa mtu,sina mpango nazo.Ukiongea ya watu kumbuka na watu hao hao watakuongelea.
 
Kuna watu wanaposoma uzi huu roho zinawauma kutoka na chuki zao binafsi, hawapendi kuona binadam mwenzao anafanikiwa, wanajipuza kama vile hawaujui ukweli kuwa Zitto ni international level. Wanahangaika kumchafua lakini bado hachafuki na nyota inazidi kung'aa. Wengine leo wanashindwa hata kuchangia uzi huu kwasababu wameshiriki sana kumchafua Zitto, sasa wanaona haya kumpongeza kwa mafanikio anayo pata.

Tuwe na wivu wa maendeleo jamani ndo tutafanikiwa. Hongera sana ZITTO wewe ndio mfano wa kuigwa na vijana wote Tanzania na Afrika kwa ujumla.
hahaha BAVICHA wanawivu wa kike.
 
Back
Top Bottom