Zitto Kabwe ang'ara Kimataifa

Zitto Kabwe ang'ara Kimataifa

Kakakakaka! Hahahah
Hii ni habari mbaya kwa Chadema kuliko kwa UKAWA.

Taratibu usiwau BAVICHA kwa pressure.

Daaa Hongera wewe ni mtu makini sana.
 
Daaa Chadema na UKAWA bila Zitto zita yumba maana zita kosa mtu makini kama yeye!
 
Last edited by a moderator:
Hongera zake. Atulize kichwa sasa kashajeruhiwa sana.
 
Tukishavuka mipaka tunakua kitu kimoja lakin watoto wa Vyama pinzani ikiwamo chadema mna matatizo sana na hapa inaonekana namna gani mna chuki na zitto ilihali hamuwezi kumfikia kwa lolote si uchumi, elimu wala exposure, wengi masikin bado mnasoma videgree na mmepanga tuvyumba uswahilin, wengine hata uhakika wa kula hamna , wengine hamna mbele wala nyuma mnaishi kwenu masikni ya mungu awahurumie mjitambue
 
Nilijua mtatoa hongera hapa then mpite lkn tunawapima uwezo wenu kumbe mna akili ndogo kama za vyura ninyi ni kelele mwanzo mwisho hata kwa msilolijua
 
Tusiwe wanafiki kwa mtu anae fanya vizur,panapo stahili mtu mpeni sifa zake hata kama kuna mapungufu nae ni binadamu,kijana uchapakaz wake ndo umemuweka hapo alipo,hakulazimishi umpende ila anakushawiah kwa uchapakaz wake umpende;nyie mnacheza na vyombo vya habar wakat yeye anachapa kaz!!
 
Atakavyoanza kupanda majukwaani na act ndo chadema watakapolia na kusaga meno.
 
Hii ni aibu nyingine kwa mwenyekiti wng wa chama na KUB. Ni habari chungu sana kwake na jopo lake la uteuzi wa uwaziri kivuli.

Kweli nimeamini,Zitto ni zaidi ya gogo la udi. weka mbali na moto losest!

Go Zitto, l can imagine ur destiny.
 
Back
Top Bottom