Zitto Kabwe anafikiria kuacha siasa??!!

Zitto Kabwe anafikiria kuacha siasa??!!

Huu jamaa alishahaidi hata gombea ubunge tena, isije ikawa ni mkakati wa kuja kudai "wazee wamemwomba agombee tena".
 
Duh,comments za watu wengine hapa ni noma.Taratibu wakuu!

On a serious note:Tusipokua makini tutatoka kwenye mijadala kuhusu tukio la Arusha,Mijadala ya Bungeni Kesho na masuala mengine
 
Nimeingia kusoma thread hii baada ya kuona last post ya Ben Saanane. Nitarudi baadae narudi kumalizia KINANA yangu ya baridi. NDOVUUUUUUUUUUUUU. Mhe. Msigwa upo?
Duh,comments za watu wengine hapa ni noma.Taratibu wakuu!

On a serious note:Tusipokua makini tutatoka kwenye mijadala kuhusu tukio la Arusha,Mijadala ya Bungeni Kesho na masuala mengine
 
Nimeingia kusoma thread hii baada ya kuona last post ya Ben Saanane. Nitarudi baadae narudi kumalizia KINANA yangu ya baridi. NDOVUUUUUUUUUUUUU. Mhe. Msigwa upo?
...ha ha ha haaa! hii kali.
 
Nilijuwa tu, Zitto will trample in.

Huyu kijana huwa hachelewi kujaribu/kuhamisha focus ya mambo muhimu (hasa kwa CHADEMA) na kuyapeleka kwenye ishu binafsi au zisizo na tija. Mifano ni mingi kama wakati CHADEMA wanapambana na CCM, Serikali na Yume ya Uchaguzi kuchukua jimbo la Arumeru mashariki yeye akasema wakati ule kuwa atakuwa mgombea urais 2015!

Mimi Ronald huwa nashangazwa na kuduwaa kila naposikia wenye kumwabudu wanaposema huyu jamaa eti ni bright up-stairs, intelligent, mkomavu nk nk. Naombeni kamusi tafadhali.
 
Duh,comments za watu wengine hapa ni noma.Taratibu wakuu!

On a serious note:Tusipokua makini tutatoka kwenye mijadala kuhusu tukio la Arusha,Mijadala ya Bungeni Kesho na masuala mengine

Spot on Ben. And that is exactly why he did it now. Gimme a break!
 
duh,comments za watu wengine hapa ni noma.taratibu wakuu!

On a serious note:tusipokua makini tutatoka kwenye mijadala kuhusu tukio la arusha,mijadala ya bungeni kesho na masuala mengine
ben@ramadhani ighondu@ulimboka
 
Nimeingia kusoma thread hii baada ya kuona last post ya Ben Saanane. Nitarudi baadae narudi kumalizia KINANA yangu ya baridi. NDOVUUUUUUUUUUUUU. Mhe. Msigwa upo?

Hahahaha! Kwa hiyo mkuu jopo la wapiga ulabu limesha pitisha sasa kuwa NDOVU ndio mnaiita KI...?! Haahah watu wabaya nyie!

Turudi kwenye mjadala wa bajeti, ushuhuda ugaidi wa cc-harm na jinsi Prof Shivji alivyo ilarua rasimu.
 
Duh,comments za watu wengine hapa ni noma.Taratibu wakuu!

On a serious note:Tusipokua makini tutatoka kwenye mijadala kuhusu tukio la Arusha,Mijadala ya Bungeni Kesho na masuala mengine
Kama hii ndio style ya Zitto ya ku-divert from current issues zinazohusu chama kwanini asionywe katika vikao
 
Hahahaha! Kwa hiyo mkuu jopo la wapiga ulabu limesha pitisha sasa kuwa NDOVU ndio mnaiita KI...?! Haahah watu wabaya nyie!

Turudi kwenye mjadala wa bajeti, ushuhuda ugaidi wa cc-harm na jinsi Prof Shivji alivyo ilarua rasimu.

Yeah Kinana Lite!!
 
Zitto leo ame tweet endapo ataacha siasa, ungependa kuona anafanya kazi gani?,
does he think of retirement from Politics?




Zitto Zuberi Kabwe ‏@zittokabwe6h
Nikiacha siasa leo, ungependa kuona nafanya kazi gani?


ZZK kwani hana washauri? ama mashabiki wake kama Kivumah inabidi mumshauri. Salamu zangu kwake ni kuwa 'Pengo lake kwenye siasa litazibika haraka sana'. Sina uhakika nini afanye baadae
 
Kumkonvinsi mwanamke hata mwenye average IQ kuzaa na wewe km anafikiri hufai kuwa baba wa watoto wake km anavyofikiri...utaishia kuambiwa mimba zimetoka, mara dia bado hatujajipanga..ila tuendelee kula maisha tuu.

Jamaa anaweza kuwa na wanawake wote wanaomrusha roho mjini ili apate ridhikola roho kuwa ni mtu kubwa ila kuzalisha mmoja...mh.Wale viumbe hata wanyama wanachagua sana baba watoto wao.Labda akachukue utaalamu kwa wassira alisevu vipi.

Hajaposa kwa JK kweli?
 
Back
Top Bottom