JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 500
Kuwa bosi wa usalama wa ccm
Zitto leo ame tweet endapo ataacha siasa, ungependa kuona anafanya kazi gani?,
does he think of retirement from Politics?
Zitto Zuberi Kabwe ‏@zittokabwe6h
Nikiacha siasa leo, ungependa kuona nafanya kazi gani?
Hajaposa kwa JK kweli?
Kumkonvinsi mwanamke hata mwenye average IQ kuzaa na wewe km anafikiri hufai kuwa baba wa watoto wake km anavyofikiri...utaishia kuambiwa mimba zimetoka, mara dia bado hatujajipanga..ila tuendelee kula maisha tuu.
Jamaa anaweza kuwa na wanawake wote wanaomrusha roho mjini ili apate ridhikola roho kuwa ni mtu kubwa ila kuzalisha mmoja...mh.Wale viumbe hata wanyama wanachagua sana baba watoto wao.Labda akachukue utaalamu kwa wassira alisevu vipi.
Ameona bora aushe uhai wake maisha gani kila siku anatafutwa kuuliwa na cdm.
tiririka Mary Mary!!!Nafsi inamsuta sana, anajistukia, tangu alipopigwa mkwara na Mtela kutoboa siri zao kawa mpole sana!! siyo eti sababu ni makini au ana busara na hekima nyingi hapana, anayo siri moyoni.
"Usijiachie sana katika mazungumzo yako, wakati mwingine neno huwezakuzaa yale usiyoyatarajia.
Karata yako ya mwisho inayo-determine maisha yakokama mwanachadema iko mikononi mwetu, Please brother, Don't mess with your lastpoker chip, u will lose the game. Kauli yangu Moja ya Ushuhuda inamaliza Uhai wakondani ya Chadema., I know you are smart brother, don't get crossed., straightenyour words..!
Kuwa makini, THIS IS SERIOUS…! "
Huyo ni kada Mtela Mwampamba kutoka chama cha majangili TZ akimuonya Zitto Kabwe hivi karibuni.
Nampenda ZZK lkn basi tu, sina amani naye.