Zitto Kabwe 'amwaga Sumu' Kamati ya Mahesabu ya Mashirika ya Umma

Kuna tatizo kubwa la utekelezaji. Kamati inatoa mapendekezo, serikali haitekelezi. Akizungumza kuhusu NSSF na chuo kikuu cha dodoma "Itakumbukwa kuwa pendekezo hili limetolewa kwa mara ya tatu mfululizo na Kamati kwenda Serikalini na hadi sasa halijatekelezwa". CAG naye kila mwaka anatoa ripoti za malipo kwa wafanyakazi hewa na mapendekezo ya kuweka performance contracts kwa wakurugenzi wa halmashauri na kutokuwepo kwa wabunge katika bodi za wakugurugenzi kwenye taasisi na mashirika ya umma. Lakini hakuna utekelezaji. Mimi nahdani imefika wakati wabunge, hasa wabunge wa upinzani wabuni njia mbadala ya kushinikiza serikali ifanya mabadiliko yanayo pendekezwa na wataalamu. Hizi ripoti na mapendekezo wamezizoea. Process ina fanyika, ripoti inatolewa, wahusika wana sikiliza, hakuna utekelezaji. It is like a cycle that keeps repeating itself.
 
Baada ya miaka miwili shirika hili la NSSF linaweza kuwa taabani kifedha maana watu wanakimbiza pesa zao wanajitoa.

halafu kusema kuwa fedha za mifuko hii ni za wanachama technically siyo sahihi kwani sheria inasema fedha hizo ni za serikali! don't ask me why. Wabunge wao wenyewe walete sheria ya kuzilinda fedha hiizi na mifuko hii siyo waiangalie serikali. Sehemu nyingine wamesema wamerudia mapendekezo mara tatu lakini bado hawachoki wanarudia tena!
 
halafu kusema kuwa fedha za mifuko hii ni za wanachama technically siyo sahihi kwani sheria inasema fedha hizo ni za serikali! don't ask me why. Wabunge wao wenyewe walete sheria ya kuzilinda fedha hiizi na mifuko hii siyo waiangalie serikali. Sehemu nyingine wamesema wamerudia mapendekezo mara tatu lakini bado hawachoki wanarudia tena!

Tanesco vipi? william mhando anafanya vizuri sana aisee, mbona siku hizi sikusikii kabisa???

Au ulikuwa na bifu na idrisa??
 
halafu kusema kuwa fedha za mifuko hii ni za wanachama technically siyo sahihi kwani sheria inasema fedha hizo ni za serikali! don't ask me why. Wabunge wao wenyewe walete sheria ya kuzilinda fedha hiizi na mifuko hii siyo waiangalie serikali. Sehemu nyingine wamesema wamerudia mapendekezo mara tatu lakini bado hawachoki wanarudia tena!
lakini hayo yote hayaondoi haki yetu ya kumpongeza zitto kwa kazi nzuri anayoifanya.
zitto anatuwakilisha vizuri sana vijana
 
wewe unawashwa kweli wewe.
malezi ya slaa na mbowe ni KOMU bwana na sio ZITTO.
Zitto ni bright by nature.

umejuaje?.
huyo molemo huyo nazani atakuwa na kiharoharo na sio kiherehere.
yeye akisikia jina la zitto tu macho yanamtoka utazani kabanwa na prize.
 
ki kwetu sisi ZITTO maana yake ni ''chaguo la watu''.
nampongeza sana huyu dogo.
keep it up...2015 nchi yaweza kuwa yako hii.............pale magogoni.
 
Hutautendea haki umma ukimfananisha Zitto na kilaza yeyote pale bungeni.
Hoja zake zipo center- left ..... unlike the so called "Walezi wake waliotukuka" lol!
 
mkuu file uliloattach halifunguki, liko damaged. Attach upya mkuu, tunalihitaji sana. Asante, nasubiri mkuu.
 
Naona mkuu umeathiriwa sana jambo fulani.
The guy is good Independently, give him his credit mzee.

No way haweze kuwa kuwa bora INDEPENDENTLY? lazima kuna watu nyuma yake wanaomuMpa mwongozo na matumaini HATAKAM HUWAPENDI kubali tu.
NI kweli kijana ni mzuri lakini si alone MBONA AKINA MWIGULU si bora pamoja na elimu aliyo nayo?jibu ni rahisi kuna watu/taasisi bora yuma yake.
 
Mifuko kama NSSF wanatumia hela za wanachama wao kujinufaisha wao wenyewe na kisiasa. Ukijenga majengo makubwa utapata kickback kubwa vile vile. So they build rampantly like they are crazy, making lots of money along the way. At the end of the day watasema serikali haijalipa lakini wao watakuwa wamepata kamisheni zao toka kwa makandarasi wajenzi wa hizo projects.
Kuna mtu hapo zamani alishawahi kusema haya mamifuko yatashindwa kuwalipa wanachama wao kwa sababu hawatakuwa na hela kwani they are investing in projects which would normally take a very long time to break even and make money. Lakini kina Dau wakabisha. Huko Japan wamejaribu hata kuongeza muda wa kustaafu ili waweze kuahirisha kulipa mafao ya uzeeni huku kwetu kina Dau wanataka kujenga madaraja ya kigamboni kwa fedha ambazo haijulikani zitalipwaje!
 
Binafsi bado niko kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii na hasa kama NSSF ambao ndio mfuko mkubwa. Nikisoma ripoti ya CAG na taarifa ya Zitto najiuliza inakuwaje NSSF na mifuko mingine ikakubali kutoa fedha za wanachama kwenda kwenye miradi ya serikali bila makubaliano yenye kueleweka na serikali hiyo? Binafsi ningependa viongozi wa mifuko hii wa wajibishwe!! Iweje sasa baada ya miaka kupita na madeni kutolipwa ndio watu waingie mikataba?

Mh. Zitto aliagiza CAG akague PPF ubadhirifu wa malipo ya yasiyo halali kwa wakurugenzi wake ya milioni 220 na 520 milioni kwa Mkurugenzi Mkuu toka April, 2011. Maagizo hayo yalipelekea Mkurugenzi mkuu wa PPF kumfukuza Kazi aliyekuwa Mhasibu Mkuu na aliyesimama kidete kutetea mali ya Umma, ili kuepusha kuhojiwa na CAG na kamati asije sema ukweli wote.

Mbona hii ripoti ya sasa haina majibu ya uchunguzi wa CAG? Au imefukiwa kimya kimya kwa mlango wa nyuma? Je Kamati ya Zitto imemhoji huyo Mhasibu mkuu kwa nini alisema malipo sio halali? Je CAG amemhoji? Au ndio mchezo ule ule wa kumuuliza nyani aliyeiba mahindi "eti wewe nyani umeiba mahindi yetu?" unatarajia atajibu nini?


Naomba Zitto alitolee ufafanuzi.
 
Mh. Zitto aliagiza CAG akague PPF ubadhirifu wa malipo ya yasiyo halali kwa wakurugenzi wake ya milioni 220 na 520 milioni kwa Mkurugenzi Mkuu toka April, 2011. Maagizo hayo yalipelekea Mkurugenzi mkuu wa PPF kumfukuza Kazi aliyekuwa Mhasibu Mkuu na aliyesimama kidete kutetea mali ya Umma, ili kuepusha kuhojiwa na CAG na kamati asije sema ukweli wote.

Mbona hii ripoti ya sasa haina majibu ya uchunguzi wa CAG? Au imefukiwa kimya kimya kwa mlango wa nyuma? Je Kamati ya Zitto imemhoji huyo Mhasibu mkuu kwa nini alisema malipo sio halali? Je CAG amemhoji? Au ndio mchezo ule ule wa kumuuliza nyani aliyeiba mahindi "eti wewe nyani umeiba mahindi yetu?" unatarajia atajibu nini?


Naomba Zitto alitolee ufafanuzi.


ZITTO

Mbona umenikaukia?

Au ndo mihela ya PPF imekunyamazisha mtegemewa wetu? Tulitarajia ulichokisema hadharani utakitolea maelezo hadharani lakini kimya!!!!, tunakuona unavinjali mara na PPF nanenane mara na PPF sabasaba, he! uko wapi ule moto uliojututumua nao!
 
attachment.php
 
Back
Top Bottom