Zitto Kabwe ampongeza Nape kwa kuthamini haki na kuihubiri

BigTall

JF-Expert Member
Mar 9, 2022
422
1,049
Mwanasiasa Zitto Kabwe amempongeza kauli ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye kuhusu umuhimu wa haki.

Zitto ameandika: “Asante sana Nape Nnauye kwa msisitizo huu wa HAKI. Haki za Watu ni jambo la Msingi kwa jamii yeyote kuweza kupiga hatua. Nimefarijika sana kuwa unaongelea umuhimu wa HAKI bila kigugumizi. Asante sana.”

Nape alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza kuhusu umuhimu wa katika kikao na baraza la wafanyakazi la Wizara hiyo kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM jijini Dodoma, Machi 26, 2022.

 
Ukiwa mpinzani sio upinge kila jambo.

Zito ni mwanasiasa muungwana.
Nasema kila siku tuna Taifa la watu wajinga.

Vitu vimeandikwa na tofauti anachokisema , hivi mahakamani watafata Maneno ya Nape? Au viliyoandikwa? Tunasema kila siku lakini kuna siku tutasema jamaa kabadilika kumbe kiliandikwa.

Vijana tupende vilivyoandikwa.
 
Mwanasiasa Zitto Kabwe amempongeza kauli ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye kuhusu umuhimu wa haki.

Zitto ameandika: “Asante sana Nape Nnauye kwa msisitizo huu wa HAKI. Haki za Watu ni jambo la Msingi kwa jamii yeyote kuweza kupiga hatua. Nimefarijika sana kuwa unaongelea umuhimu wa HAKI bila kigugumizi. Asante sana.”

Nape alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza kuhusu umuhimu wa katika kikao na baraza la wafanyakazi la Wizara hiyo kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM jijini Dodoma, Machi 26, 2022.

View attachment 2166755
Zitto ni Mrema aliyechangamka
 
Zitto ni german shefadi au? Je ni nani???? Tusaidieni kujua breed yake
 
Back
Top Bottom