BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 422
- 1,049
Mwanasiasa Zitto Kabwe amempongeza kauli ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye kuhusu umuhimu wa haki.
Zitto ameandika: “Asante sana Nape Nnauye kwa msisitizo huu wa HAKI. Haki za Watu ni jambo la Msingi kwa jamii yeyote kuweza kupiga hatua. Nimefarijika sana kuwa unaongelea umuhimu wa HAKI bila kigugumizi. Asante sana.”
Nape alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza kuhusu umuhimu wa katika kikao na baraza la wafanyakazi la Wizara hiyo kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM jijini Dodoma, Machi 26, 2022.
Zitto ameandika: “Asante sana Nape Nnauye kwa msisitizo huu wa HAKI. Haki za Watu ni jambo la Msingi kwa jamii yeyote kuweza kupiga hatua. Nimefarijika sana kuwa unaongelea umuhimu wa HAKI bila kigugumizi. Asante sana.”
Nape alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza kuhusu umuhimu wa katika kikao na baraza la wafanyakazi la Wizara hiyo kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM jijini Dodoma, Machi 26, 2022.