Zitto Kabwe alazwa hospitali

Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya mashirika ya umma na mbunge wa kigoma kaskazini mh. Zitto kabwe amelazwa katika hospital ya agakhan baada ya kuugua ghafla vyanzo mbalimbali vya habari vimeeleza anaumwa maradhi yasijulikana hivyo basi natumia fursa kumuombea dua apone na Mwenyezi Mungu ampe afya njema ili aweze kuendelea na majukumu yake ya ujenzi wa taifa.
Take care Magamba Kill squad at rampant!!
 
Get well soon Mh. Zitto!! hakika mimi na wapenda haki tunakutakia upone haraka na uendelee na harakati zako za kupambana na wezi wa nchi yetu!.
 
Tunakuombe upone haraka ili urejee kulitumikia Taifa kwa uaminifu as u always do.
 
Mitanzania ilivyo na akili fupi wataanza kusema amepewa sumu.
 
Ka aota kake kalipopimwa kameonekana kapo imara sio kama kale ka Kolimba.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom