Zitto Kabwe: ACT - Wazalendo kilianzishwa na watu watatu tu; Mimi, Kitila Mkumbo na Mwanaharakati mmoja wa kike

Huyo atakuwa kutoka GREEN belt
 
Siyo Nilipofukuzwa nilitamani kujiunga NCCR hapana kuwa mkweli Mr. Zitto sema hivi nilipotaka kuupindua uongozi halali wa CDM uliokuwepo kikagundulika na ndipo nikatamani kujiunga NCCR Mageuzi kuficha aibu.
Hahahaha.. kwa hiyo Zito alitaka kuwa Mwanamapinduzi aka Muasi
 
ACT kilikuja ku neutralize nguvu ya CHADEMA 20
15!!Nadhani kitakuwa chama kikuu cha upinzani miaka ijayo!!!Mbowe atakapostaafu uenyekiti CHADEMA zito atawika rasmi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…