Kwa upande wa kuanzishwa kwa chama chake amesema chama chao kilianzishwa kutokana na mchango mkubwa wa Professor Kitila Mkumbo (ambaye amesema ndiye mwandishi wa katiba ya ACT-WAZALENDO), yeye mwenyewe (Zito) na Mwanaharakati mmoja mwenye jinsia ya kike ambaye aligoma kumtaja!.