mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,336
Wanasiasa wa upinzani Tanzania wapuuzi sana! Angalia hata dress code zao! Zero kabisa!
Hueleweki!Umeshiba kayoga??!!
Kwani pale Magogoni hamna picha ya Delilah?Kitendo cha kutundika picha yako ofisini ni kama kusave picha yako kwenye screensaver ya simu yako
Toa hoja ya maana,dress code kwani ni wanamitindo hawa?Ofisi ya Katibu Mkuu wa CHADEMA imekaa kishamba sana! Ndo maana kumbe CHADEMA hamna mikakati ya maana! Nchi inaweza kuchukuliwa na watu wanaopanga mikakati katika mazingira ya kishamba namna hii!
Halafu na hiyo picha iliyowekwa kwenye frem ya pembetatu ina ashiria nini? Ni Freemason au?
Portrait speaks a thousand words! Chinese proverb!
Wanasiasa wa upinzani Tanzania wapuuzi sana! Angalia hata dress code zao! Zero kabisa!
Hawa ndo wapewe Nchi watuongoze! Mtasubiri sana!
Yawezekana ni ofisi yake binafsi na yeye ndio anayelipa kodi na hivyo ana maamuzi yake.Kitendo cha kutundika picha yako ofisini ni kama kusave picha yako kwenye screensaver ya simu yako
Poor mind yaani we unawza ufreemason tuu,embu jitambue usiwe na akili mgandoOfisi ya Katibu Mkuu wa CHADEMA imekaa kishamba sana! Ndo maana kumbe CHADEMA hamna mikakati ya maana! Nchi inaweza kuchukuliwa na watu wanaopanga mikakati katika mazingira ya kishamba namna hii!
Halafu na hiyo picha iliyowekwa kwenye frem ya pembetatu ina ashiria nini? Ni Freemason au?
Portrait speaks a thousand words! Chinese proverb!
Wanasiasa wa upinzani Tanzania wapuuzi sana! Angalia hata dress code zao! Zero kabisa!
Hawa ndo wapewe Nchi watuongoze! Mtasubiri sana!
Wewe ni mbavu mmoja usiyejitambua ni wa kupuuzwa. Hutumii akili yako japo kidogo, yaani wapinzani hawa mnaowachukua kwa gharama kubwa kina Nassari, kiba Mashonji, na wengine ambao ni wakuu wa Wilaya na mikoa na wengine ni mawaziri hivi sasa walitokea wapi? Wameelewa wapi? Sasahivi hawaongozi na siyo sehemu ya utawala? Watashindwa je kuongoza nchi wakati mnawawanunua? CCM hakuna watu?Ofisi ya Katibu Mkuu wa CHADEMA imekaa kishamba sana! Ndo maana kumbe CHADEMA hamna mikakati ya maana! Nchi inaweza kuchukuliwa na watu wanaopanga mikakati katika mazingira ya kishamba namna hii!
Halafu na hiyo picha iliyowekwa kwenye frem ya pembetatu ina ashiria nini? Ni Freemason au?
Portrait speaks a thousand words! Chinese proverb!
Wanasiasa wa upinzani Tanzania wapuuzi sana! Angalia hata dress code zao! Zero kabisa!
Hawa ndo wapewe Nchi watuongoze! Mtasubiri sana!
Wanaelewa basi vyura haoOfisi ya Katibu Mkuu wa CHADEMA imekaa kishamba sana! Ndo maana kumbe CHADEMA hamna mikakati ya maana! Nchi inaweza kuchukuliwa na watu wanaopanga mikakati katika mazingira ya kishamba namna hii!
Halafu na hiyo picha iliyowekwa kwenye frem ya pembetatu ina ashiria nini? Ni Freemason au?
Portrait speaks a thousand words! Chinese proverb!
Wanasiasa wa upinzani Tanzania wapuuzi sana! Angalia hata dress code zao! Zero kabisa!
Hawa ndo wapewe Nchi watuongoze! Mtasubiri sana!
Mpelekee ya mkeo au mwanao kama tu ametimiza umri wa kuolewa.Kitendo cha kutundika picha yako ofisini ni kama kusave picha yako kwenye screensaver ya simu yako
Toa hoja ya maana,dress code kwani ni wanamitindo hawa?
Toa hoja ya maana,dress code kwani ni wanamitindo hawa?
Wewe unaejua mbona haujafika level zao?Wewe hujui kitu! Personality commands power and influence!
Ulitaka liwe dirisha la misumari?Nimeona dirishani la mbao..fedha za ruzuku zinaenda wapi?
Ni suala la muda tu! Wao wamefikia mwisho wao na mimi napanda! Hivyo huwezi jua nitafikia wapi!Wewe unaejua mbona haujafika level zao?