Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Ndugu,kama una mpango wa kugombea tena ubunge mwaka wa 2020, basi inakupasa ujitathimini upya vinginevyo wewe mwenyewe hutarudi Bungeni na chama chako pia hakitapata mbunge hata mmoja.
Unaonekana huna msimamo na zaidi unaonekana kutaka kudhoofisha wapinzani kwa faida ya watu fulani huku ukijiita mpinzani.Hakika hii itakugharimu sana kisiasa.
Usisahau mkoa unaotaka upinzani una nguvu na unakubalika na ulikubalika kwa wananchi wengi kwasababu ulikuwa upinzani na si vinginevyo.
Tambua tu kwa hali ilivyo hivi sasa on the ground, kuna watu/chama unachopaswa kujitenga nacho kabisa vinginevyo hakuna mtu mwenye kujitambua atakaekuelewa.
2020 kuna chama wabunge wake watapukutika kama majani ya mti yanavyopukutika wakati wa kiangazi na wewe usipokuwa makini utapukutika pia.
Akili ya kuambiwa.......
Unaonekana huna msimamo na zaidi unaonekana kutaka kudhoofisha wapinzani kwa faida ya watu fulani huku ukijiita mpinzani.Hakika hii itakugharimu sana kisiasa.
Usisahau mkoa unaotaka upinzani una nguvu na unakubalika na ulikubalika kwa wananchi wengi kwasababu ulikuwa upinzani na si vinginevyo.
Tambua tu kwa hali ilivyo hivi sasa on the ground, kuna watu/chama unachopaswa kujitenga nacho kabisa vinginevyo hakuna mtu mwenye kujitambua atakaekuelewa.
2020 kuna chama wabunge wake watapukutika kama majani ya mti yanavyopukutika wakati wa kiangazi na wewe usipokuwa makini utapukutika pia.
Akili ya kuambiwa.......