Zitto: Hata Balimi tutapata 3 tu na sio 7

Zitto: Hata Balimi tutapata 3 tu na sio 7

Bamutu batalokota benyewe kunyavu
 
hahahahhah jibuni kwa hoja, mliambiwa watainuka wakina Lissu wengine wengi na Zitto Ni mmoja wao
kila teuzi zikija hola; akiangalia huku nako waasisi wenzake wanamkimbia; wanamuachia na ukuu wa chama; lazima awehuke; tusubiri labda baada ya siku mbili tatu hizi anaweza rejea Katika hali yake .
 
kila teuzi zikija hola; akiangalia huku nako waasisi wenzake wanamkimbia; wanamuachia na ukuu wa chama; lazima awehuke; tusubiri labda baada ya siku mbili tatu hizi anaweza rejea Katika hali yake .
Lakini vip anayoyapost mkuu hivi Yana ukweli wowote au nae ni msaliti tu?
 
Namna gani hapa Zitto anampiga kanzu JPM,tobo uwanja unalipuka. Tundu yupo nje uwanja akigangwa ganga,mpira unaendelea mpenzi msikilizaji
Game bado mbichi kabisa


Sema huyu dr Slaa angekuwa bado yuko fiti kama enzi zile mbona tungelishuhudia matuta ya karne
 
Zawadi ya good gesture/good will wanakata kodi! Nadhani hiyo ndiyo ilikuwa tunawadai hivyo kuna tax returns za kisheria
....Is this so? Kuna neno tax refunds umeliona na kuluelewa?
 
Hata hiyo Fedha US$ 300m ya kishika uchumba kutoka @BarrickGold wanakata $200m za VAT refund wanazodai. Hata Balimi ni 3 tu sio 7 tena
Source: Zitto Ruyagwa Kabwe on Twitter

Hizo Balimi 3 alikuwa nazo Zitto?
 
Zitto alifikiri ataishi kama enzi za JK? sasa hivi hata kamati atapewa.
 
Ahahahahahaha anashikilia nafasi ya lissu ccm awanaraha kabs naona hata zile ngonjera zao za kupenda kupongeza zinapungua
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom