Samaki mmoja akioza...
Malizia mwenyewe!
Hivi inaingia akilini? Zitto Kabwe awe mbaya lakini waliomchaguwa kuwatumikia, ambao ni wapiga kura wake, wana Kigoma wawe wazuri?
Ni wazi kabisa, kama mnamkataa Zitto ndio mmewakataa waliomchaguwa, na wao hamuwataki na msitake kuwahadaa wana Kigoma.
Hakuna shutuma hata moja tuliyoiona kuwa Zitto ameisaliti chadema. Waionyeshe hapa. Ni uongo tu walioupika kwa Zitto kuelezea nia yake ya kutaka kugombea Uenyekiti wa Chadema, hakuna zaidi.
Wana Kigoma msichotwe akili zenu na wachache hawa wenye chuki binafsi kwa mafanikio ya mwanenu. Msikubali kabisa, amma wamrudishie hadhi yake Zitto amma wamfukuze, kwa maana hiyo wanawafukuza nyie mliomchaguwa Zitto kuwatumikia. Wasikae wakamwacha kama mwanachama tu ilimradi abaki kuwepo bungeni wapate kula ruzuku ya uwepo wake bungeni.
Amma wamfukuze uanachama amma wamuombe radhi na wawaombe radhi wana Kigoma mliomchaguwa.
Wakumbuke kuwa Zitto hakuchaguliwa na Kamati ya Mbowe, Zitto alichaguliwa na wapiga kura wake, ambao ni ninyi Wana Kigoma.
Hiki ni kisa cha "baniani mbaya kiatu chake dawa" X 2. Mara moja ya ruzuku na mara ya pili ni Wana Kigoma.
Kigoma Oyeeeeeeeeeeee! Zitto Oyeeeeeeeeeeeee!
Faizafox,
Sijui kama nimepatia jina lenyewe, umeonyesha kuwa mwanamke mwenye umri wa miaka zaidi ya 18 anaruhusiwa kubakwa na kuambukizwa UKIMWI? kweli CCM mmeishiwa sera mmebaki kubahatisha maisha, mara muue Tembo mara muuze madawa ya kulevya nk.
Zitto anatetewa na wewe chama, THE BIG SHOW Ritz, kahtaan, Barubaru, gombesugu na magaidi wengine wengi. Huoni kama nyie ni kikundi cha kidini? Ukabila ni kina Pasco, MSALANI, masopakyindi and co
hivi inaingia akilini? zitto kabwe awe mbaya lakini waliomchaguwa kuwatumikia, ambao ni wapiga kura wake, wana kigoma wawe wazuri?
Ni wazi kabisa, kama mnamkataa zitto ndio mmewakataa waliomchaguwa, na wao hamuwataki na msitake kuwahadaa wana kigoma.
Hakuna shutuma hata moja tuliyoiona kuwa zitto ameisaliti chadema. Waionyeshe hapa. Ni uongo tu walioupika kwa zitto kuelezea nia yake ya kutaka kugombea uenyekiti wa chadema, hakuna zaidi.
Wana kigoma msichotwe akili zenu na wachache hawa wenye chuki binafsi kwa mafanikio ya mwanenu. Msikubali kabisa, amma wamrudishie hadhi yake zitto amma wamfukuze, kwa maana hiyo wanawafukuza nyie mliomchaguwa zitto kuwatumikia. Wasikae wakamwacha kama mwanachama tu ilimradi abaki kuwepo bungeni wapate kula ruzuku ya uwepo wake bungeni.
Amma wamfukuze uanachama amma wamuombe radhi na wawaombe radhi wana kigoma mliomchaguwa.
Wakumbuke kuwa zitto hakuchaguliwa na kamati ya mbowe, zitto alichaguliwa na wapiga kura wake, ambao ni ninyi wana kigoma.
Hiki ni kisa cha "baniani mbaya kiatu chake dawa" x 2. Mara moja ya ruzuku na mara ya pili ni wana kigoma.
Kigoma oyeeeeeeeeeeee! zitto oyeeeeeeeeeeeee!
Kajilipueni ili haki isimameVuta subra ukweli unadhwihiri tu kwani siku zote batwili haiwezi kuizidi Haki.
Haki itasimama tu.
Pole sana
hilo linawezekana isopukwa kama wewe ni mkabila. Zzzk ni mbaya japo wa kg wenzangu tuko wazuri
.Kajilipueni ili haki isimame
Umemaliza kuwambia viongozi wako na madudu yao???? au unaangalia kwa jirani unashangaa shimo la taka linawaka moto huku kwako nyumba ya mzee mwenye kaya inaungua??? yaani nyumba ya baba yako inaungua???Kila anaeibua madudu ya viongozi wenu wa Kaskazini basi huyo ni mbaya. Na hapo ndio tunapopafurahia sisi.
Sisi kazi yetu kuwaambia tu wala hatutaki mjirekebishe, endeleeni hivyo hivyo.