Zitto awatake radhi watanzania kwa kuwapotosha kuhusu posho za wabunge huku akijua posho ni kwa watu

wastarabu

New Member
Dec 6, 2011
3
0
Watanzania mnashangza sana, mnashindwa kuelewa kuwa posho za wabunge zimeongezeka kutokana na ukweli kuwa wao walikuwa wakilipwa kiasi kidogo sana ikilinganishwa na watumishi wengine wa serikali kuu kama vile makatibu wakuu wa wizara, wakurugenzi wa mashirika ya umma, halmashauri mbalimbali nchini, walimu polisi, madaktari na wengine wengi wanapoenda kufanya kazi nje ya vituo vyao vya kazi.

Kwa mfano mwali au polisi au daktari au mtumishi yeyote yule anapotoka Mwanza kwenda Dar es salaam kikazi hulipwa sitting allowance au perdiem ya shilingi 200,000 au zaidi au pungufu kulingana na cheo au hadhi yake.

Kwa hiyo siyo kweli kwamba posho za wabunge ndizo kubwa tu kuliko za wengine, tusiwe watu wa kuwabagua wenzetu, bango linashikwa kwa wabunge pekee yao, mbona hatuwashikii watumishi wengine? siyo kweli kwamba walimu hawalipwi posho wakisafiri kama wabunge nje ya vituo vyao vya kazi, mwalimu au polisi au mtumishi yeyote yule anaposafiri hulipwa hizo posho kulingana na cheo chao.

Kwa hiyo tusilaumu wenzetuy kwa sababu wana safiri sana kikazi, tatizo kubwa ni kuwa watumishi kama walimu huwa hawapati trip sana kama wabunge lakini wangepata trip kama wabunge wasingelalamika, na ofcourse haiwezekani wafanyakazi wote wakalingana katika kila kitu,hii ni kwa sababu nature ya kazi za wafanyakazi ni tofauti.

Nashauri Zitto Kabwe awe mkweli katika hili, analijua vizuri sana kuwa watumishi wote hulipwa posho wanaspokuwa nje ya vituo vyao vya kazi kama wabunge na si wabunge peke yao. Msema kweli ni mpenzi wa mungu, Katika hili zitto kawapotosha watanzania, Azungumzie na watumishi wengine, lakini inaelewka kuwa anataka kuongeza umaarufu kwa kuwarubuni watu, vilevile akaunti yake imeshiba sana, wakati fulani gazeti moja liliandika kuwa ana zaidi ya shilingi milioni 500, huku akiwa na magari yenye garama kubwa sana yaani HUMMER, RANGEROVER, MA VX, NISSAN nk. yote haya kayapataje?

Atueleze yametoka wapi, Ni vema akawa anaeleza ukweli badala ya kutaka umaarufu kuwa yeye ni mzalendo huku ikiwa ni kinyume chake, lakini inwezekana akawa na chanzo kingine cha mapato, lakini isije ikawa ni misaada anayoomba kwa ajili ya jimbo lake halafu anafanyia mambo yake.

Katika hili la posho tusiwaonee wabunge na wala mimi binafsi siwalaumu wale wote wanopinga ongezeko hili ila wa kulaumiwa ni zitto aliyepotosha huku akijua kuwa hata watumishi wengine hulipwa posho kama wabunge na wwengine huzidi hata wabunge. Tutafakari upya na tusipelekwe na watu wanaotaka umaarufu kwa kuwalaghai wenzao
 
Karibu Jamiiforums...Punguza mumkari!
Zitto alitosa 70,000 sasa hivi 200,000 zimemuuma. Anatamani kula matapishi yake
 
Siyo kazi ya mwalimu kukaa vikao.
Ila ni kazi ya mwanasiasa (mbunge). Yaani hayo ndiyo mazingira yake ya kazi, sasa kwanini alipwe posho?
 
Kitu cha kwanza baada ya kusoma Title ya topic yako nikaangalia tarehe uliyojoin JF kisha nikaangalia namna ya uandishi wenyewe hapo nikaona hamna kitu kilichoandikwa zaidi ya pumba, asante kwea kutujazia server
 
umetumwa wewe?au unasema posho za watumishi wa Libya,mimi ni mtumishi wa serikari hicho kiasi sijawahi kukiona
 
Watanzania mnashangza sana, mnashindwa kuelewa kuwa posho za wabunge zimeongezeka kutokana na ukweli kuwa wao walikuwa wakilipwa kiasi kidogo sana ikilinganishwa na watumishi wengine wa serikali kuu kama vile makatibu wakuu wa wizara, wakurugenzi wa mashirika ya umma,halmashauri mbalimbali nchini, walimu polisi, madaktari na wengine wengi wanapoenda kufanya kazi nje ya vituo vyao vya kazi kwa mfano mwali au polisi au daktari au mtumishi yeyote yule anapotoka mwanza kwenda Dar es salaam kikazi hulipwa sitting allowance au perdiem ya shilingi 200,000 au zaidi au pungufu kulingana na cheo au hadhi yake. Kwa hiyo siyo kweli kwamba posho za wabunge ndizo kubwa tu kuliko za wengine, tusiwe watu wa kuwabagua wenzetu, bango linashikwa kwa wabunge pekee yao, mbona hatuwashikii watumishi wengine? siyo kweli kwamba walimu hawalipwi posho wakisafiri kama wabunge nje ya vituo vyao vya kazi, mwalimu au polisi au mtumishi yeyote yule anaposafiri hulipwa hizo posho kulingana na cheo chao. kwa hiyo tusilaumu wenzetuy kwa sababu wana safiri sana kikazi, tatizo kubwa ni kuwa watumishi kama walimu huwa hawapati trip sana kama wabunge lakini wangepata trip kama wabunge wasingelalamika, na ofcourse haiwezekani wafanyakazi wote wakalingana katika kila kitu,hii ni kwa sababu nature ya kazi za wafanyakazi ni tofauti. Nashauri Zitto Kabwe awe mkweli katika hili, analijua vizuri sana kuwa watumishi wote hulipwa posho wanaspokuwa nje ya vituo vyao vya kazi kama wabunge na si wabunge peke yao. Msema kweli ni mpenzi wa mungu, Katika hili zitto kawapotosha watanzania, Azungumzie na watumishi wengine, lakini inaelewka kuwa anataka kuongeza umaarufu kwa kuwarubuni watu, vilevile akaunti yake imeshiba sana, wakati fulani gazeti moja liliandika kuwa an zaidi ya shilingi milioni 500, huku akiwa na magari yenye garama kubwa sana yaani HUMMER, RANGEROVER, MA VX,NISSAN nk. yote haya kayapataje? Atueleze yametoka wapi,Ni vema akawa anaeleza ukweli badala ya kutaka umaarufu kuwa yeye ni mzalendo huku ikiwa ni kinyume chake, lakini inwezekana akawa na chanzo kingine cha mapato, lakini isije ikawa ni misaada anayoomba kwa ajili ya jimbo lake halafu anafanyia mambo yake.
Katika hili la posho tusiwaonee wabunge na wala mimi binafsi siwalaumu wale wote wanopinga ongezeko hili ila wa kulaumiwa ni zitto aliyepotosha huku akijua kuwa hata watumishi wengine hulipwa posho kama wabunge na wwengine huzidi hata wabunge. Tutafakari upya na tusipelekwe na watu wanaotaka umaarufu kwa kuwalaghai wenzao

Karibu sana jamvini..
Acha uongo.
 
Kwahio na walimu nao wal;ipwe posho kwa kwenda kuandaa maandalio na kusahihisha daftari na mitihani ya wanafunzi nyumbani? Pumbafu kabisa nadhaniwewe una hamu ya kuharibiwa siku asubuhi asubuhi, ngoja waje wenyewe sasaa
 
Wana JF hivi si wabunge wa mishahara? sasa mbona wanatuchanganya. Naomba mwenye ujuzi anijuze kuhusu hizi togauti za mshahara wa mbunge na posho.
 
Karibu Jamiiforums...Punguza mumkari!
Zitto alitosa 70,000 sasa hivi 200,000 zimemuuma. Anatamani kula matapishi yake
Mkuu Rejao, acha dhihaka kwa Mhe. Zitto, wengi tunaomfahamu Zitto, siku zote anasimama kuhesabiwa!.
 
Watanzania mnashangza sana, mnashindwa kuelewa kuwa posho za wabunge zimeongezeka kutokana na ukweli kuwa wao walikuwa wakilipwa kiasi kidogo sana ikilinganishwa na watumishi wengine wa serikali kuu kama vile makatibu wakuu wa wizara, wakurugenzi wa mashirika ya umma,halmashauri mbalimbali nchini, walimu polisi, madaktari na wengine wengi wanapoenda kufanya kazi nje ya vituo vyao vya kazi kwa mfano mwali au polisi au daktari au mtumishi yeyote yule anapotoka mwanza kwenda Dar es salaam kikazi hulipwa sitting allowance au perdiem ya shilingi 200,000 au zaidi au pungufu kulingana na cheo au hadhi yake. Kwa hiyo siyo kweli kwamba posho za wabunge ndizo kubwa tu kuliko za wengine, tusiwe watu wa kuwabagua wenzetu, bango linashikwa kwa wabunge pekee yao, mbona hatuwashikii watumishi wengine? siyo kweli kwamba walimu hawalipwi posho wakisafiri kama wabunge nje ya vituo vyao vya kazi, mwalimu au polisi au mtumishi yeyote yule anaposafiri hulipwa hizo posho kulingana na cheo chao. kwa hiyo tusilaumu wenzetuy kwa sababu wana safiri sana kikazi, tatizo kubwa ni kuwa watumishi kama walimu huwa hawapati trip sana kama wabunge lakini wangepata trip kama wabunge wasingelalamika, na ofcourse haiwezekani wafanyakazi wote wakalingana katika kila kitu,hii ni kwa sababu nature ya kazi za wafanyakazi ni tofauti. Nashauri Zitto Kabwe awe mkweli katika hili, analijua vizuri sana kuwa watumishi wote hulipwa posho wanaspokuwa nje ya vituo vyao vya kazi kama wabunge na si wabunge peke yao. Msema kweli ni mpenzi wa mungu, Katika hili zitto kawapotosha watanzania, Azungumzie na watumishi wengine, lakini inaelewka kuwa anataka kuongeza umaarufu kwa kuwarubuni watu, vilevile akaunti yake imeshiba sana, wakati fulani gazeti moja liliandika kuwa an zaidi ya shilingi milioni 500, huku akiwa na magari yenye garama kubwa sana yaani HUMMER, RANGEROVER, MA VX,NISSAN nk. yote haya kayapataje? Atueleze yametoka wapi,Ni vema akawa anaeleza ukweli badala ya kutaka umaarufu kuwa yeye ni mzalendo huku ikiwa ni kinyume chake, lakini inwezekana akawa na chanzo kingine cha mapato, lakini isije ikawa ni misaada anayoomba kwa ajili ya jimbo lake halafu anafanyia mambo yake.
Katika hili la posho tusiwaonee wabunge na wala mimi binafsi siwalaumu wale wote wanopinga ongezeko hili ila wa kulaumiwa ni zitto aliyepotosha huku akijua kuwa hata watumishi wengine hulipwa posho kama wabunge na wwengine huzidi hata wabunge. Tutafakari upya na tusipelekwe na watu wanaotaka umaarufu kwa kuwalaghai wenzao

bange.............
 
Huyo mwalimu anayelipwa TShs 200,000 posho ya kujikimu yuko Tanzania hii ninayoishi au Tanzania ya kufikirika?

Maswala ya posho ni magumu sana kwani watumishi wengi wa umma maendeleo yao yanatokana na hizi posho na siyo mshahara; unapoona mtu anaacha kazi ya TShs 1,500,000 sekta kwa mwezi na kwenda kulipwa TShs 350,000 serikalini maswali yanabaki mengi kuliko majibu. Na mtu huyu aliyekuwa analipwa TShs. 1,500,000 sekta binafsi hakuweza kununua gari lakini kutokana na mshahara wake wa serikalini kuongezeka hadi kufikia TShs. 350,000 kwa muda mfupi anakuwa na usafiri wake.

Ni bahati mbaya sana kuwa serikalini cheo cha mtu kinaonekana kutokana na jumla ya posho anazolipwa na siyo kiwango cha mshahara kwani mishahara imeandaliwa kijamaa sana (hazipishani sana) lakini ukija jumlisha posho mwenye cheo anahama toka ujamaa na kuingia kwenye hadhi ya mabepari
 
Kwanza nimpongeze huyo jamaa aliyewalisha hii mada hapa JF, PILI NIWALAUMU WACHANGIAJI WACHACHE AMBAO WANAANDIKA VITU VISIVYOKUWA NA KICHWA WALA MIGUU. hii kwa sababu hapa JF ni sehemu ya fikraa zinazoishi na siyo kuandika vitu visivyokuwa na hoja zilizotafitiwa. Nadhani inaweza ikawa vema tukafanyia utafiti wa hayo aliyoyasema badala ya sisi wachangiaji kuanza kusema YALE YALEEEEEEEEEEE, wengine au unatania.., wakuu hatuwezi kufika. Sisi tutembelee ofisi za serikali husasani ofisi ya rais menejiment ya utumishi wa umma, tutapata takwimu sahihi na iwapo itakuwa ni uwongo tutajadili, tusipinge kabla hatufanya tafiti. Mwingine anaweza kusema kuwa yeye ni mtumishi wa serikali kwamba hakuna kitu kama hicho, lakini hajawahi kupata kutoka nje ya kituo chake cha kazi sasa huyo atajuaje mambo haya ya posho kwa viwango mbalimbali?Tujipe nafasi tufuatillie ili kujua ukweli. Ikibainika kuwa kama amevyotueleza jamaa inabidi tuanzishe mchakato wa kuzipunguza au kuwaogezea wafanyakazi wengine mishahara na posho ikiwa ni sambamba na kuangalia namna bora kuondoa umasikini wa wasio wafanyakazi.iwapo serikali itashindwa kusikiliza yale ambayo tunayataka itabidi turejee kuangalia nini tufanye ili ituheshimu watanzania na mawazo yetu,hii ni kwa sababu serikali ya ccm ni ya kijanjajanja,
 
Mkuu Rejao, acha dhihaka kwa Mhe. Zitto, wengi tunaomfahamu Zitto, siku zote anasimama kuhesabiwa!.
unajua kama mwanasiasa, unaazisha kitu kinaweza kukubaliwa au kukataliwa. Hoja yake ya kupinga posho ilipingwa zamaani tena na wabunge wa chama chake. kwa hili alikuwa failure. Angejikalia tu kimya au aje tena na strategy nyingine.
 
Na wewe kumbe ndio umeingia leo, karibu sana, lakini mbona style ya uandishi ni ile ile, mbona kama vile ni mtu yule yule??
Kwanza nimpongeze huyo jamaa aliyewalisha hii mada hapa JF, PILI NIWALAUMU WACHANGIAJI WACHACHE AMBAO WANAANDIKA VITU VISIVYOKUWA NA KICHWA WALA MIGUU. hii kwa sababu hapa JF ni sehemu ya fikraa zinazoishi na siyo kuandika vitu visivyokuwa na hoja zilizotafitiwa. Nadhani inaweza ikawa vema tukafanyia utafiti wa hayo aliyoyasema badala ya sisi wachangiaji kuanza kusema YALE YALEEEEEEEEEEE, wengine au unatania.., wakuu hatuwezi kufika. Sisi tutembelee ofisi za serikali husasani ofisi ya rais menejiment ya utumishi wa umma, tutapata takwimu sahihi na iwapo itakuwa ni uwongo tutajadili, tusipinge kabla hatufanya tafiti. Mwingine anaweza kusema kuwa yeye ni mtumishi wa serikali kwamba hakuna kitu kama hicho, lakini hajawahi kupata kutoka nje ya kituo chake cha kazi sasa huyo atajuaje mambo haya ya posho kwa viwango mbalimbali?Tujipe nafasi tufuatillie ili kujua ukweli. Ikibainika kuwa kama amevyotueleza jamaa inabidi tuanzishe mchakato wa kuzipunguza au kuwaogezea wafanyakazi wengine mishahara na posho ikiwa ni sambamba na kuangalia namna bora kuondoa umasikini wa wasio wafanyakazi.iwapo serikali itashindwa kusikiliza yale ambayo tunayataka itabidi turejee kuangalia nini tufanye ili ituheshimu watanzania na mawazo yetu,hii ni kwa sababu serikali ya ccm ni ya kijanjajanja,
 
Watanzania mnashangza sana, mnashindwa kuelewa kuwa posho za wabunge zimeongezeka kutokana na ukweli kuwa wao walikuwa wakilipwa kiasi kidogo sana ikilinganishwa na watumishi wengine wa serikali kuu kama vile makatibu wakuu wa wizara, wakurugenzi wa mashirika ya umma,halmashauri mbalimbali nchini, walimu polisi, madaktari na wengine wengi wanapoenda kufanya kazi nje ya vituo vyao vya kazi kwa mfano mwali au polisi au daktari au mtumishi yeyote yule anapotoka mwanza kwenda Dar es salaam kikazi hulipwa sitting allowance au perdiem ya shilingi 200,000 au zaidi au pungufu kulingana na cheo au hadhi yake. Kwa hiyo siyo kweli kwamba posho za wabunge ndizo kubwa tu kuliko za wengine, tusiwe watu wa kuwabagua wenzetu, bango linashikwa kwa wabunge pekee yao, mbona hatuwashikii watumishi wengine? siyo kweli kwamba walimu hawalipwi posho wakisafiri kama wabunge nje ya vituo vyao vya kazi, mwalimu au polisi au mtumishi yeyote yule anaposafiri hulipwa hizo posho kulingana na cheo chao. kwa hiyo tusilaumu wenzetuy kwa sababu wana safiri sana kikazi, tatizo kubwa ni kuwa watumishi kama walimu huwa hawapati trip sana kama wabunge lakini wangepata trip kama wabunge wasingelalamika, na ofcourse haiwezekani wafanyakazi wote wakalingana katika kila kitu,hii ni kwa sababu nature ya kazi za wafanyakazi ni tofauti. Nashauri Zitto Kabwe awe mkweli katika hili, analijua vizuri sana kuwa watumishi wote hulipwa posho wanaspokuwa nje ya vituo vyao vya kazi kama wabunge na si wabunge peke yao. Msema kweli ni mpenzi wa mungu, Katika hili zitto kawapotosha watanzania, Azungumzie na watumishi wengine, lakini inaelewka kuwa anataka kuongeza umaarufu kwa kuwarubuni watu, vilevile akaunti yake imeshiba sana, wakati fulani gazeti moja liliandika kuwa an zaidi ya shilingi milioni 500, huku akiwa na magari yenye garama kubwa sana yaani HUMMER, RANGEROVER, MA VX,NISSAN nk. yote haya kayapataje? Atueleze yametoka wapi,Ni vema akawa anaeleza ukweli badala ya kutaka umaarufu kuwa yeye ni mzalendo huku ikiwa ni kinyume chake, lakini inwezekana akawa na chanzo kingine cha mapato, lakini isije ikawa ni misaada anayoomba kwa ajili ya jimbo lake halafu anafanyia mambo yake.
Katika hili la posho tusiwaonee wabunge na wala mimi binafsi siwalaumu wale wote wanopinga ongezeko hili ila wa kulaumiwa ni zitto aliyepotosha huku akijua kuwa hata watumishi wengine hulipwa posho kama wabunge na wwengine huzidi hata wabunge. Tutafakari upya na tusipelekwe na watu wanaotaka umaarufu kwa kuwalaghai wenzao
Haya, tuma salamu kwa watu watatu
 
Back
Top Bottom