Acha uongo wewe.
Kwanza unachanganya vitu viwili hapa sitting allowance unaiita per diem, huo ni upotoshaji mkubwa sana. Labda tusaidiane, sitting allawance ni posho ya vikao na per diem ni posho ya kujikimu ambayo kiwango cha juu kwa watumishi wa umma wakiwemo wabunge ni 80,000/=. Hiyo posho ya vikao mtu analipwa kama anahudhuria kikao halafu hiyo ni kwa watu wazito na sio walimu, madaktrati au watumishi wengine kama unavyopotosha.
Kwa kawaida mtumishi akisafiri analipwa posho ya kujikimu tu ambayo inaanzia sh. 35,000 hadi 80,000 kutegemea cheo na mahali anapokwenda. kwa mfano, mtu kama anasafiri kuja Dar na mwingine anakwenda Rukwa, wa Dar analipwa zaidi kwa sababu ya gharama ya maisha Dar. Ikumbukwe kwamba fedha hizo ni kwa ajili ya chakula, malazi na matumizi mengine.
KWA HIYO TUSIPOTOSHE WATU KWAMBA KUNA 200,000 WANALIPWA WALIMU, MADAKTARI. HOJA YA ZITTO INAENDELEA KUSIMAMA KAMA UKOSOAJI WA KIONGOZI MWENYE UCHUNGU NA WATU WA CHINI
Kwanza unachanganya vitu viwili hapa sitting allowance unaiita per diem, huo ni upotoshaji mkubwa sana. Labda tusaidiane, sitting allawance ni posho ya vikao na per diem ni posho ya kujikimu ambayo kiwango cha juu kwa watumishi wa umma wakiwemo wabunge ni 80,000/=. Hiyo posho ya vikao mtu analipwa kama anahudhuria kikao halafu hiyo ni kwa watu wazito na sio walimu, madaktrati au watumishi wengine kama unavyopotosha.
Kwa kawaida mtumishi akisafiri analipwa posho ya kujikimu tu ambayo inaanzia sh. 35,000 hadi 80,000 kutegemea cheo na mahali anapokwenda. kwa mfano, mtu kama anasafiri kuja Dar na mwingine anakwenda Rukwa, wa Dar analipwa zaidi kwa sababu ya gharama ya maisha Dar. Ikumbukwe kwamba fedha hizo ni kwa ajili ya chakula, malazi na matumizi mengine.
KWA HIYO TUSIPOTOSHE WATU KWAMBA KUNA 200,000 WANALIPWA WALIMU, MADAKTARI. HOJA YA ZITTO INAENDELEA KUSIMAMA KAMA UKOSOAJI WA KIONGOZI MWENYE UCHUNGU NA WATU WA CHINI