ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,775
Naona Watumishi wa Umma wanaanza kufanywa kafara ya Wanasiasa.
RC anasitiaha posho Kwa Ajili ya nini hasa? Posho zenyewe za manati harafu unasitisha utaenda wewe kusimamia kazi?
Huu ndio wakati wa Vyama vya Wafanyakazi kusimamia na kukemea. Kama posho ni haramu zifuteni na nyie msilipane posho maana naona hili lilianzia Kigoma Kwa PM eti watu wamelipana mil.14.
Tafuteni Pesa za Miradi msiwasingizie Watumishi wa Umma.
View: https://www.instagram.com/p/Cxh_eMXtFto/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
RC anasitiaha posho Kwa Ajili ya nini hasa? Posho zenyewe za manati harafu unasitisha utaenda wewe kusimamia kazi?
Huu ndio wakati wa Vyama vya Wafanyakazi kusimamia na kukemea. Kama posho ni haramu zifuteni na nyie msilipane posho maana naona hili lilianzia Kigoma Kwa PM eti watu wamelipana mil.14.
Tafuteni Pesa za Miradi msiwasingizie Watumishi wa Umma.
View: https://www.instagram.com/p/Cxh_eMXtFto/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==