Zitto awataja mafisadi wa mabilioni ya Uswisi!

Zitto awataja mafisadi wa mabilioni ya Uswisi!

Ukweli mtupu. Ndio maana wanasema ccm haiwezi kung;oka madarakani 2015. wanajua wa tanzania ni maskini na kwa ma bilioni hayo wanaweza kununua watu na shahada zao za kupigia kura
 
Ukweli ni kwamba Zitto amewataja mafisadi wa mabilioni ya Uswiss, kwa kutumia busara yeye kama mbunge. Upande wa jeshi, fedha kwenye account za nje za viongozi hutolewa wakati wa manunuzi ya silaha na vifaa vya jeshi. Upande wa mafuta, makampuni ya mafuta hutozwa kiwango kidogo kulipia serikalini "exploration blocks" wanazopewa, kwa masharti kwamba waweke fedha kwenye account za nje za viongozi wa serikali ambao majina yao kampuni hizo hupewa.

Kwa kifupi basi, hizi hela zimeibiwa toka serikalini.Tusimlaumu Zitto kwa kutotaja majina, na sie tumsaidie kumalizia, kwani ameshatutafunia kila kitu. Hebu malizia, mie naanza;

1. Mawaziri Wakuu, 2003-2010; Sumaye, Lowasa
2. Mawaziri wa Nishati na Madini - 2003-2010; Ngeleja,
3. Mawaziri Wizara wa Ulinzi 2003-2010;
4. Mkurugenzi Mkuu wa (TPDC) 2003-2010; Yona Kilagane
5. Wenyeviti wa Bodi ya TPDC - 2003 - 2010;
6. Makatibu Mkuu wa Wizara ya Nishati 2003-2010; Patrick Rutabanzibwa,
7. Makatibu Mkuu Wizara ya Ulinzi 2003-2010;
8. Wakuu wa Majeshi, 2003-2010; Mboma,
9. Makamishna wa Nishati 2003-2010; Victus, Mlindoko,
10. Wanasheria wa serikali, 2003-2010; Chenge,
11. Wajumbe wa Board ya TPDC, 2003-2010;

Source: Gazeti la Mwananchi, 9/11/2012: Kichwa cha habari; HOJA YA ZITTO YAIBUA MAJADALA MKALI,WABUNGE CCM WAIUNGA MKONO
umesahau Edward Lowasa ambaye alifukuzwa uwazir mkuu kwa sababu ya Wizi
 
Kama kweli hizo pesa zipo huko ughaibuni sheria zinasemaje? Za kitaifa na kimataifa? Huyu Membe atujuze hela za nani na kwa nini ziko huko. Kwani benki zetu zimejaa? Kwani kuna dhambi kujua kila mtanzania ana sh ngapi benki? Ukweli na uwazi uko wapi?

Hizo pesa hata CDM wakichukua nchi hawawezi kuzirudisha labda sheria ya uswis wazibadilishe au hao jamaa waamue kuzitoa wenyewe.
Someni hiyo:
Banking law of 1934

The Swiss Parliament passed the Banking Law of 1934, which codified the rules of secrecy and criminalizes violation of it. The secrecy provisions were not included in the first draft of the law, which mainly concerned administrative matters such as bank supervision. The provisions, found in Article 47(b), were added before passage of the bill due to Nazi authorities' attempts to investigate the assets of Jews and "enemies of the state" held in Switzerland.
Source:wekipedia
 
uzuri wa Watanzania hata wakitukanwa na CCM matusi yanguoni, bado wataichagua tu!!!
huku nilko ni kilio maisha magumu jamani, ukienda sokoni 2000/- kuhemea jasho linakutoka
maana mboga haigusiki, MIE NI MTOTO WA MASKINI
 
kama jana mliangalia bunge jioni kuhusu viongoz wa nchi yetu walioficha pesa nje ya nchi,kuna mbunge alisema imefika wakati watanzania washtuke wanapoona mbunge kila siku anatoa mamamillion kwenye kuchangia mambo mbalimbali,alidiriki kusema kwamba hiyo ni pesa chafu ambayo inatumika kujisaficha na skendo za richmond na epa.
alisema kwamba angekua yeye anawajua angewataja live pia akasema yeye ni mtaalamu wa kudetect pesa zilipofichwa na anacho kifaa maalumu hivo kama wamechimbia ndani ya nyumba kuficha pesa atawaumbua.
aliwaambia wabunge wenzake kwamba majimbo yao hayana maji,umeme,barabara,na maisha mabovu ni kwa sababu ya pesa ambazo zimefichwa uswisi na nchi nyingine za ulaya,uarabuni na america.
ninachokiona mimi ni kuwa viongozi wengi walioiba pesa wanajipendekeza sana kwa watu wa dini sababu wameshajua udhaifu wa viongozi wetu wa dini wa kupenda pesa na udanganywa sana na pesa wanazopewa na kusahau kuoji mambo ya msingi na tuhuma wanazousika nazo
jaman pesa ambazo zimefichwa ni pesa nyingi sana asa ukizingatia nchi yetu ni maskini sana,hivo usiwe upepo wa kupita,tunatozwa kodi nyingi sana na uwa zikipanda kila mwaka,na pesa ambazo zinafichwa zinavunja raia moyo wa kulipa kodi.
naomba wananchi wote bila kujali chama tukomae tuwajue walioficha na pesa zirejeshwe tanzania kwa maendeleo ya vizazi vijavyo
[h=3]VIONGOZI WAPYA WA UV-CCM WALIVYOPOKELEWA KWA VIBOKO NA NGUMI[/h]


[h=2][/h]
cccm1.jpg

Sehemu ya Mabango yakiwa yamebebwa na Vijana wa UVCCM Wakati wa Mapokezi ya Viongozi wapya wa UVCCM Jijini Dar es Salaam Jana
cccm2.jpg

4701135_orig.jpg

Picha juu ni jinsi UVCCM walivyowapokea viongozi wao wapya - kwa mabango na kichapo katika ofisi za Makao Makuu ya Umoja huo jana.
uvccm_wakipigana.jpg

Wanachama wa Umoja wa Vijana wa CCM (UV-CCM), wanaomuunga mkono Mwenyekiti mpya wa Taifa wa Umoja huo, Khamis Sadifa Juma na viongozi wenzake, wakimtwanga mmoja wa wanachama waliojitokeza kumpinga mwenyekiti huyo kwa mabango (wa pili kushoto), wakati alipowasili makao makuu ya umoja huo Dar es Salaam jana, akitokea mkoani Dodoma alipochaguliwa kushika nyadhifa hiyo. Picha na Rafael Lubava -
----
SHAMRASHAMRA za kumpokea Mwenyekiti mpya wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) , Khamis Sadifa Juma jijini Dar es Salaam jana ziligeuka uwanja wa vita baada ya makundi yanayopingana kuchapana makonde.

Tafrani hiyo ilianza baada ya kundi moja la vijana waliokuwa wanane kutokea likiwa na mabango yaliyokuwa na ujumbe wa kupinga ushindi wa mwenyekiti huyo, wakati utambulisho wa ugeni huo ukiendelea katika ofisi za makao makuu ya UVCCM, zilizopo jijini Dar es Salaam.

Baada ya kundi hilo kujitokeza na mabango yao, ndipo vijana wa upande wa Mwenyekiti (Juma), walipoanza kuwakimbiza na kufanikiwa kuwakamata


Kukiwa hakuna msaada wa Polisi, vijana hao walilishambulia kundi hilo kwa muda, huku baadhi yao wakitiwa nguvuni na vijana hao na kuingizwa katika ofisi ya UVCCM huku waandishi wa habari wakizuiwa kuwahoji watuhumiwa wala kuingia ndani ya ofisi hiyo.

''Hatutaki waandishi humu ndani, tokeni na asiingie mtu, hawa tutashughulika nao wenyewe, wanatusumbua mno hawa kwa siku nyingi," alisikika mmoja wa vijana hao akiongea kwa sauti ya juu.

Baada ya purukushani hizo zilizodumu kwa zaidi ya nusu saa, hali ya hewa ilitulia na ratiba iliendelea huku vijana wengine wanaomuunga mkono mwenyekiti wao wakichukua jukumu la kulinda usalama wa eneo hilo na kuwapeleka Kituo cha Polisi Mnazi Mmoja vijana wawili waliowakamata kwa mahojiano.

Mwenyekiti mpya wa UVCCM alitamba kuwa atapambana na watu wanaotaka kuvuruga umoja huo.
Alisema: "Mimi ni mwanajeshi nimekaa kwenye kambi nyingi za jeshi, hivyo naelewa nitakavyopambana nao."

Viongozi wa Kitaifa
Hata hivyo, sherehe hizo hazikuhudhuriwa na kiongozi yeyote wa kitaifa wa CCM.

Akizungumza baada ya mapokezi hayo, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa aliwataka vijana kuwa na umoja akisema kuwa uchaguzi umekwisha na kilichobaki ni kujenga chama na kuhakikisha CCM inashinda katika chaguzi zote.

''Kilichobaki sasa ni kujenga chama, haipendezi kuendeleza uhasama ndani ya chama, sisi sote ni wamoja na tuache makundi kwani nayachukia na kuwachukia wale wanaoanzisha na kuendeleza makundi,''
alisema Khamis Sadifa Juma.

Wiki iliyopita, baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa UVCCM mjini Dodoma, kundi la vijana kutoka mikoa mbalimbali walikutana na waandishi wa habari na kulalamika kwamba rushwa ilitawala uchaguzi huo, huku wakiwatuhumu viongozi wa UVCCM na baadhi makada wa chama hicho kwa kuhusika na vitendo hivyo.

Waliotajwa ni pamoja aliyekuwa makamu mwenyekiti wa umoja huo, Beno Malisa, Katibu Mkuu wa UVCCM, Martin Shigela, Bashe na mtoto wa Lowassa, Fredy.

"Kama Rais Jakaya Kikwete kweli yuko makini na kauli zake ni za dhati, basi atengue matokeo ya uchaguzi huu maana kanuni zimekiukwa na kusema kweli rushwa ilitawala. Atumie nafasi yake kurejesha hadhi ya chama kwani huu uchaguzi ni batili," alisema Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kutoka Morogoro, Augustine Matefu.

Walidai kuwa Bashe, ndiye aliyekuwa mratibu wa uingizaji wa fedha katika eneo la mkutano ambazo zilitumika kugawanywa kwa wajumbe na kwamba Malisa na Shigela waligawa Sh1 milioni kwa viongozi wa mikoa kama hatua ya kumpigia kampeni mmoja wa wagombea walioshinda.

Hata hivyo, Bashe alikanusha tuhuma hizo akisema siyo kweli na kuongeza: "Mimi sijatumwa na Lowassa, wala sifanyi kazi na Lowassa. Nafanya kazi ya CCM, lakini nampenda sana Lowassa kwa sababu ni mmoja wa viongozi na makada wa chama, ambao wameonyesha mapenzi ya dhati kwa CCM na uvumilivu wa hali ya juu."

Kada mwingine, Livamba Adinan Selemani alisema: "Vijana kweli tumempuuza Rais, kweli mtu ambaye hana hela hawezi kupata uongozi UVCCM, kwa maana nyingine nchi yetu inakwenda pabaya. Watu wachache wenye fedha wanaweza kuamua kufanya wanachotaka, hivyo ndivyo uchaguzi wetu wa vijana ulivyokuwa."

Mjumbe mwingine, Kichanta Selemani alisema malalamiko ya viongozi wa UVCCM kuwapendelea baadhi ya wagombea yalifikishwa kwa Lukuvi lakini hakuna hatua zilizochukuliwa.

Wakati makada hao wa CCM wakizungumza na waandishi wa habari, lilitokea kundi jingine la makada wa chama hicho ambao walianza kuzozana na wenzao wakisema kuwa malalamiko yao yanatokana na kushindwa na kwamba walitaka kutumia "Viongozi wa ngazi za juu za CCM" kuwachagulia vijana viongozi.

[h=2]UMEZISOMA HIZI?[/h]
 
Naona wote wababaishaji tu hakuna anayeweza kuwataja...............unadhani zitto kwa unafiki wake anaweza kumtaja kikwete?.............Tusubiri tuone
 
Hizo pesa hata CDM wakichukua nchi hawawezi kuzirudisha labda sheria ya uswis wazibadilishe au hao jamaa waamue kuzitoa wenyewe.
Someni hiyo:
Banking law of 1934

The Swiss Parliament passed the Banking Law of 1934, which codified the rules of secrecy and criminalizes violation of it. The secrecy provisions were not included in the first draft of the law, which mainly concerned administrative matters such as bank supervision. The provisions, found in Article 47(b), were added before passage of the bill due to Nazi authorities' attempts to investigate the assets of Jews and "enemies of the state" held in Switzerland.
Source:wekipedia
Hapa hatuhitaji sheria nyingi kama unavyodhani! Tufanye kama china tu! ikidhihirika umeiba ni "kitanzi tu!!" sio kutumia myanya ya sheria kuiba hela zetu, kisa vifungu kumbe mwizi!! Colombia pia wanakukita tu!! halafu baki na sheria zako!
 
Kwenye hili la mapesa ya uswisi nimeona Mh.Zitto akiwa makini japo serikali ya CCm haiwezi kukubali kuumbuka na kwakweli tuna safari ndefu ili kuifikia Tanzania tuitakayo.......!!!!Big up mh.Zitto na upinzani bungeni.
Hofu yangu ni kwamba kama hizo document bado hajashare na mtu, basi usalama wake unaweza kuwa hatarini sana. Najua hao walio mbioni kutajwa ni watu wenye influence kubwa kwenye majeshi ya nchi na hata usalama wa taifa. Kwahiyo hawashindwi kumfanya chochote, na bado wakawa na imani kwamba litapita kama upepo. Kwa upande mwingine naona kama kwa usalama wake Zito alipaswa kuyataja hayo majina. Kwa kutokutaja amejiweka pabaya zaidi kiusalama.
 
Hizo pesa hata CDM wakichukua nchi hawawezi kuzirudisha labda sheria ya uswis wazibadilishe au hao jamaa waamue kuzitoa wenyewe.
Someni hiyo:
Banking law of 1934

The Swiss Parliament passed the Banking Law of 1934, which codified the rules of secrecy and criminalizes violation of it. The secrecy provisions were not included in the first draft of the law, which mainly concerned administrative matters such as bank supervision. The provisions, found in Article 47(b), were added before passage of the bill due to Nazi authorities' attempts to investigate the assets of Jews and "enemies of the state" held in Switzerland.
Source:wekipedia

mkuu mambo yamebadilika mbona pesa za san abacha karibu billion 1 dollar zilirudishwa nigeria,kwa pesa zinazotoka nchi maskini kuna utaratibu wa kurudisha siku hiz zaman ndio ilikuwa ngumu,siku hiz zinarudishwa
 
Acheni masihara! Mbona bado hawajatajwa! Inatakiwa watajwe kwa majina na kiasi walichoweka, na nafikiri haitawezekana


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Sawa Zitto ila fanya kama kuwafungua macho waTZ usifanye kama karata ya kutaka urais. Hii kutaka taka urais inatuboa sana.
Hakuna uhusiano na Hoja binafsi ya Zittto!! jipange sawasawa!!
 
picha ingekuwa nzuri kama wangetajwa hadharani hapo bungeni wanafichwa kwa nini kama ushahidi upo? watajwe tuwajue wawajibishwe no siasa.
 
huyo ni mbunge wa jimbo la mwimbara, jina limenitoka.

jamaa alikuwa anaongea km yupo kijiweni tu au kwenye baa.

eti ana kifaa cha kugundua pesa iliyochimbiwa chini!!!!!

No,aliyeongea hayo maneno ya mtoa mada,ni olesendeka,na ni kweli lilikuwa dongo la el kimtindo!....ila inatia uchungu sana....nilickiliza mwanzo mwisho
 
mi mpaka awataje, maana kasema anawajua, kwa nini asaidiwe? baada ya yeye kutaja wengine wanaofahamu wanaweza kuongezea au kurekebisha. kuongea bila evidence inaweza ikawa ni technic ya kuwin akili za watu, aonekane shupavu na anafaaa kuwa kiongozi. baadae wenzenu wakikutana wanakula tano- umejiongezea point, na kumbe hata hakuna issue ya namna hiyo. awataje na ikiwezekana atoe more details, tutaamini

Usifikiri it is that simple. Am sure ingekuwa rahisi hivyo kuwataja tusingekuwa huku sasa hivi.

Bt the funny part people like you and me tumekaa nyuma ya desktop zetu laptops zetu kwenye TV tunalalama mbona Zito hawataji, anawaogopa, anataka uraisi. What have you and me done kusiaidia kuiokoa nchi hii kwenye mambo kama haya. Mi nashangaa sana watu kama Zito na other whistle blowers they do all the hardwork (wanatuletea vitu mpka kwenye doorsteps zetu) (meremeta,Richmond,mabilioni uswizi,Jairo nk) vyote hivi tunaona bungeni vinavyozimwa sisi tupo tu tunaishia kulalamika tu.

Hizo inchi tunazopenda kutolea mfano kama Benchmark (Marekani, UK) usifikiri wemefika hapo kwa kulalamika tu.. They took steps and they made sure wakilalamika viongozi wao feel nguvu yao.

Viongozio wao wanapo resign sio kwasababu wana uzalendo sana, au kweli wanajutia. Noo because wananchi wao walitengenrza culture ya lazima uwajibike kwa njia yoyote either kwa sheria au nguvu ya public (wata make sure hawakuchagui tena au wataandamana au chochote kile)

Thus Serikali Wabunge wanafanya wanavyofanya kwasababu they know whats our price.
 
Usifikiri it is that simple. Am sure ingekuwa rahisi hivyo kuwataja tusingekuwa huku sasa hivi.

Bt the funny part people like you and me tumekaa nyuma ya desktop zetu laptops zetu kwenye TV tunalalama mbona Zito hawataji, anawaogopa, anataka uraisi. What have you and me done kusiaidia kuiokoa nchi hii kwenye mambo kama haya. Mi nashangaa sana watu kama Zito na other whistle blowers they do all the hardwork (wanatuletea vitu mpka kwenye doorsteps zetu) (meremeta,Richmond,mabilioni uswizi,Jairo nk) vyote hivi tunaona bungeni vinavyozimwa sisi tupo tu tunaishia kulalamika tu.

Hizo inchi tunazopenda kutolea mfano kama Benchmark (Marekani, UK) usifikiri wemefika hapo kwa kulalamika tu.. They took steps and they made sure wakilalamika viongozi wao feel nguvu yao.

Viongozio wao wanapo resign sio kwasababu wana uzalendo sana, au kweli wanajutia. Noo because wananchi wao walitengenrza culture ya lazima uwajibike kwa njia yoyote either kwa sheria au nguvu ya public (wata make sure hawakuchagui tena au wataandamana au chochote kile)

Thus Serikali Wabunge wanafanya wanavyofanya kwasababu they know whats our price.

Mkuu mie nakubaliana na wewe kabisa. Niliweka hii thread nikitarajia kufikia sasa tungekuwa tumeshajaza majina yote ili yaanzwe kusambazwa hadharani. Ndio maana nikasema mie naanza, kwa kuwa siwakumbuki wote ambao Zitto ametaja kwa vyeo.

Hivi mnataka nini zaidi ya Zitto kuwataja kwa vyeo, tunashindwa bini kumalizia hii list aliyotupa? Nimeongezea wengine hapo chini


1. Mawaziri Wakuu, 2003-2010; Sumaye, Lowasa
2. Mawaziri wa Nishati na Madini - 2003-2010; Ngeleja, Karamagi
3. Mawaziri Wizara wa Ulinzi 2003-2010; Kapuya,
4. Mkurugenzi Mkuu wa TPDC 2003-2010; Yona Killagane
5. Wenyeviti wa Bodi ya TPDC - 2003 - 2010; Robert Mboma
6. Makatibu Mkuu wa Wizara ya Nishati 2003-2010; Patrick Rutabanzibwa,
7. Makatibu Mkuu Wizara ya Ulinzi 2003-2010;
8. Wakuu wa Majeshi, 2003-2010; Robert Mboma,
9. Makamishna wa Nishati 2003-2010; Prosper Victus, Mlindoko,
10. Wanasheria wa serikali, 2003-2010; Chenge,
11. Wajumbe wa Board ya TPDC, 2003-2010; Faida Bakari, Gosbert Blandes, Mudhihir Mudhihir, Emmanuel Ole Naiko, William Haji, Maduka Kessy, Prosper Victus, Mwalim A Mwalim, Ngosha Magonya
 
Jason Bourne ni HOAX kama story ya Temeke watu kugandana.
Story ya Riz1 na unga China.

Kikwete na Hu Jintao wakamsema sana Riz1 pale Airport ya HongKong, ye akasema unga sio wake, ni wa Dullah.


Story ya LTK,
LTK 1= JK,
Pollonium ilihusika, Mwakyembe ashakwepa mitego kibao tu kwa kua ni jasusi. Mwandosya yumu, Sitta nae mlengwa.
 
Back
Top Bottom