Zitto ‘Awanyima’ Posho Wenyeviti Wote Serikali za Mtaa Kigoma Ujiji Waliochaguliwa Novemba 2019

Alexander The Great

JF-Expert Member
Aug 28, 2018
4,502
23,582
Baraza la Halmashauri ya Kigoma Ujiji linaloongozwa na Chama Cha ACT Wazalendo chini ya kiongozi wao Mkuu, Zitto Kabwe , limekubaliana kwa kauli moja na kupitisha azimio la kutokuwalipa posho wenyeviti wote 68 wa Serikali za Mitaa 68 waliopita kupitia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 2019.

Baraza hilo limepitisha maazimio hayo kwa kile walichodai kuwa wenyeviti hao walipita katika uchaguzi huo kibatili na si halali.
act-1.jpeg
Act2.jpeg
 
Hawana ubavu huo labda wanataka hilo Baraza livunjwe mara moja! Baraza halina mandate ya kusimamia uchaguzi wala kutangaza mshindi kwenye uchaguzi wowote. Hao ni mburula wa sheria.
 
Zzk ameamua kuwakomesha dhidhiem dah!!inauma sana sasa sijui itakuwaje ela ya kuemea masembe na nyamnyam sijui wataitoa wapi ngoja nimpigie slow slow aje huku kutatua hichi kiraka!!!!
 
Kwa h
Hawana ubavu huo labda wanataka hilo Baraza livunjwe mara moja! Baraza halina mandate ya kusimamia uchaguzi wala kutangaza mshindi kwenye uchaguzi wowote. Hao ni mburula wa sheria.
Kwa hiyo unamshauri nini mh slow slow aje na magari ya MAJI ya Pili Pili na ndimu au apige thimu!!!
 
Tutazirudisha posho hizo baada ya kuapishwa Mh: Rais JPM na kwa vile jimbo hilo washindi wa udiwani na Ubunge ni CCM wasihofu.
 
Tutazirudisha posho hizo baada ya kuapishwa Mh: Rais JPM na kwa vile jimbo hilo washindi wa udiwani na Ubunge ni CCM wasihofu.
Mimi ni dhidhiem dam Ila nawapigia kampeni haict wazalendo....wewe huijui kgm mjini...ndio wahasisi Wa upinzani duniani!!!
 
Kwa h
Kwa hiyo unamshauri nini mh slow slow aje na magari ya MAJI ya Pili Pili na ndimu au apige thimu!!!
Pesa inalipwa na Mkurugenzi kamuulize Mh. Mbowe kule Hai atakujulisha nani mwenye mamlaka na pesa za Halmashauri.
 
Pesa inalipwa na Mkurugenzi kamuulize Mh. Mbowe kule Hai atakujulisha nani mwenye mamlaka na pesa za Halmashauri.
Tuelimishe hapa Mani kwenye mamlaka na pesa za halmashauri?
 
Sawa kabisa Mh. Zitto Kabwe, madiwani waliochaguliwa na wananchi kupitia uchaguzi huru na wa haki ndiyo wanaweza kupata mafungu au posho za kufanyakazi lakini siyo wale walio wa viti maalum waliopitishwa ktk uchaguzi batili wa tarehe 14 November 2019.

 
Zitto watamnyoosha uchaguzi mkuu ukifika labda asigombee ubunge tena
 
Back
Top Bottom