Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
dah kwa kweli nimefuatilia hizi kampeni za Igunga lakini nimegundua zimepwaya sana coz zimekosa Pumba na Porojo, toka kwa katibu mkuu wa zamanai wa Magamba mzee Yusuph Makamba...teh teh uko wapi Zumbe uende kuokoa MV Spice ''CCM'' inazama huko