Zitto atua Igunga CCM wazidi kuweweseka

Zitto atua Igunga CCM wazidi kuweweseka

Wadau

CCM baada ya kupata taarifa ya kuwa kijana machachari ZTTO ZUBERI KABWE mwenye uwezo wa kujenga hoja na kushawishi watu ametua igunga jana wameamu kupeleka vilaza wao wengine Janaury Makamba na mukama ili kujarbu kunusuhuru hali mbaya wanayoipata kutokana na kasi kali ya CHADEMA.

CCM hawana chao tena igunga tunasubiria km wana ubavu wakamvue chenge na lowasa ili tukabebe tena majimbo yao.

Mukama hana mvuto, hata kwa sura tu.
 
tunamsubiri JK maana naona uongozi wote wananishia igunga makubwa kweli maji yamezidi unga

Sidhani kama anaweza kwenda, The Comedy walishaenda!.

Hata hivyo tukichukuwa lesson ya Temeke na Tarime siku zote CCM wanapotumia nguvu nyingi ndipo pia ushindwa na kuanguka uchi.
 
Nawafagilia barabara mkikosa kazi za kufanya muanzishe maandamano! Nawaandalia barabara nzuri za kwenda kuwamwagia watu tindikali na kwenda kuwapiga viongozi wenu
Msalimie sana Nchemba nasikia alichukua kufuri la kimada akasahau lake Guest.
 
Naimani wananchi wa Igunga watakombolewa dhidi ya mwovu,mpingamaendeleo Chama Cha Magamba
 
mhh swala la Mwigulu Nchemba, linanikumbusha kutukana wakunga, aliongea maneno mengi sana ya kashfa na matusi zidi ya CDM, Mungu huwa angojei ufe malipo ni hapa hapa duniani, nasikia sasa anahangaika na wife/girlfriend wake kusawazisha huku chama kikimsubiri kumbebesha mzigo wa kushindwa kwa uchaguzi kwa ufisadi wake wa mapenzi na kejeli. Watu wa Mungu wanateseka na maisha magumu halafu unawaletea kejeli. Siasa uchwara zinalipwa hapa hapa duniani.

CDM songa mbele kwani siasa za kizee za CCM na umasikini zinapitwa na wakati.
 
Pole..ana qualifications ndio maana amefika hapo!
Huu mshara wangu wa manispaa unanitosha kwa mahitaji yangu..
Wewe usiye na kitu nikusikitike!
Endelea tu kuandamana!
Sawa tunajua wana CCM mna qualifications zote Mwigullu ametudhihirishia, hivi Januanry ameoa kama kaoa mshauri aende na mke wake kabisa.
 
Sawa tunajua wana CCM mna qualifications zote Mwigullu ametudhihirishia, hivi Januanry ameoa kama kaoa mshauri aende na mke wake kabisa.[/QUO

anadai bado anakula maisha lakini tunajua jinsi anavyoeneza virusi kwa dada zetu,hakosi arv mfukoni,binadam bwana!
 
Wadau

CCM baada ya kupata taarifa ya kuwa kijana machachari ZTTO ZUBERI KABWE mwenye uwezo wa kujenga hoja na kushawishi watu ametua igunga jana wameamu kupeleka vilaza wao wengine Janaury Makamba na mukama ili kujarbu kunusuhuru hali mbaya wanayoipata kutokana na kasi kali ya CHADEMA.

CCM hawana chao tena igunga tunasubiria km wana ubavu wakamvue chenge na lowasa ili tukabebe tena majimbo yao.
Mbona Mukama zamu yake ilishakwisha au anataka kujaribu tena halafu sijamsikia Nkapa toka siku afungue wakati wazanzibari wanazama majini au wapemba wamemsomea albadri.
 
Kutokana na historia ya Mhe. Zitto, nasubiri kwa hamu kubwa kumsikiliza atawaambia nini watanzania wenzetu wa Igunga, kwani hoja zake mara nyingi zinakonga nyoyo au zinatoa kiza kinachokuwa mbele ya watu na kuweza kuona mwanga. Mhe. Zitto, nakufuatilia kukusikia utatueleza nini watanzania sisi wakituwakilisha wenzetu wa Igunga.
 
mhh swala la Mwigulu Nchemba, linanikumbusha kutukana wakunga, aliongea maneno mengi sana ya kashfa na matusi zidi ya CDM, Mungu huwa angojei ufe malipo ni hapa hapa duniani, nasikia sasa anahangaika na wife/girlfriend wake kusawazisha huku chama kikimsubiri kumbebesha mzigo wa kushindwa kwa uchaguzi kwa ufisadi wake wa mapenzi na kejeli. Watu wa Mungu wanateseka na maisha magumu halafu unawaletea kejeli. Siasa uchwara zinalipwa hapa hapa duniani.

CDM songa mbele kwani siasa za kizee za CCM na umasikini zinapitwa na wakati.
Alimtukana Mzee Slaa hadi magazeti yakashindwa kuandika maneno yake, Slaa akampa hadi J'3 awe amekanusha nafikiri haya tunayoyaona ni malipo yake ila kwa CCM wasivyo na mshipa wa aibu atakuwa anapanda jukwaani na mme mwenzie.
 
Zitto is more than Nape, January, the real Ridhiwan (na wapambe wote) all put together, hadi tingatinga linamwogopa!
 
CDM tunaomba team nzima ya wabunge iingie Igunga, japo kwa siku mbili mbili tu.
Makamanda kila mtu anawakubali tumieni huu uwezo wenu kuikomboa Igunga. Wanaingunga wako tayari kinachosumbua ni umasikini na pesa za CCM.
 
Wadau

CCM baada ya kupata taarifa ya kuwa kijana machachari ZTTO ZUBERI KABWE mwenye uwezo wa kujenga hoja na kushawishi watu ametua igunga jana wameamu kupeleka vilaza wao wengine Janaury Makamba na mukama ili kujarbu kunusuhuru hali mbaya wanayoipata kutokana na kasi kali ya CHADEMA.

CCM hawana chao tena igunga tunasubiria km wana ubavu wakamvue chenge na lowasa ili tukabebe tena majimbo yao.

asiyejua kuwa nzitto ni sisiemu anyooshe kidole...asiyejua kuwa zitto kaenda ingunga kumsafishia njia mrithi wa rostam aseme suuuuuu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom