Zitto atua Igunga CCM wazidi kuweweseka

Zitto atua Igunga CCM wazidi kuweweseka

Mkuu kama ni cv atanishinda kwa kubebwa na baba yake,nasema hivi kama sio baba yake kumsafishia njia asingejaribu kuwa hapo alipo,endelea kupigia debe watoto wa washua na kamshahara kako ka manispaa

Kaka toka lini umeona watu makini wanatakiwa CCM, eti hao ndio smart youth wao...bure kabisa wanaogopa challenge kwa vijana wa viwango ndio maana ukiwa kiwango CCM wanakutupilia mbali.....ndio maana nilisema ili CCM isimame imara lazima iwakubali watu wenye uwezo kama ifanyavyo chadema..Ona kama speech ya mwigulu..hadi ukiisikiliza unacheka yaani ndio mtu anakabidhiwa kuendesha kampeni ana speech za hivyo???????eti...yaaniii wamemwagia tindikali..wamemuumiza..hata tushirt ya chama imechanikaaa....shetani hawezi fanya hivyo...we mtu kama huyo ndio makini anayepewa dhamana ya kuongoza kampeni sasa hao wengine walionyimwa inakuwaje...?jiulize...then utagundua CCM bado inahitaji vijana wenye uwezo.
 
ccm wakipoteza jimbo la igunga tujue na stori
za kuvua gamba ndio zitakuwa zimefika kikomo,
kwani itabidi wawabembeleze lowassa na chege
wabaki na magamba yao ili wasije wakapoteza
maajimbo mengine mwawili.
 
Najua lazima tuwe na binadamu kama ww Rejao!!maana hata science inadhihirisha hilo ili kufanya mambo yaende kati ya jamii flani lazima viumbe mtofautiane!!la sivyo "competition for resources will be high"lakini naimani ukweli unaujua.Ni utoto tu ukikua utaacha.
Umeongea vizur..kuna tunaoona mbali na nyie ambao upeo wenu ni mdogo sana..mnaona tu hapo mlipo
 
Anakushawishi wewe na watoto wenu vilaza,unaposema "CV" yake una maanisha nn hasa, SIASA?SHULE,Kwa shule hawezi kujifananisha na mimi hata kwa robo, cheki shule alizoma HANDENI SECONDARY Mie Ilboru SecondaryUniversity sijui ndo kasoma wapi, Mie UDSM, tena Degree Program kali coz nilichana paper fresh form six na si kwa kukariri bali kwa kueuelwa,haya yote nimeyadhihirish University na kazi ninayofanya kwa sasa,January hana lolote zaid ya kupata Backup ya Babaake na Mkwe.re,Hamna kitu pale
Hahaha...kweli wewe kilaza!
Yaani umesoma Ilboru + UDSM halafu unajifagilia?
Waliosoma Yale na Havard wasemeje? Hebu jikalie tuu kumya! Unajiaibisha
 
Bado mdee > myika > lissu...watu wachukue jimbo.
Mnyika ana uwezo kuliko wana CDM yote..kwa simple mathematics..all CDM suppoterz=1mnyika!
He is the only matured person @ CDM!
 
Cdm wataangukia pua lile jimbo la ccm lije jua uje mwezi mvua ushindi ni lazimA pale cdm ni porojo tuuu hakuna jipya jamani kila kitu hufanywa na serikali majimboni na si wabunge kazi yao ni kuiomba serikali Sasa nani anafanya kazi ndo mana wanaigunga wanaipenda CCM!
 
Rejao aliyekwambia unafanya kibarua manispaa hakukosea. Huwezi kuwa mzima unakaandika masaburi namna hii.
Kama kawaida ya wanachadema...mnaishia kuongea lugha zisizo na maana! Poleni kwa maumivu mnayopewa na CCM
 
Kama kawaida ya wanachadema...mnaishia kuongea lugha zisizo na maana! Poleni kwa maumivu mnayopewa na CCM

Wewe ni binadamu gani huoni Maumivu hayo? Pamoja na ujambazi wote wanaoufanya wewe huyaoni? Kalagabaho
 
Wewe ni binadamu gani huoni Maumivu hayo? Pamoja na ujambazi wote wanaoufanya wewe huyaoni? Kalagabaho
Pole sana mkuu..
Ukitaka usiwe na stress zote maishani..tulia ndani ya CCM!
 
Wakuu! 2nashukuruni sana ktk yote mapya inayotufikia kupitia Jf na hakika 2nafurahi sana. Mi kwa muda huu nipo jimbo moja linaloongozwa na hawa mapapa lakini hakika wanailaani sana ki2 kinachoitwa CCM na wanaapa hawataki kuisikia hata. Jamani 2na kazi kubwa ya kuielimisha jamii ze2 wanao2zunguka kwani hakika magamba wamekataliwa.
 
Ndugu Watanzania,<br />
<br />
Napenda kuchukua nafasi hii kuwaasa kuwa walioko Igunga watumie busara kubwa katika kutafuta kura. Chadema msikubali kuchafua CV yenu kwwa sababu za watu wachache wajinga wanaowatia vishawishi. Nawapongeza kwa kumkamata DC, kazi yenu kubwa iwe kukamata bila kupiga wala kukwaruza mahali. Kamata, piga picha, chukua movie, pelekea polisi kwa taratibu zingine japo najua zimwi likujualo....<br />
<br />
Lakini nimesikitishwa sana na baadhi ya kauli za viongozi wetu. Imenisitikisha zaidi hasa kwa huyu anayeitwa sijui Kiravu sijui nani. Lugha aliyotumia yeye kujibu tuhuma za Chadema yeye ndo anaonekana MHUNI zaidi kuliko Chadema. Chadema hawakuwa na jinsi, lazima kilichotokea kingetokea tu maana wao wako kazini na wanajua utaratibu wa kampeni unasema nini wakati mikutano ya hadhara inaendelea. Lazima vijana wapate jazba kutokana na historia ya CCM. Sisi tuseme wao kule Igunga walikuwa na hasira lakini kiravu kwenye majibu yake alikuwa kwenye kiti chake. <br />
<br />
Kiravu katika lugha ya maadili amekosa adabu, hana staha, amekosa heshima na kauli yake ya kuwaita Chadema wahuni asifikiri anamwita mtu mmoja au chama ajue anawaita watanzania zaidi ya milioni 2 na nusu waliokipa Chadema kura na rais wake. Viiongozi walioko serikalini wajifunze yanatokea Libya. Ghaddafi hakujua kama atatoka kwenye siagi-Kiravu acha jazba, yatakuja kukutokea puani. Kiravu na wenzako jitahidi kusoma alama za nyakati-mwisho wako unakuja, CCM haitaongoza milele, wala Rais Kikwete hatarudi tena kuwa Rais. <br />
<br />
Namwambia Kiravu kuwa vijana waliomkata DC siyo wahuni, ni wasomi wana Degree zao tena siyo moja mbili na wengine zaidi, wamepigika na wanajua wanachokifanya. Asidharau dharua tu akifikiri serikali itamlinda, ajifunze yanayowatokea kina Chenge, Lowassa, Rostam, Ballal, Karamagi, Msabaha, na wengineo. Kiravu acha kiburi kwenye kiti ulichokalia, TENDA HAKI Mungu atakupigania. CCM siyo ALFA na OMEGA, mwisho wake unaweza kufika saa na wakati usiojua, siyo lazima 2015, hata kesho watanzania wakiamua wote mtaenda mafichoni. <br />
<br />
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU TUBARIKI SOTE TUNAOPIGANIA HAKI ZA WANYONGE.<br />
<br />
Asanteni sana kwa kunisoma!
<br />
<br /> UMENENA NDUGU. BASICALLY AMJIBUYE MHUNI KWA MATUSI NDIE HuONEKANA KWA JAMII NI MHUNI.
 
pambaf! acheni unafiki wenu nyie wachaga wa cdm,sio ninyi mnaomuona zitto msaliti wa chadema mpaka huwa mnashambulia kama paka mwizi? linapokuja swala la kuwasaidia wachaga kuchukua 'inji' au jimbo zitto anakuwa msafi na,lakini ndani ya chadema akitaka uongozi mnamtungia kashfa za kijinga,unafiki na upumbav mkiongozwa na yule mnafiki waaaaahed kubenea na kijarida chake cha mwanahalisi,mfano mzuri hii issue ya juzi mliyoileta hapa majuzi ya yeye kusaidiwa na BARRICK,hata slaa ole wake asije kufkiria kuwa mwenyekiti wa chadema! hakyamungu mtasema katumwa na anatumiwa,zitto,slaa,lwakatare na wote mliokimbilia huko mnatumiwa,utadhani mna macho yasiyoona,masikio yasoskia,bongo zisizozingatia! poleni vilaza wa chadema nchini kote
<br />
<br />
mbona una jazba hivi, kwani ulikuwa na jamaa kwenye chombo islander kule nungwi, basi mungu akupe roho ya subira.
 
Zitto can not hold candle to January's virtuosity, he don't even come close to. He has many things to learn from an international relations whizz.
 
Zitto can not hold candle to January's virtuosity, he don't even come close to. He has many things to learn from an international relations whizz.
<br />
<br />
tunatarajia maneno kama haya yatoke kwa ke sijui wewe me, unataka nini kwa januari, usiwe dhalili namna hii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom